Hivi Vijana wa CHADEMA Wanatumia kitu gani kinachoharibu uwezo wao wa kufikiri na kujenga hoja? Mbona hawana adabu wala hekima?

Ndio maana alisema iwe ndani au nje ya chama akimaanisha Ni lazima tuijenge utamaduni wa kuheshimiana na kukosoana kwa heshima na adabu, kunyooka nao maana yake kutoa taarifa mahali husika ili hatua za kisheria zichukuliwe kwa utaratibu wa kisheria

Endeleeni kuomba watanzania wazidi kuwa makondoo, ila siku wakiamka hawa viongozi wanaopora chaguzi za nchi, na kulewa madaraka lazima watatoa hesabu.
 
Viongozi wanaongia madarakani kwa njia za kishenzi ni haki yako kutukanwa. Tena inatakiwa ifikie hatua ya machafuko ili kurudisha heshima ya box la kura.
Hakuna wakuleta machafuko nchi hii chini ya serikali imara na shupavu ya CCM, Lisu aliwaambia watu waandamane lakini wakampuuza ikiwemo wewe mwenyewe maana sikukuona ukiandamana popote pale katika nchi hii maana na wewe uliamini na unaamini kuwa CCM ndio chaguo na Tumaini la watanzania
 
Endeleeni kuomba watanzania wazidi kuwa makondoo, ila siku wakiamka hawa viongozi wanaopora chaguzi za nchi, na kulewa madaraka lazima watatoa hesabu.
Watanzania wameridhika na wanaridhishwa na utumishi na utendaji kazi wa serikali ya CCM katika kuwatumikia na kuwahudumia , lakini zaidi ya hapo wanatambua kuwa CCM imekuwa Ni mdomo na masikio ya kila mtanzania mwenye shida na kero yoyote Ile, ndio sababu ya Kuendelea kuaminiwa na watanzania wote
 

Nasema hivi, endelea kuomba watanzania wazidi kuwa makondoo, siku uoga utaisha ndio mtajua hamjui.
 

Watanzania wote huku idadi ya wapiga kura wanazidi kupungua kutokana na CCM kunajisi la box kura.
 
Ushujaa wa viongozi na vijana wengi wa chadema Ni matusi matusi tu, huwezi ukakuta kijana wa chadema Anajenga hoja Hadi mwisho pasipo kuchanganya na matusi au lugha za kumdhalilisha mtu, Kama huamini maneno yangu jaribu kufuatilia kurasa za mitandao za akina mdude
 
Watanzania wote huku idadi ya wapiga kura wanazidi kupungua kutokana na CCM kunajisi box kura.
Chadema jikiteni na wekezeni katika Sera na ajenda zitakazo gusa hisia za watanzania Kama ifanyavyo CCM, mkiwa na Sera na ajenda za kueleweka na kuwagusa watanzania hapo ndipo kidogo watanzania wataanza kuwafikiria kuwapa nafasi mbili tatu za ubunge maana Urais huo hamuwezi kupewa Wala kujaribiwa kupewa kabisa,Tena huko ondoeni mawazo kabisa
 
Nasema hivi, endelea kuomba watanzania wazidi kuwa makondoo, siku uoga utaisha ndio mtajua hamjui.
Hapo ndio huwa mnakosea na kukosa hoja kwa kuzani kuwa watanzania Ni wajinga na kwamba hawaelewi kitu, Napenda kuwaambia kuwa watanzania Wana akili ,wanajitambua na wanatambua chama gani chenye kuweza kuwaongoza na kuwaletea maendeleo, CCM muda wote kimeonyesha uwezo huo wa kuwaongoza watanzania na kuwaletea maendeleo, Ndio sababu ya Kuendelea kuaminiwa na watanzania na kupewa kura za kutosha kila uchaguzi unapowadia
 
Mdude ana busara gani? Kauli ya Chinja chinja alimaanisha kuumaliza upinzani kihoja kwa kuhakikisha kuwa anavuna wanachama wengi toka upinzani na kujiunga na CCM,

Mngekuwa mnamwelewa mdude msingepata shida. Yeye anapenda haki itendeke au itumike kwa kila Raia. Lakini wahusika wanafunga masikio na macho. Ukiangalia yeye anatumia katiba sana na kanuni za kisheria zilizoandaliwa ili zitumike kwa watanzania wote.

Mdude anaona ni inatumika kinyume chake. Hata mtu Kama wewe lazima uchukie
Ndiyo maana anapatwa na hasira anaona ni wasomi lakini wanachokifanya hakiendani na ukweli au usomi wao.

Uwongo au ubabe ni vitu vibaya Sana.

Hapo kwenye chinjachinja unazidi kuomyesha akili ni akili. Sijawahi kusikia chama kikichinjwa. Hivi chama kina damu.

Jamani walimu wa fasihi au mainjinia wa lugha ya kiswahili wakuje kumpa darasa.
 
Kwani mwaka 2015 mlipokuwa mnapita kwenye majukwaa mkiwaambia na kuwahamasisha vijana wenu waandae vichinjio vyao kwa ajili ya kuichinja CCM siku ya uchaguzi mlikuwa mnamaanisha Nini? Au Tayari umesha yasahau haya? Au umeanza kufuatilia siasa leo?
 
Du hatari !!chawa wa ccm,ungeweka basi hata Clip kidogo kuonyesha tqbia mbaya za wanachadema,au heading umekosea ulitaka kusema ccm?maana ccm ndio imeoza.
Wakati wa mwendazake,wale wapambe wake Akina Kabudi,walituaminisha tunadai tilioni 360!!
Lile lililokuwa chawa kuu liprofesa la jalalani sasa hv limekana linasema tamko la tilioni 360!!ilikuwa ni janja na mkwara wa kuwatisha wazungu,Wala sio kitu halisi!!!sasa hapo asiye na akili ni nani vijana wa Chadema au wasomi wa ccm,
Sikiliza mazwazwa Mengine kwenye clip hapa
 

Attachments

  • HhikVRJh0kpN4M-n.mp4
    3.2 MB
Penye wengi Pana mengi.....lakini huwezi Kuwahukumu watu wote kwa makosa ya watu wachache.........humu jukwaani tunashuhudia matusi na lugha chafu kwa pande zote mbili....... vijana wa CCM na CHADEMA na wote tunawakemea kwa kuwa hiyo sio siasa........siasa ni kuvumilia a.......
 

Nasema hivi, endelea kuomba waendelee kuwa makondoo hivi hivi, maana ujinga umeshawatoka ila uoga ndio unawazuia kuchukua hatua. Dalili kuwa wameshachoka hiki chama cha majizi ya kura ni idadi ya wapiga kura kushuka siku hadi siku. Tunasubiri kuingia mtaani tu ndio mtajua mlishachokwa muda mrefu.
 
Mbona hukuandamana ulikoambiwa na Lisu uandamane huku yeye akiwa na tiketi mikononi? Au na wewe Ni muoga Kama unavyotaka tuamini hivyo? Watanzania wana Imani na CCM na serikali yake kuwatumikia
 
Nakukumbusha tu kua uchawa una mwisho.na mwisho wake hauko mbali sana.Wako wenzako waliokua kama wewe sasa hivi wanaona hadi aibu kwajinsi mambo yalivyowabadilikia.Naona unaangaika sana na vitu vidogo vidogo vya wafuasi wa chadema alafu unasahau kua nchi hii toka uhuru iko chini ya ccm.Huwezi kutenganisha ukosefu wa maadili kwa wananchi na ccm.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mbona hukuandamana ulikoambiwa na Lisu uandamane huku yeye akiwa na tiketi mikononi? Au na wewe Ni muoga Kama unavyotaka tuamini hivyo? Watanzania wana Imani na CCM na serikali yake kuwatumikia

Unadhani kuandamana ni zoezi la siku moja? Subiri utaona nini kitaendelea. Na uhakikishe miradi yako ya wizi imekamilika, maana ikifika wakati huo na bado miradi yako haijakamilika, ndio utajua nini maana ya kuheshimu uchaguzi.
 
CCM inaungwa mkono na kupendwa zaidi na wajinga -TWAWEZA.
 
Kwa hiyo kukosa maadili na adabu kwa vijana wa chadema kumesababishwa na CCM? Kwa hiyo hapo wewe ulipo huna maadili? Mbona sisi vijana wa CCm tunajibu hoja kwa hoja na tuna adabu na heshima kwa wote? Basi njooni CCM ili mlelewe na kukua katika maadili mema na yakupendeza na kukubalika mbele ya jamii,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…