Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Migodi yote ingemilikiwa na wazawa,mashoga wangenikoma kwa sheria ya kuwazamisha baharini,walimu,madactari wangelipwa mara mbili kwa mwezi,bunge lingekaa wiki moja tu{kuanzia saa 2asubuh hadi 5usiku. Wanajeshi ndio wangekuwa wananiletea tathmini ya kuwaneemesha kiuchumi wananchi na si wanasiasa,majangili na wauza madawa ya kulevya wangekuwa wanauwawa live siku nahutubia taifa,nisingekuwa na Ikulu,msafara ungekuwa na mahema popote pale ningekaa, kuonana na kupokea mahitaji ya wananchi. NB wananchi wangenenepeana kwa utawala bora.

Mkuu kweli we ni great thinker mwenye hasira na nchi yake..
 
...Ninge kupa ndege yanu utanulie

...Bila kusahau ule mlima mrefu

...kingine nini unataka miss?

uruhusu TRA kuchangisha kodi ya raisi kila mwananchi atoe buku kila mwezi,,, ambayo ahusiani na mshahara kabisa...........
 
Ningafanya kaka baba ritz.
Amendments zingekuwa chache
-nisingeruhusu wachaga kumiliki silaha za moto isipokuwa visu, dispis na mapanga.
-changudoa ningewapa leseni wasajili biashara zao uchumi ukue.
-ningeweka sheria ya kufungwa au fidia kwa wapenzi watakaothibitika kuwapotezea mda wenzao na ahadi hewa.
-ningeruhusu jeshi kuingia doria za nchi nzima ili watu wawe na nidhamu.
-ningeongeza muda wa depo kwa police maana ile miezi michache ni kama short course tu mtu anavyoenda hotel management,
-ningeweka sivia punishments kwa watu kama kapuya najua wapo wengi viongozi
-ningefanya mengi kwa kweli siwezi kuyaorodhesha yoote mengine jazien
 
Ningafanya kaka baba ritz.
Amendments zingekuwa chache
-nisingeruhusu wachaga kumiliki silaha za moto isipokuwa visu, dispis na mapanga.
-changudoa ningewapa leseni wasajili biashara zao uchumi ukue.
-ningeweka sheria ya kufungwa au fidia kwa wapenzi watakaothibitika kuwapotezea mda wenzao na ahadi hewa.
-ningeruhusu jeshi kuingia doria za nchi nzima ili watu wawe na nidhamu.
-ningeongeza muda wa depo kwa police maana ile miezi michache ni kama short course tu mtu anavyoenda hotel management,
-ningeweka sivia punishments kwa watu kama kapuya najua wapo wengi viongozi
-ningefanya mengi kwa kweli siwezi kuyaorodhesha yoote mengine jazien
 
Maisha ya mwanadamu ni ya kipekee sana, japo sote tunafanana kwa umbo la nje lakini kifikra, imani, itikadi na mitazamo tunatofautiana kwa kiwango kikubwa.

Kuna baadhi ya watu wamepata bahati ya kukutana na Rais wetu katika matukio, hafla na dhifa mbalimbali baadhi yao wakiwa wanasiasa, watumishi wa Mungu, wanamichezo, wanahabari, wafanyabiashara, watumishi nk.

Watu hao wote walikuwa na mambo mengi ya kuongea/kushauriana ambayo mengi tunayajua na mengine hatuyajui pia.

Ikitokea kwako unayesoma andiko hili ukakutana na Mheshimiwa na akawa radhi kukusikiliza, hoja, ombi, au ushauri utamwambia kitu gani ambacho unahisi kitakuwa na manufaa kwako na kwa jamii kwa ujumla?
 
Utamuangalia tu kisha unaaga?
Nitamuangaliaaa bila kummaliza then nitatingisha kichwa na kuaga.
IMG_20191124_174557.jpeg
 
Back
Top Bottom