Neuro
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 1,551
- 1,721
Boss umegeuza maandiko, haki soma tena hu mstari wa tamaa 😀 😀 😀Jiulize kwanza kwanini wanawake wanajiuza wanaume wawalipe kufanya nao ngono, lakini wanaume hawajiuzi? Au kwanini male pornstars hawalipwi vizuri kama wanawake? Bible imesema tamaa ya mwanaume ipo kwa mwanamke, wabahili na wasio nazo tunajifanya wenyewe.