Hivi Waafrika hatuna akili?

Ila hili na ngono mnatusingizia. Mbona marekani wana porno industry kubwa kuliko watu wote dunia na huko ndio full migegedo
 
Sawa Mkuu, Mambo yasiwe mengi.
 
Mwafrika ni kiumbe ambacho bado kipo kwenye mchakato wa kuwa binadamu kamili.
 
Mimi naamini akili tunazo lakini hakuna kusupportiana huku Africa. Mfano huku Tz kuna maengineer lakini mpaka leo barabara zetu wanajenga wachina.
Hao Mainjinia wakiafrika ulishawahi kuona kiwango cha barabara walizojenga? Nenda Kigoma kaangalie zile two ways zao utanielewa.
 
Tunamaugnduzi mengi tunayo sema nn wazungu hawataki kutu appreciate kitendo cha kupaa na ungo bila adhari zozote ni ugunduzi wazungu waksema hyo ni uchawi ili mandenge yao yasikose wateja ila ni njia bora sna ya kusafiri hii iaharamishwe
Usafiri gani mpaka uwe uchi na ni usiku tu!?
 
We kima kwanini unabisha kitu nilichokishuhudia kwa macho!!!

No research no right to speak.

Sasa kama kifafa hakiwezi kutupiwa mtu mbona alipona kwa Mtaalamu!!!

Hiii dunia ni kubwa.
 
Oya naelewa kifafa ni nini ila ile ilikuwa ya kuchezewa.

Kama unahitaji uthibitisho njoo nikupeleke kwa Mtaalamu aliyemsaidia.

Japo bado najiuliza technique ya kifafa kusafiri kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine inapitaje pitaje.

Cha kukushauri kingine usipende kubisha ili uonekane unaenda na usasa. Mambo ya asili yanafanya kazi
 
Generally speaking, civilization development ni result of problems and challenging environments. Africa has highly supportive and adequate environments for human survival. Hence, there's not much to solve or the necessity. Everything must have a use in order to thrive. Including your brain.

Nimeandika thread kuhusu hili 2020 or something, inaweza isiwe very technical as I wasn't as advanced as a I'm now. Ila nenda kaisome, nimejibu hichi kitu.
 
Ww mwenyew huna akili lakini kwa vile ni mwafrika sishangai najua hujui hata maana ya revolutionary of technology. Usk mwema
 
Sawa tukubali walikuwa na akili.

Lakini cha kujiuliza mbona Hatufanyi makubwa tena? Au hiyo generation ya wenye akili ilipotea.!!?
Kuna jambo kubwa linalozidi ujenzi wa Mapyramid? Hadi leo hakuna mtu mwenye uelewa wa jinsi walivyopandisha mablock ya tani kadhaa hadi juu…,Na usidanganyike ukafikiri hawa wamisri waarabu ndio walikuwa mafarao, Mafarao walikuwa ni waAfrika weusi wenye asili ya kama watu wa Sudan hivi..
 
Muwe na usiku mwema nyote.

Nawapenda wote maana mnafanya tupunguze STRESS za maisha❤️❤️❤️❤️❤️❤️😁. Na pia tuiombee YANGA kesho ishinde.🙏
 
waafrika wana akili ila shida yao wanalawama sana nazani ndo watu pekee waliumbwa dunian kwa ajiri ya kutoa lawama

Sijawai ona wahindi wachina warabu wakirumu watu wengne.
 
Meli na ndege zinaundwa kwa unga wa ngano sio? Hawatumii chuma?

Meli ya kwanza iliundwa na mtu gani? Kama si Mwafrika walivuka vipi kwenda mabara mengine ukizingatia binadamu wote wametokea Afrika? (Fact).
Hamna nyenzo ya usafiri wa njia ya bahari ambayo iliundwa na mwafrika; ndio maana hata ukienda hapo kisiwa cha Madagascar wazawa sio waafrika bali na watu waliotokea visiwa vya Asia huko
 
Ww mwenyew huna akili lakini kwa vile ni mwafrika sishangai najua hujui hata maana ya revolutionary of technology. Usk mwema
Sina akili kweli.
Lakini REVOLUTIONARY OF TECHNOLOGY ni kitu cha mtu kushindwa!!

Hii ng'ombe kuwa serious 😨
 
Kuna mawili,
1.kuna kosa la kiufundi (technical problem) katika uumbaji wa Mwafrika.
2. Mungu alifanya dhambi kumuumba mwafrika
 
Mkuu ukitaka kuona Wazungu wanatuona wajinga ufagamu wetu ni mdogo we jaribu kufanya nao kazi sehemu moja yani ata Mzungu akikosea kufanya kitu ukimuelekeza hakubali, yani wanatuona wa Afrika hatujui lolote kuhusu Mambo ya Dunia.
 
Kama ukisoma biblia kwa utulivu, utabaini kuwa waafrika tumelaaniwa. Waafrika tumetokana na ukoo wa yule mtoto wa Nuhu aliyelaaniwa na baba yake baada ya kumkuta akiwa uchi....yeye badala ya kumfunika, akaanza kumcheka...na kuishiwa kulaaniwa milele.
 


Huo ndio ukweli. Uwezo wetu wa kiakili ni mdogo ukilinganisha na Wazungu, Wayahudi, Wahindi na Waarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…