Hivi Wachagga wanacheza soka? Nimewahi kuwasikia akina Mwakalebela, Minziro, Masatu lakini siyo Massawe au Mushi!

Hivi Wachagga wanacheza soka? Nimewahi kuwasikia akina Mwakalebela, Minziro, Masatu lakini siyo Massawe au Mushi!

Kwamba wachagga wote wana maisha mazuri kuliko Samatta?

Hizi pigo za kujikweza sijui huwa mnazitoa wapi, niliwahi kusimamia project ya ujenzi huko Mwanza, na nikikuwa na wachagga wanne(nadhani walikuwa marafiki) ambao wote walikuwa ni wabeba tofali tu, hao nao wana haki ya kuudharau mpira au kulinganishwa na Samatta??

Huku mtaani nina marafiki na watu wengine ambao ninawajua (wachagga) hawana lolote na tunaishi nao, ila mkifika huku mitandaoni ni kama vile hakuna wachagga makapuku.

Acheni kujikweza, mnawaponza wenzenu.
Acha chuki kwa wachaga. Kuna popote nilipoandika kuhusu wachaga?
 
Jamaa anataka kuona wachezaji wa Kichaga, na wakati hata huko Iringa aliko kwenyewe hakuna mchezaji mmoja mnyalu anayetambulika kwenye ligi kuu!

Imagine kama uliwahi kusikia jina kama Ng'umbi, Makombe, Mlembe, Ndanzi, Mbedule, Kisinini, Kihava, Muyinga, Mkwawa, Mgoda, Lukuvi, Mtavangu, Msambatavangu, Mdagasule, Mfugale, Msilu, Malangalila, Chelesi, Chalamila, Mhume, na wengineo wengi! Kwenye ligi kuu yetu!!!

Walau kwa sasa kuna Clara Luvanga! Tena ni mchezaji tu chipukizi wa timu ya wanawake!
[emoji1][emoji1][emoji1] unawajua vizuri
 
[emoji1][emoji1][emoji1] unawajua vizuri
😁😁😁 Bado sijawataja jamaa zangu wengine akina Dugange, Mhongole, Swallo, Mlonganile, Nganung'a!!

Haya ni majina maarufu sana Nyanda za Juu Kusini, ila huwezi kuyakuta kwenye mpira wa miguu! Badala yake utayakuta kwenye biashara ya mbao, vituo vya mafuta, makazini, na kwenye shughuli nyingine mbalimbali.
 
Huenda unawachukia kwa kuwa hawana chochote
 
Tena alicheza akiwa meneja wa Landrover Tanzania Ltd akiwa na digrii ya uinjinia

Sema wachaga wengi hupenda kushika pesa kila siku aone hela inaingia mkononi
.Hizo pesa za kusubiri hadi msimu wa ligi uanze hawataki.Wanaona bora wachome nyama chuma!!

Kuna utani pia wanasema huwezi kuta bendi ya wachaga sababu waliwahi kuunda bendi ya wachaga watupu kuanzia wapiga vyombo na waimbaji nk na wakaagiza vyombo vya gharama Ulaya na wakafanya mazoezi ya nguvu

Ugomvi ukaja wakati wanajadili nani akae mlangoni kwenye ukumbi watakapokuwa wanaimba atakayekuwa anapokea pesa za viingilio.Kila mwana bendi akawa anataka akae yeye mlangoni apokee pesa za viingilio.

Hakuna aliyetaka kupanda jukwaani kutumbuiza .Kila mmoja haamini mwenzie kukaa mlangoni kupokea pesa za viingilio.

Bendi ikavunjika wakauza vyombo vya bendi wakagawana pesa kila mtu ajijue !! Ndio ukawa mwisho wa Chaga Jazz Band na haijawahi anzishwa tena!!!
Daaa nimecheka sana Chagga Jazz Bendi
 
Hahahahaha wachaga ni mchele mchele sana, Soka na wachaga wapi na wapi...
 
Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini.

Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro akina.Masatu na hata.Kibaden Mputa lakini sijamuona Massawe Mushi wala Kavishe

Hata kule Upareni hakunaga wasakata kabumbu

Why?
Hivi Jo wachaga walikufanya nini, unachuki nao kama ya nyoka na binadamu kwa nini?
 
Naelewa kabisa michezo iko mingi kama darts, karats, nao, kukimbiza kuku nk ola kwenye kandanda Wachagga hawaonekani sijajua kwanini.

Nimewahi kuwaona akina David Mwakalebela, akina Minziro akina.Masatu na hata.Kibaden Mputa lakini sijamuona Massawe Mushi wala Kavishe

Hata kule Upareni hakunaga wasakata kabumbu

Why?
Wewe siyo mtu wa mpira ndiyo maana huwajui lakini wapo wengi tu, na lingine unawachukia sana wachaga popote pale wewe unawaongelea negatively tu.
 
Back
Top Bottom