Hivi Waafrika hatuna akili?

Hivi Waafrika hatuna akili?

Kwani wazungu hawajui ngono? Tena wao ndo wametamalaki kwenye hivo vitu kama ushoga. Shida nmwafrika hana time na maswali ya ajabu kama vile "kuna nini ndani ya miili yetu?"
Hana time au akili yake tu haijawa katika hali ya kujiuliza hayo maswali magumu na ya kufikirisha ya nature?
 
Africa we had everything ukiweka Egypt Africa basi hata Civilization tunaweza kusema ilikuwa ni moja ya sehemu ilipoanzia.., Tukiangalia vitu kama ufuaji vyuma, pottery n.k. hata huku vilikuwepo..., Tukiongelea utajili wa kisasa basi hata one of the wealthiest Men duniani alikuwa Mansa Kankan Mussa (alipita Egypt kwa siku moja na dhahabu za kutosha romour has it uchumi ukashuka kutokana na inflation baada ya kugawa dhahabu... kwahio Africa ni Bara na kulikuwa kuna tamaduni tofauti tofauti....

Ukiongelea miji kulikuwa na miji kama Timbuktu ambayo ilikuwa si haba....
Una story za kujihadaa, fantasy na kujifariji sana lakini zenye ukweli kidogo mno na zilizokolezwa chumvi kupitiliza(exaggerations).
 
Una story za kujihadaa, fantasy na kujifariji sana lakini zenye ukweli kidogo mno na zilizokolezwa chumvi kupitiliza(exaggerations).
Badala ya kuonyesha wapi kuna chumvi unatumia muda wako kutoa general comment.., Hio ni moja mbili nani kasema kwamba where we are is where we are supposed to be ?

Tofauti yako mimi na wewe wakati mimi natoa causes na some historical facts wewe unaleta statements ambazo either hazina historical facts au kwa kuchukua vifungu vya hapa na pale...

Dunia haijawai kusimama ni muendelezo na hizi generation between colonialism mpaka sasa hivi ni mengi yametokea na kuna changes kubwa waliokuwa juu then sio waliopo juu sasa.., (rise and fall of empires) na kila culture they had their own ways of life na hata kabla Mkoloni hajaset food huku kulikuwa na Trans African Trade, ufuaji vyuma, pottery n.k.

Pia hata tukiongelea Civilization Egypt were among the first... pamoja na modern-day Iraq, India, China, Peru and Mexico (which shows you all over the world watu waliweza kupambana na mazingira yao) na setbacks nyingi zinatokana na some circumstances which usually have a knock on effect
 
Badala ya kuonyesha wapi kuna chumvi unatumia muda wako kutoa general comment.., Hio ni moja mbili nani kasema kwamba where we are is where we are supposed to be ?

Tofauti yako mimi na wewe wakati mimi natoa causes na some historical facts wewe unaleta statements ambazo either hazina historical facts au kwa kuchukua vifungu vya hapa na pale...

Dunia haijawai kusimama ni muendelezo na hizi generation between colonialism mpaka sasa hivi ni mengi yametokea na kuna changes kubwa waliokuwa juu then sio waliopo juu sasa.., (rise and fall of empires) na kila culture they had their own ways of life na hata kabla Mkoloni hajaset food huku kulikuwa na Trans African Trade, ufuaji vyuma, pottery n.k.

Pia hata tukiongelea Civilization Egypt were among the first... pamoja na modern-day Iraq, India, China, Peru and Mexico (which shows you all over the world watu waliweza kupambana na mazingira yao) na setbacks nyingi zinatokana na some circumstances which usually have a knock on effect
Una uthibitisho civilization ya kale ya Egypt iliundwa na Waafrica/watu weusi??
 
Una uthibitisho civilization ya kale ya Egypt iliundwa na Waafrica/watu weusi??
Ngoja kabla sijafika mbali nikuelewe vizuri.., Kwahio wewe unachokiamini ni kwamba akili ipo kwenye ngozi melanin na sio kwamba necessity is the causative of invention ?
  • Kukuwa kuna haja shida watu watatafuta uvumbuzi (sio ajabu irrigation kuanzia huko Egypt)
  • Kukiwa na resources i.e. karibia na maji (lakes) basi watu watajumuika zaidi na penye wengi kutakuwa na mafanikio.
  • Travelers mfano Europeans wanaotoka huku na huko na kuona vitu ambavyo kwao havipo ni rahisi kwao kuboresha kilichopo kwa kuiga hivyo kupata mchanganyiko bora zaidi.
  • Utamaduni (how we do things around here) ndio utakaofanya either kuchukua mabaya na kuyaboresha au kuendelea na upuuzi wetu wa jana (mfano inferiority na mental slavery ambayo imepelekea hata kujiona kwamba hatuwezi lolote) case in point sakata la Bandari, kutaka kuwapa Tanesco Adani n.k. Au mawazo kama yako kudhani akili ipo kwenye Melanin.
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Dini za watu na kuamini mambo yasiyo na umuhimu kwetu Afrika ndiyo chanzo
 
Tumejenga maPyramid, au sio maajabu hayo? Na usidanganywe na movie ukadhani mapharaoh walikuwa wazungu…, walikuwa weusi wenye asili inayofanana na watu wa Sudan, hakuna mzungu wala mwarabu anaitwa Tutankamun..
porojo
 
Ushahidi kwamba zipo Afrika? Ushahidi kwamba zilikengwa na mapharao? Au ushahidi kwa Mapharaoh walikuwa waAfrika na si wazungu?
Kwanza achana na izo stori za pyramids maana hata hao wamisri ukiwauliza nani aliyezijenga hawana majibu.

Pili, kama tunaongelea uwezo wa kuvumbua solutions mbalimbali kwa changamoto zinazotukabili, uzoefu kwa nchi zote za afrika umeonesha mtu mweusi bado hajaweza kuwa na uwezo wa kutatua changamoto zake mwenyewe pasipo kuhitaji msaada wa nje ya bara, maanayake hata sisi wenyewe ndani ya bara bado hatujaonesha kama tuna uwezo huo, hasa linapokuja suala gumu (complex) lenye kuhitaji akili kubwa. sio ajabu ndomaana hata wew apo ukijikagua utajikuta umevaa mchina kwa 100% na vilivyokuzunguka vyote ni asante mchina kwa 100%.
 
Kwanza achana na izo stori za pyramids maana hata hao wamisri ukiwauliza nani aliyezijenga hawana majibu.

Pili, kama tunaongelea uwezo wa kuvumbua solutions mbalimbali kwa changamoto zinazotukabili, uzoefu kwa nchi zote za afrika umeonesha mtu mweusi bado hajaweza kuwa na uwezo wa kutatua changamoto zake mwenyewe pasipo kuhitaji msaada wa nje ya bara, maanayake hata sisi wenyewe ndani ya bara bado hatujaonesha kama tuna uwezo huo, hasa linapokuja suala gumu (complex) lenye kuhitaji akili kubwa. sio ajabu ndomaana hata wew apo ukijikagua utajikuta umevaa mchina kwa 100% na vilivyokuzunguka vyote ni asante mchina kwa 100%.
Wewe ulipotaka ushahidi, ulitaka ushahidi wa nini na kwanini? Maana hoja ni kwamba wa Afrika hawana akili, sasa mtu asiye na akili aliwezaje kujenga Pyramid?

Kuhusu kutatua matataizi, tuligundua chuma na kuachana na zana za mawe na hivyo kuleta mapinduzi makubwa ya kilimo na kijeshi. Hadi leo ugunduzi wetu wa chuma ndio unaendesha hii dunia.., karibu kila nyanja ya teknolojia inatumia chuma..

Shida yetu ya sasa, ni kuwekewa vikwazo baridi kuhakikisha hatuzalishi vyetu, badala yake tuwe waagizaji.., ila hii inahitaji tu uongozi makini usio na tamaa ya rushwa.., wenzetu huweka kodi kubwa kwa bidhaa toka nje na kupunguza kodi kwa viwanda vya ndani, ndio maana wanasonga mbele, inatakiwa hapa tufanye hilo pia, ila kwa rushwa iliyojaa kila mahali, itakuwa ngumu, na si kwa sababu hatuna akili ya kuzalisha vyetu, maana kwa mfano teknoljia yabutengenezaji computer China imetokea US, sio kwamba ni yao, bali ni techonolgy transfer imefanyika, kwa Afrika hawataki, sababu wanajua tukiweza kuzalisha, watakosa wa kumuuzia, na tutatumia madini yetu wenyewe..
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.

Buni/gundua wewe.
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Waafrika tunaamini ila tumejitoa ufahamu
 
Wewe ulipotaka ushahidi, ulitaka ushahidi wa nini na kwanini? Maana hoja ni kwamba wa Afrika hawana akili, sasa mtu asiye na akili aliwezaje kujenga Pyramid?

Kuhusu kutatua matataizi, tuligundua chuma na kuachana na zana za mawe na hivyo kuleta mapinduzi makubwa ya kilimo na kijeshi. Hadi leo ugunduzi wetu wa chuma ndio unaendesha hii dunia.., karibu kila nyanja ya teknolojia inatumia chuma..
Unaanza ongea mambo ya kale baada ya Uhuru watanzania mmeshindwa panga Mitaa au kusambaza Maji wakati vyanzo mnavyo.. mmeshindwa tengeneza vyuma wakati chuma na makaa ya mawe mnayo. Mmeshindwa kuendesha uchimbaji WA madini Kwa manufaa ya taifa mmeachia wahindi na wachina. Bandari mmegawa Kwa waarabu na wanyama mnauza Kwa promotion. Ukitaka kujua Jamii imejaa wapumbavu Angalia maamuzi yao
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Ustaarabu wa Kwanza Ulianza Pale Egypt. Mwafrika Tajiri Kuliko Wote Aliitwa Mansa Mussa etc Africa imesetiwa na mfumo iwe tegemezi kwa kila kitu toka 1st World & 2nd World Through Industrial Revolution. Poor Africa.Pathetic
 
Habari za ijumaa wanajamiiforums?

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ni kwanini hatuna akili?

Siongelei akili ya darasani, Bali naongelea akili yenye impact katika maisha ya binadamu.

Hakuna teknolojia yoyote ambayo mwafrika amefanikiwa kuanzisha, Yani inshort ni kuwa sisi Waafrika huenda tupo hivi kiasili.

Mwafrika mtu asiyekuwa na akili zaidi katika uso wa dunia.
Akili tunazo ila hatujastaarabika
 
Back
Top Bottom