Subiri tu nizipate,, kama we unavyozichota na notNowMimi ni mpole ndiyo maana unaninyanayasa... Unapata dhambi...
Sina dhambi, hata dhambi ya asili sina...Subiri tu nizipate,, kama we unavyozichota na notNow
Ndiyo maana unainyosha na mimi...Emu ngojeni kwanza huko nje wawanyooshe kidogo
Kabisa!π€£π€£β€οΈ Mapenz ni uchiz
Wapi na liniNdiyo maana unainyosha na mimi...
Ukimpenda mtu automatically unakuwa ume submit kwake hisia zako na maslahi yako yote kwakew. Its automatic sababu huna control na hisia za upendo.Nipo pumziko ya week moja standard 7 wanahitimu alhamisi Ivo matichel twala Bata....mwenye nafasi aje anichukue kesho jumatatu tafadhali.......
Turudi kwenye mada,najua kupenda kupo Tena kunachukua nafas kubwa moyoni...Sasa nilitaka nijue kuwa kumpenda mtu ni fimbo Yaan ni lazima uteseke,udharaulike,unyanyasike na huyo umpendae? Yaan ana dalili zote hakupendi,na una dalili zote unaforce mapenz na kuaminika kwake...je ni lazima unyanyasike ndo uprove unapenda? Yaan huwezi kusepa ila unaweza kuvumilia dharau...kwani lazima upitie hayo?
Na umetoka kunaniii tu sahivi π€£Sina dhambi, hata dhambi ya asili sina...
Unapata dhambi kunichungulia...Na umetoka kunaniii tu sahivi π€£
Ver sadUkimpenda mtu automatically unakuwa ume submit kwake hisia zako na maslahi yako yote kwakew. Its automatic sababu huna control na hisia za upendo.
Huwa zinajijenga zenyewe tu.
Kuteseka kunakuja pale ambapo efforts haziendani na output πππ! Unapompenda mtu una expect nayeye akupende na kukuthamini. Sasa ikiwa hakuthamini wala kuonesha positive reaction ndio unaenda kwenye limp mode, clinginess begins.
Moyo unatamani ila akili inakataa ila the best feeling is from the heart. Utaudanganya ubongo tu ili ujisikie vizuri ila reality iko pamoja na ubongo. Hupendwiii ila unajaribu kuongeza juhudi za kujitolea kufanya mema ila majibu yale yale πππ
ππππ hazinipati/ haziniingiiUnapata dhambi kunichungulia...
Nibonde kwa kwanza... niguse bahati mbaya nikunanilii makusudi...Sijamshika β¦ ongeeni uongo niwabonde
πππtoa majibu basiπ€£π€£π€£π₯³π₯³π€Έ
Niache nilaleβ¦Nibonde kwa kwanza... niguse bahati mbaya nikunanilii makusudi...
Kichwa chake kibovu yule jamaaπ π ππ€£π€£π€£π€£Aisee
Hii ukiipatia ni bomba sana mapenzi hayatakutesa kamwe unakaa mguu mmoja nje mwingine ndani.Nilichelewa kujua ili. Ila tokea nijue imesaidia sana.
Yaani mtu katika moyo wangu nampa Ventriko ya kushoto tu, ya kulia na Auriko zote naziacha ghetto.
Mtoto unajua kudeka...ππππ hazinipati/ haziniingii
Me bado mtoto
Niseme nn Tena kumbe nawe Kuna mtu kakushika,ila mwenzio ndo nimepona Sasa....nilitaka nijisepeshe kipindi Fulani Kuna stress zilinizidia but nilivyoleta lile jambo humu,Kwa nguvu ya umma ndo uzima wangu huuπππtoa majibu basi
Kabla ya kulala...Niache nilaleβ¦