Hivi wale Waislam wa kipindi kile walipotelea wapi?

Mkuu umenikumbusha mbali Sana!!nilikua naamka na jamaa zangu FULANI wa madrasa usiku kuamsha watu kula daku tukipiga madufu yale!!!ilikuwa raha Sana AISEH!!


Ati Waislam wa siku hizi ndio wenye Ilmu kuliko wa zamani.

Hapa ndio nashangaa
 
TAIKON, sunnah na Qur'an ndiyo mwisho wa yote, mengine ni ongezeko la Ubunifi wa viumbe wa leo. Karibu katika dini ya amani na ustaarabu.


Nashukuru Sana Kwa dini ya Amani na ustaarabu.

Lakini kwangu Dini nazichukulia Kama vyuo tuu vyakujifunzia elimu za kiroho.

Siwezi kuwa na dini moja.
Nasoma zote Kwa maana hakuna dini iliyokamilika mpaka sasa nilizozisoma.
 
Nashukuru Sana Kwa dini ya Amani na ustaarabu.

Lakini kwangu Dini nazichukulia Kama vyuo tuu vyakujifunzia elimu za kiroho.

Siwezi kuwa na dini moja.
Nasoma zote Kwa maana hakuna dini iliyokamilika mpaka sasa nilizozisoma.
Unaelewa kwanza dini ni nini? Ukristo siyo dini.
 
Kaka unapoteza muda wako bure kubishana na hao "pingapinga"..

Hao wanaitwa ni Mawahabi..

Msingi mkuu na mafundisho ya Mawahabi ni Kujilipua, Kuchinja wasiokuwa waislamu, Chuki baina ya waumini na kuleta mifarakano kwenye dini ..

Yale makundi ya kigaidi yote duniani (mfano Boko Haram, Al Shabaab, Isil, Al Qaeda etc)ni imani ya kiwahabi..
 

😊😊😊
 
Tulia bwana Taikon uislamu hauendeshwi kibubusa na Rai za ajabu ajabu ...Muislam safi Ni Yule anaefuata Quran na Sunnah ,,,kataa wahuni na Wazushi ktk dini...
Wewe jamaa kama umemaind hivi
 
"¶¶ Twamshukuru salimu waziri wetu mkuu, kufungua mipaka wake zetu wananga'aa, aliekuwa jaluo amekua muarabu eeee, tiktiktuktuk ¶¶
 
Usiwe Muislamu mjinga ww
Ponda alopigisha watu ni wahabi?(nijibu hili swali)
hlf nitajie sheikh mmoja tu hao mnosema wa kiwahabi alojiripua

Watu wengi haki wanaichukia wanapenda kufata matamanio yao bali hawataki kufuata Qur'an na sunnah za mtume
 
Mkuu Imani ya kiislamu ipo tofauti na kikristo kwetu sisi nyimbo ni haramu hata aimbe nani yule. kwnye Uislamu kilichoruhusiwa ni mashairi tu bila ya Ala za muziki

Mashindano ya Qur'an ni bidaa(uzushi) kawaulize hao wanofanya ivo watoto wao wangapi wamehusudiwa baada ya kushinda hyo mashindano? Na wao wameyapata.wapi mna hakuna Aya wala hadith inotufundisha tufanye mashindano ya Qur'an
 
Sipo hapa kubishana.

Kwa hiyo Elimu ya sasa iliyowafikia Waislam wengi na zamani, wapi waislam wenye unafuu?

Kwa muono wangu Waislam wa zamani wamewaacha mbali Sana Waislam wa sasa. Mbali sana
Kwel kabisa mkuu tena wamewaacha mbali sana,kwaiyo saiz wasanii wanavyo futulisha watu namacamera kwaiyo huo ndio uislam?
 
Na wapi wanakataza kusherekea sikukuu za kiislam Kwa ALA za Muziki na nyimbo??
Swali zuri kwanza inatakiwa ujue kuwa waislam wote duniani hakuna anaweza kupinga juu ya uharam wa muziki maana imekatazwa katika sehem nyingi sana

Mfano kwenye quran suratul Al anfaal aya ya 35

وَمَا كَانَ صَلَاتُهُمْ عِندَ ٱلْبَيْتِ إِلَّا مُكَآءًۭ وَتَصْدِيَةًۭ ۚ فَذُوقُواْ ٱلْعَذَابَ بِمَا كُنتُمْ تَكْفُرُونَ ﴿٣٥﴾

Na haikuwa ibada yao kwenye hiyo Nyumba ila ni kupiga mziki na makofi. Basi onjeni adhabu kwa vile mlivyo kuwa mkikufuru.
 
Usiwe Muislamu mjinga ww
Ponda alopigisha watu ni wahabi?(nijibu hili swali)
hlf nitajie sheikh mmoja tu hao mnosema wa kiwahabi alojiripua

Watu wengi haki wanaichukia wanapenda kufata matamanio yao bali hawataki kufuata Qur'an na sunnah za mtume

Nitajie kundi moja la kigaidi hapa duniani ambalo halina imani ya Kiwahabi?
 
Hadithi ni uthibitisho kwamba Qur'an haitoshi,hadithi ziliibuka miaka 150 baada ya mtume saw kufariki,hadithi zinawagawa waislam kwa misingi ya madh'hab,kila mtu akiwa na wapokezi wake,hadithi miundo wake tu unajua no hekaya
 

tuliisha wape elimu tosha kutoka kwa waislamu wanaojielewa salafi. kuwa haitakiwi kubeba mabendera na maandamano katika uislamu hii hakuna naona wameelewa. bado sisi waislam salafi tunazidi kuwapa elimu waislamu bakwata waache kupiga madufu hiyo sio dini na kusoma maulidi hiyo sio dini waache. na nyinyi TV zote msifikiri kutuletea watoto wa madrasa wanaimba nakupiga dufu huku wakicheza kwenye ma tv mkafikiri kwa waislamu ni ibada hapana sio ibada ni kumkufuru mungu sisi hatuna hiyo hao ni waislamu wa madhehebu ya bakwata
 
Una uhakika hiyo Aya imetaja muziki!?...au unatafsiri kukidhi itikadi zako
 
Sunnah ni mambo ambayo ukifanya unalipwa thawabu na usipo fanya hupati dhambi

Quran siyo Sunnah mzee acha kabisa kuandika upuuzi
Sunnah ni mwenendo,kwa muktadha wa dini ni aliyotenda mtume ambayo hayamo kwenye Qur'an,wenyewe wahabi(answar Sunnah) ukiwaambia Sunnah ni ukifanya unapata thawabu ukiacha hipati dhambi mtagombana,sababu kuvaa dontach kwao ni Sunnah na kutovaa ni ukafiri
 
Mzee aliyestaarabika anaweza kuoa kabinti ka miaka 9?

ndio unaoa hata wa miaka 5 uliza watemi waliokuwa wanatawala tanzania zamani walikuwa wanaoa watoto wadogo sana. na ukumbuke zamani kulikuwa hakuna dawati la kijinsia hizi sheria za kufika miaka 18 zimetungwa majuzi juzi na wazungu ila kabla ya hapo watu walikuwa wanaoa watoto wadogo sana wanaishi nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…