Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]utamnyali sioNitamuangaliaaa bila kummaliza then nitatingisha kichwa na kuaga.
Ntamuomba niwe mke mdogo
Nakuamini Mkuu,una hekima na self esteem uongozi unauweza,Mkuu akuone siku moja, nakuombea.anipe uongozi Kirua Vunjo,sitamuangusha...LOL
Nakuamini Mkuu,una hekima na self esteem uongozi unauweza,Mkuu akuone siku moja, nakuombea.
Pole sana Mkuu.Nitamwomba anisaidie kunirudishia mali zangu nilizodhulumiwa!
Ntamuomba niwe mke mdogo
Mkuu hapa anaona vizuri sana,Mungu tu amuongoze akupe hitaji la moyo wako,kila sifa ya kuwa kiongozi bora unayo educated,integrity,inspiration & self motivated na clear goals na nyingine tele,ukipata utuwakilishe vyema wana JF, baraka zetu zote unazo.Amen mkuu,naomba aone hapa..anipe nafasi ya kuwatumikia watanzania...
Ushauri mzuri sana,ukifuatwa unaweza saidia kupunguza kama sio kuondoa kabisa ufa uliojitokeza hivi karibuni na kurejesha umoja wa kitaifa.Ningelimwambia; Kuua upinzani na kuacha chama kimoja tu Tz sio afya ya maendeleo. Pili, Kuwa na mtizamo tofauti hakumaanishi kuwa sikupendi. Tatu, Kusiwepo na uchaguzi wowote wa mtu kupita bila kupingwa, yeye ni nani akose mpinzani?? Hata meno yasipoingana mdomoni nyama hailainiki hata uji usipoutafuna haushuki tumboni
Mafanikio mema mkuu.Nitamuomba aniteue niwe CAG.
Iwe hivyo Mkuu sawa sawa na hitaji la moyo wako.Nitamuomba aniteue kuwa DC au DED ili nimsaidie kazi na kuwatumikia Watanzania