Ila hili na ngono mnatusingizia. Mbona marekani wana porno industry kubwa kuliko watu wote dunia na huko ndio full migegedoWaafrika tunaendekeza sana ngono, na haswa bongoland kwa ngono hii nchi imeshindikana. kingine kilichowaangusha waafrika ni kutokua na elimu yake yenyewe.Mataifa yote yaliotumia elimu yake mengi yameendelea na mengi hayakutawaliwa; kwa Africa ni Ethiopia tu ambao nao wana elimu yao kwa kutumia syllabi zao. Imagine, mwaafrika anajivunia kuongea kiingereza vizuri kushinda wenzake 😀 😀 😀