Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

#1. Aache ubaguzi wa:
a. Kikanda
b.Kichama
c.Kikabila
d.Kidini

#2.Aache Chuki dhidi ya:
a.Matajiri
b.Wastaafu
c.Wachagga
d.

#3.Aelekeze nguvu kwenye:
a.Kilimo
b.Barabara
c.Afya
d.Elimu
e.Umeme
f.Maji

#4.Apunguze mambo haya:
a.Dharau
b.Kujimwambafai
c.Kibri
d.Jeuri


#5.Aongeze mambo haya:
a.Heshima
b.Utu
c.Demokrasia
d.Usikivu
e.Ajira
f.Mishahara
g.Upendo





Kwa leo yanatosha ila yakifanyiwa kazi hayo kuna mengine
 
Nimeielewa Mkuu ila yawezakana sikuelewa kama ulivyokusudia,me nimetumia "Denotative/Conceptual meaning" kuelewa.Waweza nisaidia kama niko kinyume na kusudi lako!!..
 
Ntamuomba niwe mke mdogo
Screenshot_20190822-200548~2.jpeg
 
Amen mkuu,naomba aone hapa..anipe nafasi ya kuwatumikia watanzania...
Mkuu hapa anaona vizuri sana,Mungu tu amuongoze akupe hitaji la moyo wako,kila sifa ya kuwa kiongozi bora unayo educated,integrity,inspiration & self motivated na clear goals na nyingine tele,ukipata utuwakilishe vyema wana JF, baraka zetu zote unazo.
 
Ningelimwambia; Kuua upinzani na kuacha chama kimoja tu Tz sio afya ya maendeleo. Pili, Kuwa na mtizamo tofauti hakumaanishi kuwa sikupendi. Tatu, Kusiwepo na uchaguzi wowote wa mtu kupita bila kupingwa, yeye ni nani akose mpinzani?? Hata meno yasipoingana mdomoni nyama hailainiki hata uji usipoutafuna haushuki tumboni
Ushauri mzuri sana,ukifuatwa unaweza saidia kupunguza kama sio kuondoa kabisa ufa uliojitokeza hivi karibuni na kurejesha umoja wa kitaifa.
 
Back
Top Bottom