Hivi wale Waislam wa kipindi kile walipotelea wapi?

Upendo huo ulikuja kuondolewa na wazee wa vipedo

Hawa walikuja na teknolojia nyingine kwanza ,walikuwa wanapingwa sana na wenzao ambao walikuwa wanatuheshimu,kushirikiana na kutupenda sisi manaswara

Walikuwa vikundi vidogo sana enzi hizo na walikuwa wanaitwa ( wazushi) neno la kiarabu silisemi, na ili kuwachota wale wenye msimamo wa wastani walikuwa wanapokea misaana mingi kwa waajemi fulani ambao walikuwa wanatembea kwa miguu vijijini

Gafla wakaanza kuongezeka, mtifuano ulikuwa siku ya kufungua wao wanawahi bakora zilirindima

Basi ,ndio hao wamekuja na mafundisho yao yaliyoondoa ule wema, wa wale wa zamani , wapo waliojiingiza kwenye vyama tofauti ijapokuwa hawaamini katu katu mfumo wa sheria za kidunia, mambo mengi muda mdogo
 
Uislamu hautufundishi kuwapenda makafiri mna nyie kma mumemkufuru Mungu alowaumba basi hmna mtakaempenda hta mmoja
 
@Flano kakae chini usome dini yako usipende kufuata ushabiki
Ni ushauri tu huo
 
Kwa tafsiri ya haraka haraka, sunnah ni mambo ya kipuuzi aliyofanya mtume Muhammad nje ya Qur'an, kwahiyo wakaona kila alichokifanya kisiwe dhambi.
 
Hao wanaobaka watoto ndiyo mitume walioleta Dini ambao ndiyo muongozo wa Maisha?
 
Hao watemi walikuwa Na Mungu wa Kuwaambia Kuwa wanchofanya wanakosea? Kuoa mtoto hajapevuka kiakili kimaamuzi inakuwa kama unabaka?
Hao watemi walikuwa mitume wa Mungu?
 
Hao wanaobaka watoto ndiyo mitume walioleta Dini ambao ndiyo muongozo wa Maisha?
M nitakuletea facts safi sana tuone wanobaka watoto ni akina nani
Endelea kuongea uaibike hapa hapa
 
Achana na mambo hizo Mwaisa....
Hebu kwanza JOIN THE CHAIN afu uje kivingine
 
Sunnah ya mtume ni Qur'an,siyo blaahblaah za Abu hurayra za kuitwa hadithi
ww kma sio mshia basi sio muislamu kabisaaa
kma unakataa hadith za Mtume ww sio muislamu ilo ulitambue
 
ww kma sio mshia basi sio muislamu kabisaaa
kma unakataa hadith za Mtume ww sio muislamu ilo ulitambue
Ndiyo ulivyodanganywa hivyo!?...niiamini Qur'an uniambie siyo muislam kisa hadithi ambazo Shia,sunni nk kila mmoja ana wapokezi wake!!!...kwanza hadithi Mara nyingi zinakinzana na Qur'an na kuleta kitu ambacho Qur'an haijasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…