Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

KWANZA NTAUA NA KUSAMABARATISHA MIFUMO YA WAZEE WA”REMOTE” HADHARANI ILI NITAKALOFANYA LISIPINGWE AU MIMI KUONDOLEWA PAMOJA NA KUFUMUA UPYA USALAMA WA TAIFA NA KUWAFUKUZA NA KUWAWEKA JELA UVSISIEM WALIOKO HUKO WOTE.


1.TUME MPYA YA UCHAGUZI

2.KATIBA MPYA

3.CAG KUWA NA MENO

4.TAKUKURU KUFUMULIWA NA KUSUKWA UPYA

5. DED KUTOKA KWENYE IDARA NA SI TEUZI

6.WAZIRI ASIWE MBUNGE

7.CHOMBO CHA KUDUMU CHA KUCHUNGUZA MIENENDO YA POLISI

8.MAHAKAMA NA BUNGE KUWA NA MENO

9.UKIKUTWA UNASIFISIFIA SEREKALI KIFUNGO JELA MIEZI 6

10.MKUU WA WILAYA FUTA,KUWE NA MKUU WA MKOA NA MA-DED.

11.NANUNUA GARI AINA YA PROBOX NEW MODEL SAMBAZIA RC NA MA-DED.

12.UFISADI KIFUNGO CHA MAISHA JELA.

13.URAIA PACHA RUKSA

14.WAZIRI WA MAMBO YA NJE NAWEKA MZUNGU

15.MABALOZI NATEUA WENYE UZOEFU NA SI KUJUANA

16.KUONDOA KINGA YA MASHTAKA KWA RAISI NA VIONGOZI WA JUU.

17.FUTA CHEO CHA MAKAMU WA RAISI. ABAKI PM KAMA MTENDAJI MKUU.

18.RAISI AKIFA UCHAGUZI KUIITISHWA

19.SHERIA YA KUZUIA MWANAMKE KUWA RAISI( Hili tunajuta)

20.RC ANACHAGULIWA NA WANANCHI



Mwisho kabisa keki ya taifa ni ya wote na si baadhi ya koo
 
Linashangaza sana hilo jambo.
 
Viongozi Wa Kiafrica Ndo Wanasababisha Waafrica Wote tuonekane Hatuna Akili Kabisa Na hapo Ndo kunasababisha Tulichukie Bara hili la Giza Tatizo Kubwa ni UONGOZI MBOVU
Tatizo ni viongozi wetu kuwa vibaraka wa wazungu. Hapo ndio shida inapoanziaga.

Ukiwa Patriotic leader lazma wazungu wakutaftie namna wakuhujumu na kukumaliza.
 
Utanipa u IGP ikikupendeza
 
Kusali, kufunga, kuomba , kutubu ....kila mtu kwà dini yake kwà siku sita. Baada yapo ni Kazi Kazi, ya kusafisha Nchi.

Nitakua zaidi ya Magufuli mara 6.

Nitakua navaa different masks...popote ulipo nipo. Wakati mwingine nitakua naonekana sehemu nikiwa pekeyangu bila hata ya walinzi.

Nitakua nawafanyia surprise wale wote wasiopenda maendeleo na Mafanikio ya Nchi hii.
 
Kaka ikikupendeza uniweke hata kwenye misafara yako
 
Tanzania kuwa na mikoa 15tu yenye wilaya 45 tu,cabinet wizara 15 tu;All CEOs wa serikali kama IGP,TAKUKURU, TISS etc etc kuomba kwenye hizo nafasi, hakuna uteuzi, ;JUDICIARY kujitegemea kwa kila kitu kuanzia bajeti yao na all judges wote wataomba nafasi hizo;Police nitalifumua jeshi hili na kutengeneza special units within jeshi hili na nitabadili jina ,iwe service na sio Force, wazee wote above 40yrs kwenye jeshi hili nitawapumzisha na kuingiza young guy's wenye fresh mind
 
MERITOCRACY
PATRIOTISM
HONESTRY

Ukiona mtu anapenda tumia hayo maneno ujue ni laghai au tapeli kama carl peters
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nahisi Wabunge wangenitoa. Maana ningeanza nao.

1. No V8
2. Kata Posho za Vikao.
3. Sio lazima wabunge wote waudhurie vikao. Zamu zamu kutegemea na muswada unaoongelewa.
4. Vikao vya Virtual vingekua vingi.
5. Katiba mpya.
6. Uchaguzi kila baada ya miaka 4 hafu ahadi za jukwaani wakati wa campaign kama haujafikisha 75% una kesi ya kujibu.
7. Hamna viti maalimu.
 

[emoji3]
 
Hapa mnaotaman kuwa viongozi tuone experience
Watumishi wote wa serikali wakiwemo wa kisiasa wanakuwa na kazi za mikataba renewable baada ya miaka miwili na ukomo ni miaka kumi na tano unaachia wengine nafasi na wewe urudi mtaani kujitegemea. Itasadia sana nchi kwenda mbele sababu viongozi na watumishi wataanza kuweka mazingira mazuri ya biashara wakijua watarudi mtaani muda wowote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…