Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Umekubalije kuolewa naye? Ulipitia kipindi cha uchumba kumjua vizuri? Mlipanga ndoa yenu itakuwaje?
 
Ushauri wangu mvumilie cha msingi hapo kila mtu akija kumuulizia we jibu mume wako kasafiri, akija baba mwenye nyumba we jibu mumeo kasafiri ikiwezekana hata mama yake mzazi akija kumuulizia we jibu kasafiri maana hachelewi kuwa anadaiwa hadi na mazaake.
 
Tukiachana na hilo Dr.

Mwelezee huyu mleta mada kuwa huyo mumewe ana tatizo mentally ili kama anaweza amsaidie before hajampoteza.

Hivi jamii yetu ikiona mtu yuko kwenye excessive alcohol kwanini huwa tunachukulia kawaida? Si kawaida, most of this people wana suffer na depression 😭
Upo sahihi kabisa 100%
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Hao Ndio Mliokuwa mnawataka Mabraza men Mabishoo Warefu Wasafiiiiii Sas hivi ndio Umejua unajua kutofautisha kati ya Mwanaume na mvulana hapo Wewe pambana na Hali Yako
 
  • Thanks
Reactions: apk
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Vumilia. Hizo ndiyo shida na raha za ndoa
 
Hapa ndio tatizo lilipoanzia
princess ariana haya makitu hayana formula. Unaweza kufanya due deligence nzuri sana lakini mambo yakabadika.
Mmh sidhani; unajua kuna vipimo vya mtu kuwa mumeo? Au watu hawapimagi, na cha kwanza
-Mwanaume kuwa hana spirit ya kupambana tu hafai kuwa mume!
-Mwanaume mwenye ubishoo mwingi yani yeye hata akiachishwa u bank teller leo hawezi kubeba zege! Heri atafute jimama limlee. HAFAI!
Palipobaki ziada
 
Hapa ndio tatizo lilipoanzia

Mmh sidhani; unajua kuna vipimo vya mtu kuwa mumeo? Au watu hawapimagi, na cha kwanza
-Mwanaume kuwa hana spirit ya kupambana tu hafai kuwa mume!
-Mwanaume mwenye ubishoo mwingi yani yeye hata akiachishwa u bank teller leo hawezi kubeba zege! Heri atafute jimama limlee. HAFAI!
Palipobaki ziada
Aisee watu tofauti sana
Yaani mimi hata nikiwa holiday bado nitatafuta kitu cha kufanya hata voluntarily
Lakini kukaa kihasara hell 👎
 
.

Kumuhudumia MTU yeyote is blessings in disguise

Kujitoa kwa MTU in positive way is blessings too.

MTU yeyote anayelalamika kuwa amechoka kumuhudumia mwanaume au mwanamke anakuwa na Ana shida kichwani kwa kuamini maisha ni kula , kuvaa na kulala.

Ameonesha immaturity
(kakosa ukomavu wa akili na hisia )
Acha uongo yaani unakaa na mwanaume ndani hapambani,unakuwa unafanya biashara gani,utamsadia mtu unaona kweli kakwama na anaendelea kupambana.
Nikukumbushe tu ni ngumu mwanamke kubeba majukumu ya mwanaume na familia ikabaki salama,nature ni nature tu
 
Acha uongo yaani unakaa na mwanaume ndani hapambani,unakuwa unafanya biashara gani,utamsadia mtu unaona kweli kakwama na anaendelea kupambana.
Nikukumbushe tu ni ngumu mwanamke kubeba majukumu ya mwanaume na familia ikabaki salama,nature ni nature tu



😁😁😁😁

Work hard mkuu chakula kodi mavazi mambo hayo yakikushinda je hapa duniani unaweza nini.

😁😁😁😁
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Mimi siwezi kwa kweli.
 
Ukitaka kujua kuwa wanawake wana maisha magumu tazama maisha ya singo maza ,ikiwa hawezi kulea mtoto mmoja how she can take care of her husband???
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Work hard mkuu chakula kodi mavazi mambo hayo yakikushinda je hapa duniani unaweza nini.

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sawa mfano mimi nafanya kazi na naweza kujihudumia kila kitu lakini eti mwanaume akae tu hapo haieleweki anajenga mi nimtunze?kwanza mwanaume anayeweza kuvumilia kutunzwa huyo hana sifa ya kuwa mwanaume
 
Ukitaka kujua kuwa wanawake wana maisha magumu tazama maisha ya singo maza ,ikiwa hawezi kulea mtoto mmoja how she can take care of her husband???
Hivi hayo majukumu ya kutake care your husband yanafanywa na nani?labda sugar mamy,waulize akina uchebe na rommy wanayokutana nayo kwa kupenda kulelewa?
Manhood we ina maana kubwa sana
 
Sawa mfano mimi nafanya kazi na naweza kujihudumia kila kitu lakini eti mwanaume akae tu hapo haieleweki anajenga mi nimtunze?kwanza mwanaume anayeweza kuvumilia kutunzwa huyo hana sifa ya kuwa mwanaume




Mkuu wewe hauwezi kwakuwa haujasimama vizuri financially.

Endelea kupambana utajipata

Kuna wenzio wanhudumia familia kubwa hadi ya baba mkwe.

Endelea kujitafuta
 
Back
Top Bottom