Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Ndoa ni kila mtu kujitahidi kadri ya uwezo wake kwa uwezo aliopewa na Mungu kuchangia maendeleo ya familia.

Kama mmoja anakunywa tu pombe January to December teamwork iko wapi?
Lakini mbona kila siku utasikia mume hatoi matunzo… sijawahi sikia wanaume nao wakilalamikia wake zao kutotoa Matunzo… siku zote ni akina mama… hili limekaaje? Hata kutokufika kileleni, nalo ni mme… hii imejaaje?
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Tulia mke wangu kuna mishe naskilizia
 
Tukiachana na hilo Dr.

Mwelezee huyu mleta mada kuwa huyo mumewe ana tatizo mentally ili kama anaweza amsaidie before hajampoteza.

Hivi jamii yetu ikiona mtu yuko kwenye excessive alcohol kwanini huwa tunachukulia kawaida? Si kawaida, most of this people wana suffer na depression 😭
Upo sawa kabisa shem kuna kitu sio bure.
 
Mi ninachojua kazi kubwa ya mwanaume ni kumpenda mkewe na kuhudumia ndio vitu pia vinavyoonesha upendo au kuna namna nyingine mimi sijui unielekeze?
Na ile Sera yenu ya 50/50 inatumikaje sasa hapo?
 
Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?

Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
Astaghfirullah
 
Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?

Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
Yale yale tunayoongea humu, female dual mating strategy, alpha fucks, beta bucks

Inauma sana, unaoa mwanamke ukidhani anakupenda kumbe hana hisia na wewe, ni kwamba kakukubalia sababu tu chaguo lake halieleweki, so ameona wewe ndo second option ya kumalizia nae uzee 😭
Natafuta Ajira Zemanda Extrovert Equation x
 
Yale yale tunayoongea humu, female dual mating strategy, alpha fucks, beta bucks

Inauma sana, unaoa mwanamke ukidhani anakupenda kumbe hana hisia na wewe, ni kwamba kakukubalia sababu tu chaguo lake halieleweki, so ameona wewe ndo second option ya kumalizia nae uzee 😭
Natafuta Ajira Zemanda Extrovert Equation x
Hisia tunazo tena kede kede; unaachaje kumpenda mume wako anayekutimizia yanayoonekana na yasiyoonekana?

Kwani nani kasema huwezi kupenda zaidi ya mtu mmoja?
 
Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?

Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
Zurie kumbe unachepukaaaaaa...!!!!
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Mnaposema haki sawa ni hivi
Hata mwanamke anaweza kubeba majukumu ya mwanaume
Kwa hiyo uwe na amani kabisa
Lipia watoto ada jua pia watu watakula nini simamia bill za mshua kama ni mtu wa mitungi hakikisha unampa hela ya kwenda kujoin na washkaji kila anapohitaji kufanya hivyo
Na mahitaji yake mengine yote
 
Hisia tunazo tena kede kede; unaachaje kumpenda mume wako anayekutimizia yanayoonekana na yasiyoonekana?

Kwani nani kasema huwezi kupenda zaidi ya mtu mmoja?
Hadi ephen kakucheka, kupenda ninayoongelea mimi ni ile raw sexual desire, huyo mume anaekutimizia mahitaji yako huenda unampenda kama rafiki au ile sababu umemzoea, ila ukimuona papuchi hailoi Zurie
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Huyo ni pambo lako mkuu,komaa nae
 
Mbona sisi wanaume tunaishi na nyie bila kua na KAZI kwa maisha yenu yote mpk kifo kitutenganishe. Ila nyie ni ngumu MNO.





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Ulifungaje ndoa na wa hivi na wewe? Hata mahari aliweza kumudu?

Wenzio wa hivi tunawafanya mchepuko wa kudumu kama kweli tunampenda na shughuli anaiweza. Tunaolewa na family man, responsible man, baba mjengo, baba mwenye nyumba!
Kuna watu kwente uchumba wana act vizuri sana ila ingia nae kwenye ndoa sasa uhalisia wake utajuta
 
Wanaume kujeni hapa niwaambie
.
Ukitaka mwanamke wako akuheshimu in and out simamia majukumu yako effectively.
.
Ukitaka kuwa kichwa cha familia chenye nguvu stand as a man.
.
Ukitaka watoto wako wakupende mpende mama yao
.
Utanishukuru baadae
 
Back
Top Bottom