Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Ukiangalia Sanaa Nchi za Kiafrica Kama Kuna Laana Flani hivi haiwezekani Mnakuwa Na Jirani yenu amepiga hatua Kubwa Kimaendeleo Mnashindwa Hata Kwenda kwa Basi tuu kuiga Alichofanya Mpaka Amefanikiwa Mf South Africa Ndo ulitakiwa Uwe mfano Kwetu kuiga Walichofanya Kwenye kila Kitu Lakini Sijui Viongozi wanatembeaga kufanya Nini huko zaidi ya Kulala Five Star Hotel na Malaya
Mkuu yale maendeleo ya wazungu,,,mzulu angeachiwa ile nchi isingekuwa vile,,,,huenda sisi tungekua na unafuu kuliko wao...
 
Kabla ya kuanza kazi ntafanya vacation dunia nzima, nakula bata kisawasawa coz nikirudi kuanza kazi nahisi sitatoboa mwaka wataniua kama Jiwe. Ntakomesha walamba asali wote hata wakiniua nakua nshainjoy kiti kidogo
 
KWANZA NTAUA NA KUSAMABARATISHA MIFUMO YA WAZEE WA”REMOTE” HADHARANI ILI NITAKALOFANYA LISIPINGWE AU MIMI KUONDOLEWA PAMOJA NA KUFUMUA UPYA USALAMA WA TAIFA NA KUWAFUKUZA NA KUWAWEKA JELA UVSISIEM WALIOKO HUKO WOTE.


1.TUME MPYA YA UCHAGUZI

2.KATIBA MPYA

3.CAG KUWA NA MENO

4.TAKUKURU KUFUMULIWA NA KUSUKWA UPYA

5. DED KUTOKA KWENYE IDARA NA SI TEUZI

6.WAZIRI ASIWE MBUNGE

7.CHOMBO CHA KUDUMU CHA KUCHUNGUZA MIENENDO YA POLISI

8.MAHAKAMA NA BUNGE KUWA NA MENO

9.UKIKUTWA UNASIFISIFIA SEREKALI KIFUNGO JELA MIEZI 6

10.MKUU WA WILAYA FUTA,KUWE NA MKUU WA MKOA NA MA-DED.

11.NANUNUA GARI AINA YA PROBOX NEW MODEL SAMBAZIA RC NA MA-DED.

12.UFISADI KIFUNGO CHA MAISHA JELA.

13.URAIA PACHA RUKSA

14.WAZIRI WA MAMBO YA NJE NAWEKA MZUNGU

15.MABALOZI NATEUA WENYE UZOEFU NA SI KUJUANA

16.KUONDOA KINGA YA MASHTAKA KWA RAISI NA VIONGOZI WA JUU.

17.FUTA CHEO CHA MAKAMU WA RAISI. ABAKI PM KAMA MTENDAJI MKUU.

18.RAISI AKIFA UCHAGUZI KUIITISHWA

19.SHERIA YA KUZUIA MWANAMKE KUWA RAISI( Hili tunajuta)

20.RC ANACHAGULIWA NA WANANCHI



Mwisho kabisa keki ya taifa ni ya wote na si baadhi ya koo
💫
 
MERITOCRACY
PATRIOTISM
HONESTRY

Ukiona mtu anapenda tumia hayo maneno ujue ni laghai au tapeli kama carl peters
Mnataka kutumia mabilioni ya shiliüngi kuwapeleka watu mashariki ya Mbali eti kwenda kujifunza mbinu za Maendeleo!!! Hayo niliyoainisha hapo ndio uchawai wliotumia wenzenu ikiwemo Singapore kupata maendeleo!!
Tapeli na laghai ni hao wanao tia saini mikataba ya madini bila kujali Maslahi ya Nchi
 
Ningeiga mwenendo wa MWENDA zake kuhusu Watumishi wa Umma pamoja na kukagua vyeti feki.
Wizi ,Rushwa,upendeleo,Kushindwa kuwajibika na ubadhilifu itakuwa zero tolerance.
 
Back
Top Bottom