Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

Hivi unawezaje kuishi nje ya Dar es Salaam

Wewe ni jobless au panya road,mtu mwenye maisha ya maana hana mda wa kuandika upuuzi kama huo,una uwezo mdogo sana kiakili na una msongo wa mawazo
Huyu ana depression,unajua kiuhalisia hakuna shoga mwenye furaha duniani,furaha yao huwa ni ya kifogi,sasa mleta mada amekosa hata ile furaha kidogo ya kufogi,imagine ni shoga halafu anapigwa na jua hatar ataacha kupata depression 🤣
 
Tanzania ukitiitoa dar kunakobaki ni hifadhi ya taifa
Unakuta hizi akili ni za kuishi huko Buza kwa Mpalange, mtoto ana kunya pale yeye anakula hapa! Kisha anaona maisha kayapatia.
Shule kitu muhimu sana, aliye andika uzi huu nawahakikishia lazima elimu unaweza kuta ni la 7B.
 
Huyu ana depression,unajua kiuhalisia hakuna shoga mwenye furaha duniani,furaha yao huwa ni ya kifogi,sasa mleta mada amekosa hata ile furaha kidogo ya kufogi,imagine ni shoga halafu anapigwa na jua hatar ataacha kupata depression 🤣
Ukiona mtoto wa kiume anaongelea ushoga Kila mda ujue ni punga Sasa siwezi kushangaa wewe kutangaza ushoga hongera Kwa upunga
 
Umenikumbusha mbali sana kipindi ndo mgeni mgeni town nlikua na mawazo kama yako
ila usijali ni kaushamba flani tu ka muda halafu badae katafutika as you grow up
ila sku nyngne ustuaibishe kama ivi umetuatia aibu sana kaka😔😔
 
Unakuta hizi akili ni za kuishi huko Buza kwa Mpalange, mtoto ana kunya pale yeye anakula hapa! Kisha anaona maisha kayapatia.
Shule kitu muhimu sana, aliye andika uzi huu nawahakikishia lazima elimu unaweza kuta ni la 7B.
Endelea kuishi hifadhi ya taifa
 
Umenikumbusha mbali sana kipindi ndo mgeni mgeni town nlikua na mawazo kama yako
ila usijali ni kaushamba flani tu ka muda halafu badae katafutika as you grow up
ila sku nyngne ustuaibishe kama ivi umetuatia aibu sana kaka😔😔
Endelea kuishi hifadhi ya taifa usilie ndio maisha hayo
 
Unakuta hizi akili ni za kuishi huko Buza kwa Mpalange, mtoto ana kunya pale yeye anakula hapa! Kisha anaona maisha kayapatia.
Shule kitu muhimu sana, aliye andika uzi huu nawahakikishia lazima elimu unaweza kuta ni la 7B.
Wala hata tatizo sio elimu mkuu,huyu ana msongo wa mawazo tuu,hapa ni sehemu ya kujifariji
 
Endelea kuishi hifadhi ya taifa usilie ndio maisha hayo
IQ yako ndogo pamoja na kusoma apo still huelew naish wap, tuko Dar en we just cool hatuez ongea utoto kama huo sasa we mdogo wetu cha ajabu kinachokuzuzua nn sku ukikatia tiket airport labda ndo utanielewa acha kutuaibisha bana kaka zako
 
IQ yako ndogo pamoja na kusoma apo still huelew naish wap, tuko Dar en we just cool hatuez ongea utoto kama huo sasa we mdogo wetu cha ajabu kinachokuzuzua nn sku ukikatia tiket airport labda ndo utanielewa acha kutuaibisha bana kaka zako
Haupo dar wewe upo porini endelea kujifariji
 
Back
Top Bottom