Usipojibiwa unahama kijiweHahaha, kumbe si ngumu sana!
Lakini mpaka hapo mlengwa ametoa ushirikiano mzuri, mfano nisipo jibiwa pm ugumu upo pale pale.
Itategemea na wewe utakavyojiweka, weka mipaka yako na uizingatie.Kuna ile mnazoeana jukwaan kama hiv badae wanakuja pm. Mnaendelea kuwasiliana mbeleni wataomba namba za simu haya sasa kwa atakaetoa lolote linaweza kutokea.
Lkn sasa huo upendo uwe na kipimo bas mana kuna akina hao akiona tu avatar kali tayari kashajaa. Huu sio upendo ni tamaa tuNdio au we unaonaje?
ππNgoja nisome comments.kuna phaller mmoja anajua sijamstukia π.mdogo mdogo tutafika tunakokwenda
Si unakimbiwa tu πMwanaume ni mwanaume tu π
Kwahyo atafanya ya kiuanaume. Mazoea yanapozidi ujue kuna kifuatacho. Uwe tu tayari
Yaaani tena mimi nasubiri ayamwage ayamalize yote alafu ndo nimpe vyake sasaTuwe tunakumbushana...sio unasubiri nimeshamwaga yote kisha unaniambia mimi fulani.
Si nakukimbiza πSi unakimbiwa tu π
Kabisa, mipaka muhimu sana.Itategemea na wewe utakavyojiweka, weka mipaka yako na uizingatie.
Kuna mmoja alituma hadi picha πYaaani tena mimi nasubiri ayamwage ayamalize yote alafu ndo nimpe vyake sasa
Hamna cha mipaka wala minyauItategemea na wewe utakavyojiweka, weka mipaka yako na uizingatie.
Sawa rafikiso unfair....Kama unanifahamu niambie toka mwanzo.
Unamchana tuu.. Unampa makavu live.[emoji23]Umeshabadili ID yako inayojulikana na mwana JF fulani. Ukafungua ID nyingine akaja akakutongoza.
Wewe unamjua yeye anadhani ni member mpya au mwingine.
Unamalizanaje naye.....unamkwepa? unamuignore au unaenda naye hadi mwisho?
Mi huyu wangu kwanza nshamuacha japo ye hajui km ashaachwa nasubiri huku kwengine aendeleee akifika mahali sasa nimchambe π π π na tinted juuKuna mmoja alituma hadi picha π
Nikamwambia hii picha mbona ya ID flan
Sijui akaja zamia cha wapi π
Mfano mimi humu jf navutiwa na wengi mno, lakini nikiwaza kuna ambao hawana jinsia leo KE mara kesho kageuka ME naona ni bora tufahamiane humu humu kwenye comments.Kabisa, mipaka muhimu sana.
Muombe nauli mpaka aombe pooh!π π π π π π imenikuta hiii niko namtathimin bado huyu mwamba aiseeee
Sema shida unakuta kuna mtu anakuvutia hapa mipaka itanisameheItategemea na wewe utakavyojiweka, weka mipaka yako na uizingatie.
Asante sana ndio maana kila pisi ninayoifuata inbox inapeperuka, ngoja nitengeneze account mpya niwe na personality flani za ki jentomeni, ndio utamu wa jf unaji edit utakavyo..πππbut the fun thing is hata uki create new acc lazima utajusahau tuππUnarudi kusoma comments zake
Utanote ni mtu wa dizain gani
Je anafit hata kwa asilimia nusu na terms zako?
Hizo terms zio za kimahusiano tu, hata ile urafiki.
Ukikuta mambo meusi unamuacha hapo.
πππ
Ohh nimekusoma?Usipojibiwa unahama kijiwe