Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Mwanamke Kabla ya kulalamika mwanaume hakuhudumii je kabla hajakuoa alikuwa anafanya kazi? Au ni desperation Yako ya ndoa ndo ilikufanya uolewe ukiamini utambadilisha? Kama hakuwa na kazi kabla hajakuoa usimsumbue kijana wa watu hayo mambo uliyajua na ukakubali kuingia mkenge
 
Sijajua vizuri, hivi ndoa maana yake ni Kwa mwanaume kumuhudumia Kwa kila kitu Mkewe hadi kumfikisha kileleni…? Na si kuwa na Team work katika familia, hayo ya Team work hayamuhusu mwanamke- yeye ni matonya hadi Yesu arudi au sijaelewa?
Ndo maana kataa ndoa wana point zao humu ndani…
 
.

Kumuhudumia MTU yeyote is blessings in disguise

Kujitoa kwa MTU in positive way is blessings too.

MTU yeyote anayelalamika kuwa amechoka kumuhudumia mwanaume au mwanamke anakuwa na Ana shida kichwani kwa kuamini maisha ni kula , kuvaa na kulala.

Ameonesha immaturity
(kakosa ukomavu wa akili na hisia )
Tukiachana na hilo Dr.

Mwelezee huyu mleta mada kuwa huyo mumewe ana tatizo mentally ili kama anaweza amsaidie before hajampoteza.

Hivi jamii yetu ikiona mtu yuko kwenye excessive alcohol kwanini huwa tunachukulia kawaida? Si kawaida, most of this people wana suffer na depression 😭
 
Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?

Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
👏🏻👏🏻👏🏻😜
 
Hapo nilipopigia mstari hapo ndo anaangukia shemeji yetu!
Żuri… Kweli?

Ukiona ME ana abnormal behavior jua hayuko sawa kichwani. tumuombee shem wetu chance.

Dada yangu mmoja alipatwa na huu mtihani, mumewe alikuwa Lecturer mahali, gafla akaacha kazi, na hajaomba kazi kwa 11 years.. na sio kwamba alikuwa anafanya chochote, alianza tu kushinda home na kwenda kanisani tu. 2020 ndio amerudi kuwa sawa na kuanza kupambana upya.
 
sasa wewe ulijua hana kitu na ukamlazimisha akuoe kwa kigezo kua utamkopesha mahari,,na kwel ukamkopesha,kula chuma iko

NB:,umemuoa huyo so mhudumie vzuri,,anza kufanya zoez la misuli,coz hatulii kwa mdomo,anza kumtandika hadi akae sawa😎🤏🏾
 
Sijajua vizuri, hivi ndoa maana yake ni Kwa mwanaume kumuhudumia Kwa kila kitu Mkewe hadi kumfikisha kileleni…? Na si kuwa na Team work katika familia, hayo ya Team work hayamuhusu mwanamke- yeye ni matonya hadi Yesu arudi au sijaelewa?
Ndo maana kataa ndoa wana point zao humu ndani…
Umeelewa mada ndugu?

Team work wapi hapo?
 
Sijajua vizuri, hivi ndoa maana yake ni Kwa mwanaume kumuhudumia Kwa kila kitu Mkewe hadi kumfikisha kileleni…? Na si kuwa na Team work katika familia, hayo ya Team work hayamuhusu mwanamke- yeye ni matonya hadi Yesu arudi au sijaelewa?
Ndo maana kataa ndoa wana point zao humu ndani…
Ndoa ni kila mtu kujitahidi kadri ya uwezo wake kwa uwezo aliopewa na Mungu kuchangia maendeleo ya familia.

Kama mmoja anakunywa tu pombe January to December teamwork iko wapi?
 
Żuri… Kweli?

Ukiona ME ana abnormal behavior jua hayuko sawa kichwani. tumuombee shem wetu chance.

Dada yangu mmoja alipatwa na huu mtihani, mumewe alikuwa Lecturer mahali, gafla akaacha kazi, na hajaomba kazi kwa 11 years.. na sio kwamba alikuwa anafanya chochote, alianza tu kushinda home na kwenda kanisani tu. 2020 ndio amerudi kuwa sawa na kuanza kupambana upya.
Dada yako ni mtakatifu Mbingu ataiona. Niseme tu hivyo kwakweli! Sijioni nikielewa mwanaume asiyetaka kufanya kazi.
 
Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?

Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
Duu
 
Uhudumiwe wewe kwani ni mlemavu wa akili au mtoto mdogo!! Kama uliolewa akiwa na kazi na kipato kapata matatizo ndiyo unaanza hanihudumii, kumbukeni kiapo cha ndoa for better for worse for richer for poor in sickness and in health, siyo mtu kapata shida kazini au ktk biashara unaanza onhooo hanihudumii, wkt unaolewa mambo yalikuwa, mazuri . Vumilia kama ulivyoapa.
 
Back
Top Bottom