Punguza kujieleza sanaSunnah ni mwenendo,kwa muktadha wa dini ni aliyotenda mtume ambayo hayamo kwenye Qur'an,wenyewe wahabi(answar Sunnah) ukiwaambia Sunnah ni ukifanya unapata thawabu ukiacha hipati dhambi mtagombana,sababu kuvaa dontach kwao ni Sunnah na kutovaa ni ukafiri
Hujui kitu,unabebeshwa tu huchambui,ndiyo maana nakuelezea sanaPunguza kujieleza sana
Hakuna neno muziki kwenye hiyo ayawewe umeomba aya umepewa isome na tafsiri yake ipo hapo. nyinyi watoto mliozaliwa wakati wa coronna mnashida sana
Sawa sijui kituHujui kitu,unabebeshwa tu huchambui,ndiyo maana nakuelezea sana
Ni kweli kwamba huko nyuma hapakua na uelewa wa dini vya kutosha,miaka ya 1960 watu hawakujua hata Kama zinaa ni dhambiAti Waislam wa siku hizi ndio wenye Ilmu kuliko wa zamani.
Hapa ndio nashangaa
Hakuna aliyetoa binti wa miaka 9,ni hekaya za abuu nuwaisiMzee aliyestaarabika anaweza kuoa kabinti ka miaka 9?
Aya imetaja miluzi na kupiga makofi yeye anasema muziki!!!...anamzulia Allah uwongo!!?...anamlisha maneno?...tangu lini mluzi na makofi ikawa muziki!!!?wewe umeomba aya umepewa isome na tafsiri yake ipo hapo. nyinyi watoto mliozaliwa wakati wa coronna mnashida sana
Nimekuuliza swali apo hujajibuNitajie kundi moja la kigaidi hapa duniani ambalo halina imani ya Kiwahabi?
Enyi makafiri hamuyaoni hyo yanotendeka huko makanisani kwenu ya kuwalawiti vijitoto kutoka kwa hao walokuleteeni dini? Bora yule aliyeoa kuliko kuvilawiti vijitotoMzee aliyestaarabika anaweza kuoa kabinti ka miaka 9?
Nani alieoa bint wa miaka 9?
Unajua kuwa hata Sheria ya ndoa ya nchi yako inaruhusu binti wa miaka 14 kuolewa? Au hujui?
Enyi makafiri hamuyaoni hyo yanotendeka huko makanisani kwenu ya kuwalawiti vijitoto kutoka kwa hao walokuleteeni dini? Bora yule aliyeoa kuliko kuvilawiti vijitoto
hlf usilolijua ni kua miili ya waarabu ni tofauti na huku kwetu wao wanakua haraka mno sasa ww unachokishabikia sijui nn
karekebisheni huko makanisani kwenu kwanza
Mtume ﷺ alishawahi kuwaita maswahaba zake halafu akawafanyisha mashindano ya kuhifadhi Quran kisha mshindi akapewa zawadi?Imepokelewa kwa Ibn Masoud (Radwiya Allahu 'anhu) kwamba mtume Muhhamad (SAW) Amesema: Atakayesoma herufi moja katika kitabu Cha Allah atapata hasanah (jema) moja, na kila hasanah moja ni sawa na thawabu kumi, Wala sisemi 'Alif-laam-miym' ni herufi moja, bali Alif ni herufi moja na laam ni herufi moja na miym ni herufi moja.
Rawahu Tirimidhiy
Suratul maida aya ya 48
Basi shindaneni katika mema, kwa mwenyezi Mungu ndiyo marejeo yenu nyote.
Muongozo wa uislam ni Quran na Sunnah
Hii aya inaelezea ibada za manasara wala haijaharamisha nyimbo.Swali zuri kwanza inatakiwa ujue kuwa waislam wote duniani hakuna anaweza kupinga juu ya uharam wa muziki maana imekatazwa katika sehem nyingi sana
Mfano kwenye quran suratul Al anfaal aya ya 35
وَمَا كَانَ صَلَاتُهُمْ عِندَ ٱلْبَيْتِ إِلَّا مُكَآءًۭ وَتَصْدِيَةًۭ ۚ فَذُوقُواْ ٱلْعَذَابَ بِمَا كُنتُمْ تَكْفُرُونَ ﴿٣٥﴾
Na haikuwa ibada yao kwenye hiyo Nyumba ila ni kupiga mziki na makofi. Basi onjeni adhabu kwa vile mlivyo kuwa mkikufuru.
Nyie mnaojiita masalafi si ndio nyinyi wenyewe kwa wenyewe kazi zenu kupigana majungu kwenye mimbar za misikiti?tuliisha wape elimu tosha kutoka kwa waislamu wanaojielewa salafi. kuwa haitakiwi kubeba mabendera na maandamano katika uislamu hii hakuna naona wameelewa. bado sisi waislam salafi tunazidi kuwapa elimu waislamu bakwata waache kupiga madufu hiyo sio dini na kusoma maulidi hiyo sio dini waache. na nyinyi TV zote msifikiri kutuletea watoto wa madrasa wanaimba nakupiga dufu huku wakicheza kwenye ma tv mkafikiri kwa waislamu ni ibada hapana sio ibada ni kumkufuru mungu sisi hatuna hiyo hao ni waislamu wa madhehebu ya bakwata
Hata kama lipo lakini hio aya haijaharamisha huo muziki, bali imeelezea tu ibada zao.Hakuna neno muziki kwenye hiyo aya
Hawa ni watu wa fitna fitna tu, wapo tayari kugeuza maana ya aya ili kushinikiza matakwa ya nafsi zao.Aya imetaja miluzi na kupiga makofi yeye anasema muziki!!!...anamzulia Allah uwongo!!?...anamlisha maneno?...tangu lini mluzi na makofi ikawa muziki!!!?
Kwa hiyo kumbe Wale ndio waliokuwa wanakosea Mkuu?
Kwamba uislam wa sasa ni Bora kuliko wa Kale?
Hapa umepigilia msumari wa utosi asipoelewa basindio unaoa hata wa miaka 5 uliza watemi waliokuwa wanatawala tanzania zamani walikuwa wanaoa watoto wadogo sana. na ukumbuke zamani kulikuwa hakuna dawati la kijinsia hizi sheria za kufika miaka 18 zimetungwa majuzi juzi na wazungu ila kabla ya hapo watu walikuwa wanaoa watoto wadogo sana wanaishi nao