Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Hivi unaweza kumvumilia mume wa hivi kweli?

Top quality and intelligent women hawezi kuwa na mume wa aina hiyo, hapo ni ngozi na nguo.
 
Hadi ephen kakucheka, kupenda ninayoongelea mimi ni ile raw sexual desire, huyo mume anaekutimizia mahitaji yako huenda unampenda kama rafiki au ile sababu umemzoea, ila ukimuona papuchi hailoi Zurie
Inaloa vizuri sana labda awe katili. Wewe you are just assuming kwamba tunaoana na anyone with money, hapana labda uwe umefika dakika za majeruhi huko na hujapata mtu! Tunaoana na wanaume tuliowapenda, wanaotusisimua, wanaotupa raha lakini wawe responsible men wenye uwezo wa kulea familia.

This does not mean hatujawahi kuwapenda wengine before; this does not mean hatutopenda wengine after!

Moyo in reality hauko that exclusive.
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Wakat anakutongoza na kupalilia penz ww ukaji sahau kuwa kuna maisha baada ya mapenz kuna kubeba ujauzto then familia ukajsau kumshaur awekeze kweny vtu vya msing ukabak tu kumenya maisha sasa na w lipa fadhila kwa kumlea na watt wake ndy maisha
 
Inaloa vizuri sana labda awe katili. Wewe you are just assuming kwamba tunaoana na anyone with money, hapana labda uwe umefika dakika za majeruhi huko na hujapata mtu! Tunaoana na wanaume tuliowapenda, wanaotusisimua, wanaotupa raha lakini wawe responsible men wenye uwezo wa kulea familia.

This does not mean hatujawahi kuwapenda wengine before; this does not mean hatutopenda wengine after!

Moyo in reality hauko that exclusive.
Explain this, huyu Joyce anawakilisha wanawake wengi walioolewa, hata Mzigua90 kwenye moja ya uzi wake alishaliongelea hilo humu jf Zurie
8b8a0dfb23b7ba39d5e3894c6ad13db0.png
 
Explain this, huyu Joyce anawakilisha wanawake wengi walioolewa, hata Mzigua90 kwenye moja ya uzi wake alishaliongelea hilo humu jf Zurie
View attachment 3056789
mimi siwezi relate na Joyce maana namshukuru Mungu sio kwamba sina kipato au nina uhitaji wa pesa wa kunifanya niolewe na yeyote. Na nilipokuwa nazungumzia wanawake pia sikuwa nazungumzia walio kwenye shida, nilimaanisha mwanamke ambaye maisha yake yanaenda tu with or without a man.
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Wewe ni mwanamke au ni shoga ?
 
Sasa hizo pombe unazosema anakunywa kwani anazinywa kwa pesa ipi?

Mleta mada acha kutulisha matangopori
 
Mnavoambiwa kataa ndoa mnafikiri ni kwa wanaume tu
Haya kula chuma hicho
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
Nyote akili zenu zinafanana tu.
 
Yale yale tunayoongea humu, female dual mating strategy, alpha fucks, beta bucks

Inauma sana, unaoa mwanamke ukidhani anakupenda kumbe hana hisia na wewe, ni kwamba kakukubalia sababu tu chaguo lake halieleweki, so ameona wewe ndo second option ya kumalizia nae uzee 😭
Natafuta Ajira Zemanda Extrovert Equation x
Tuendelee kuwafungulia code wanaume wenzetu.
 
Inaloa vizuri sana labda awe katili. Wewe you are just assuming kwamba tunaoana na anyone with money, hapana labda uwe umefika dakika za majeruhi huko na hujapata mtu! Tunaoana na wanaume tuliowapenda, wanaotusisimua, wanaotupa raha lakini wawe responsible men wenye uwezo wa kulea familia.

This does not mean hatujawahi kuwapenda wengine before; this does not mean hatutopenda wengine after!

Moyo in reality hauko that exclusive.
Mwanaume anaposema anakupenda... unajuaje kama anamaanisha?
 
Mwanaume anaposema anakupenda... unajuaje kama anamaanisha?
That is none of my business if anamaanisha or not. What matters ni matendo yake. Does he provide and protect as a man should?? Mapenzi yanayotumika kwenye ndoa ni yangu niliyonayo kwake.
 
Hilo ni chaguo lako🎺
hata kama ni mlevi🎶🎶🎶🎶🎵
 
Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.

Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba labda amesoma ana vyeti ndani, yeye yupo yupo tu na pombe anakunywa shida haziishi kwake unaishia kusolve tu matatizo yake.

Je, kama wewe mwanamke unaweza kumvumilia? Wanaume mnalionaje hili na mnakaa nae kwenye vikao vya wanaume?
pesa ya kunywa pombe anaitoa wapi au unampa wewe??
 
Nilikwambia mm bado najitafuta.

Kitu pekee nilichojipata (kujaaliwa) ni kupeleka pumzi ya moto.

Binafsi ulikubali na ukasema nihamie kwako na nisijali chochote.


Madam naona umekuja kunianika hadharani, vipi tena mbna hatukukubaliana haya?
 
That is none of my business if anamaanisha or not. What matters ni matendo yake. Does he provide and protect as a man should?? Mapenzi yanayotumika kwenye ndoa ni yangu niliyonayo kwake.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom