Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Hivi ukiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo utafanya nini kwa Taifa lako?

Tz inaonekana bado kuna dhulma na ufisadi katika utoaji wa haki.

Kinamama wengi 'waliomwangukia' Magufuli malalamiko yao ni ya msingi na kweli.

Cha kujiuliza, viongozi wenye dhamana ya kutumikia wananchi pamoja na vyombo vya kutoa haki, wako wapi?

Saazingine wanapoitwa na kudhalilishwa kwenye kadamnasi, wala siwahurumii.
Usemacho ni kweli mkuu,nchi nyingi za dunia ya tatu wahanga wakubwa wa ukatili na dhuluma ni watu wasio na kipato/maskini,wanawake ,watoto na walemavu.
 
Kiukweli mm Nitaangalia tumbo langu tuuu,ni mwendo WA sifa tuuuu,kuanzia getini mpaka mlangoni naingia naimba Magufuli kwangaruuuuuu,nikiingia ndani ni mwendo WA mbele Kwa mbele,nachezaaa weee halafu napiga pushapu 10,nakaa kwenye kiti namwambia mzee lete mpunga nikawanyooshe nyumbu mtandaoni,baada ya hapo napiga selfie namwambia msigwa ahahakikishe amechukua picha vizuri na ananitumia mapema,
Hahaha.
 
Kabla sijamshauri ntamuomba atengue kwanza ile kauli yake ya awali kwamba hashauriki.

Vinginevyo itakua napoteza muda tu.
 
Ni mkoa gani huu Mkuu?.
Kagera, bukoba vijijini, tarafa ilikuwa kihanja sasa sijui ila kwetu ni Ibwera. Hatujawahi ona barabara inatengenezwa tangu na kabla ya uhuru na tunazalsha kahawa tena organic. Tatizo hatupendwi tangu hata wakati wa nyerere. Tutlikosea nini nchi hii? Lwakatare yupo Bukoba mjini lakini kazaliwa kijijini kwetu anajua hali ilivyo. Wote akina Luangisa judge wanatoka kwetu lakini hawapo kwenye position ya kutetea kijiji chetu. Wamefungwa mikono.

Kardinal Rugambwa alitujengea hospitali na shule ya wasichana ila serikali wakati ule ya TANU ikawavuruga wakaenda kujenga hospitali kubwa Biahalamulo. Politics is a dirty game. Ta Kardinari angekuwa hai angeshauri wanasiasa waendelee na yao. Nimechoka nimefika mahali kusema naondoka bila kuona mabadiliko kijijini kwangu.

Hata ukijitahidi ni matusi sababu huna kadi ya kijani na sisi wengine hatuna interest na vyama. Watu binafsi wamefanya kazi kubwa hasa kuendeleza parokia yetu but is that enough? Tunahitaji orphanage home kwa watoto yatima, wazeee wanaokaa nyumbani bila milo miwili, tunahitaji liblary ambapo wazee waje waangalie kinachojiri duniani halafu tuwapeleke nyumbani na mimi nikiwa mzee mwenzao tuburudike wote.. I have a plot which I can purchase from my brother or I can use mine ili wazee na watoto wapate mlo mmoja.
 
Kagera, bukoba vijijini, tarafa ilikuwa kihanja sasa sijui ila kwetu ni Ibwera. Hatujawahi ona barabara inatengenezwa tangu na kabla ya uhuru na tunazalsha kahawa tena organic. Tatizo hatupendwi tangu hata wakati wa nyerere. Tutlikosea nini nchi hii? Lwakatare yupo Bukoba mjini lakini kazaliwa kijijini kwetu anajua hali ilivyo. Wote akina Luangisa judge wanatoka kwetu lakini hawapo kwenye position ya kutetea kijiji chetu. Wamefungwa mikono.

Kardinal Rugambwa alitujengea hospitali na shule ya wasichana ila serikali wakati ule ya TANU ikawavuruga wakaenda kujenga hospitali kubwa Biahalamulo. Politics is a dirty game. Ta Kardinari angekuwa hai angeshauri wanasiasa waendelee na yao. Nimechoka nimefika mahali kusema naondoka bila kuona mabadiliko kijijini kwangu.

Hata ukijitahidi ni matusi sababu huna kadi ya kijani na sisi wengine hatuna interest na vyama. Watu binafsi wamefanya kazi kubwa hasa kuendeleza parokia yetu but is that enough? Tunahitaji orphanage home kwa watoto yatima, wazeee wanaokaa nyumbani bila milo miwili, tunahitaji liblary ambapo wazee waje waangalie kinachojiri duniani halafu tuwapeleke nyumbani na mimi nikiwa mzee mwenzao tuburudike wote.. I have a plot which I can purchase from my brother or I can use mine ili wazee na watoto wapate mlo mmoja.
Aisee pole sana Mkuu umeandika kwa uchungu mkubwa mno,hakuna kitu kinaumiza maishan kama kuhisi/kuona umetengwa(na huo ndio uhalisia),lakini watu wengine(ulionao katika jamii moja) wanaona wako sawa kabisa,inatesa mno na unapojaribu kushauri unaonekana mpinzani na mjuaji,inaumiza sana,unawaza uache mambo yaendelee kama yalivyo,bado dhamiri inakuhukumu,kuwa na moyo mkuu ndugu yangu,every struggle have the pain to pay.
 
Aisee pole sana Mkuu umeandika kwa uchungu mkubwa mno,hakuna kitu kinaumiza maishan kama kuhisi/kuona umetengwa(na huo ndio uhalisia),lakini watu wengine(ulionao katika jamii moja) wanaona wako sawa kabisa,inatesa mno na unapojaribu kushauri unaonekana mpinzani na mjuaji,inaumiza sana,unawaza uache mambo yaendelee kama yalivyo,bado dhamiri inakuhukumu,kuwa na moyo mkuu ndugu yangu,every struggle have the pain to pay.
Asante kwa kunielewa.
 
Back
Top Bottom