Kimsingi ni kukosekana kwa maadili ya uongozi maana japokuwa sheria ya usalama barabarani ilirekebishwa na kuwataja viongozi wengine kuwa kipaumbele barabarani lakini kiuhalisia ni kujikweza tu maana mtu kama ijp ni mlinzi wa usalama sasa anapowekwa kwenye mazingira ya kutojua kinachoendelea hata anapokuwa barabarani atawezaje ku assess hali ya usalama mitaani? Badala yake anasubiri taarifa za uongo anazoletewa na vijana wa doria na rpcs.