KUKU_UFUGAJI
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 857
- 1,727
Mimi kazi naiweza naweza kuwa mchepuko wa kudumu. ?Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?
Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
Nafasi zimejaa.Mimi kazi naiweza naweza kuwa mchepuko wa kudumu. ?
Usimdanganye, huyu kapata slay kwini aliye na maumbile ya kiume. Amlee tu hana namna maana amemchagua mwenyewe. Mimi I hope tu mashine iwepo; Heri Nusu Shari!Shemeji mvumioie mwamba akipata kazi atakutunza mpaka ushangae. Wanaume wa aina hii wakipata kazi wanakuwa makini sana kwenye utunzaji wa .familia zao.
Basi nipo kwenye foleni nakusubiria kwa hamu zoteNafasi zimejaa.
Ana depression hata umlaumu vipi hawezi badilika bila msaada wa kitabibu .
Anahitaji msaada, Wanaume huwa wanafanya kazi na kupambana biลa hata kushawishiwa na mtu isipokuwa kwa wachache ambao ni wavivu.
Kuna la zaidi ya unaloliona hapo mleta mada.
Igweeeeee ๐นUlifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?
Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
SwagaAlipitaje kwenye mchujo wa kuwa mumeo???
Itakuwa sektarieti yake mbovu ๐นAlipitaje kwenye mchujo wa kuwa mumeo???
Shida ya kutaka na yeye aonekane ana ndoa matokeo ndio hayo.!!Hilo furushi uliibuka nalo wapi!!
Au ndio ile nawe uonekane uko kwa ndoa!! Kama ni hivyo, basi pambana tu na mkeo.
Matatizo mengine ya kujitakia.Shida ya kutaka na yeye aonekane ana ndoa matokeo ndio hayo.!!
Apambane na furushi lake
Hapo nilipopigia mstari hapo ndo anaangukia shemeji yetu!Ana depression hata umlaumu vipi hawezi badilika bila msaada wa kitabibu .
Anahitaji msaada, Wanaume huwa wanafanya kazi na kupambana biลa hata kushawishiwa na mtu isipokuwa kwa wachache ambao ni wavivu.
Kuna la zaidi ya unaloliona hapo mleta mada.
๐๐Igweeeeee ๐น
Mwenyekiti mitano tena
Wanawake ni viumbe dhaifu... Unawasaidia tu kwenye topic kama hizi maana hawana idea๐Tatizo mimi ni kidume cha mbegu umenitaja kwenye changamoto za wanawake mkuu ๐๐