Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Naongeza R.score tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu unajiita msomi??? Idiotningefuta ujinga ujinga wa ndoa, wazaane tu hakuna kununuana na kufugana ndani
Mkuu yale maendeleo ya wazungu,,,mzulu angeachiwa ile nchi isingekuwa vile,,,,huenda sisi tungekua na unafuu kuliko wao...Ukiangalia Sanaa Nchi za Kiafrica Kama Kuna Laana Flani hivi haiwezekani Mnakuwa Na Jirani yenu amepiga hatua Kubwa Kimaendeleo Mnashindwa Hata Kwenda kwa Basi tuu kuiga Alichofanya Mpaka Amefanikiwa Mf South Africa Ndo ulitakiwa Uwe mfano Kwetu kuiga Walichofanya Kwenye kila Kitu Lakini Sijui Viongozi wanatembeaga kufanya Nini huko zaidi ya Kulala Five Star Hotel na Malaya
hata mm ningefanya hivyo,mafisadi hapa wasinge chomokaKatiba, kuondoa/kufuta kinga ya mashtaka dhidi ya viongozi
Waondolewe kinga ili wawajibishwehata mm ningefanya hivyo,mafisadi hapa wasinge chomoka
💫KWANZA NTAUA NA KUSAMABARATISHA MIFUMO YA WAZEE WA”REMOTE” HADHARANI ILI NITAKALOFANYA LISIPINGWE AU MIMI KUONDOLEWA PAMOJA NA KUFUMUA UPYA USALAMA WA TAIFA NA KUWAFUKUZA NA KUWAWEKA JELA UVSISIEM WALIOKO HUKO WOTE.
1.TUME MPYA YA UCHAGUZI
2.KATIBA MPYA
3.CAG KUWA NA MENO
4.TAKUKURU KUFUMULIWA NA KUSUKWA UPYA
5. DED KUTOKA KWENYE IDARA NA SI TEUZI
6.WAZIRI ASIWE MBUNGE
7.CHOMBO CHA KUDUMU CHA KUCHUNGUZA MIENENDO YA POLISI
8.MAHAKAMA NA BUNGE KUWA NA MENO
9.UKIKUTWA UNASIFISIFIA SEREKALI KIFUNGO JELA MIEZI 6
10.MKUU WA WILAYA FUTA,KUWE NA MKUU WA MKOA NA MA-DED.
11.NANUNUA GARI AINA YA PROBOX NEW MODEL SAMBAZIA RC NA MA-DED.
12.UFISADI KIFUNGO CHA MAISHA JELA.
13.URAIA PACHA RUKSA
14.WAZIRI WA MAMBO YA NJE NAWEKA MZUNGU
15.MABALOZI NATEUA WENYE UZOEFU NA SI KUJUANA
16.KUONDOA KINGA YA MASHTAKA KWA RAISI NA VIONGOZI WA JUU.
17.FUTA CHEO CHA MAKAMU WA RAISI. ABAKI PM KAMA MTENDAJI MKUU.
18.RAISI AKIFA UCHAGUZI KUIITISHWA
19.SHERIA YA KUZUIA MWANAMKE KUWA RAISI( Hili tunajuta)
20.RC ANACHAGULIWA NA WANANCHI
Mwisho kabisa keki ya taifa ni ya wote na si baadhi ya koo
Mnataka kutumia mabilioni ya shiliüngi kuwapeleka watu mashariki ya Mbali eti kwenda kujifunza mbinu za Maendeleo!!! Hayo niliyoainisha hapo ndio uchawai wliotumia wenzenu ikiwemo Singapore kupata maendeleo!!MERITOCRACY
PATRIOTISM
HONESTRY
Ukiona mtu anapenda tumia hayo maneno ujue ni laghai au tapeli kama carl peters
Kabisa kaka, wanaoitakia mabaya nchi hii ni wengi kuliko tunaoitakia mema.Watakuua
Kaka vyeo vya kupeana hakuna 😂Utanipa u IGP ikikupendeza
niweke hata askari nitembee na misafara yakoKaka vyeo vya kupeana hakuna 😂