Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Hivi umewahi kumpiga girlfriend wako?

Napiga sana makofi hasa kati kati ya tendo pale akiwa amenogewa namuwesha ya nguvu kweli kweli na hasira zangu namalizia hapo,Baadae akiwa ametulia baada ya utamu kuisha maumivu yapo ndo utasikia baby m*ko yanaumaa! tunapeana pole yanaisha
Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
Kama baba yako ni Lowassa au Bill Gates mzee wa kuku sitashangaa. Ila kama unafanya kazi gereji ukapambana mpaka kusimamisha tofali na kupaua sidhani kama ungeweza kuwaza hivi!
 
Ila muwe mnaangalia tu sehemu za kupiga wakuu..maana unaweza piga halafu demu anakata moto unaanza kulilia majirani kuomba usaidiwe
 
Nimewahi kum'bonda boifrendi ..akaenda kunisemea kwa mama ake..dada zake wakaja kunichamba Hadi nikazimia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mimi kupiga mwanamke siwezi japo ni mkurya,sitaki kuwa kama wazee wangu ila niko radhi nimuachie mwanamke nyumba kama hanipi amani na nikaendelea na maisha mengine...kumpiga mwanamke sio sahihi ni kumuonea coz hawezi kupambana na wewe
mkuu siku hizi sisi watu wa kanda maalum tumekua romantic sana..hatupigi mwanamke kabisa
 
Back
Top Bottom