Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
KabisaMkono mtupu haulambwi ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMkono mtupu haulambwi ujue
Kwa hiyo shem....aaah shem jamani!!Tatizo anaongea mkono mtupu...
Si tulikubaliana tumle pamoja jamani mke mwenza hutaki tenaHuyo si kanipora mume huyo?bado unamtaka
Kwani tank la Subaru linaingia lita ngapi sweetheart 😁Subaru full tank yake inaanzia 200k
Bora angebaki huko huko,maana naona keshafika hapa basi tafrani[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo wa kwako mbona, kwanza bff wangu missy Gf yupo busy kwenye uzi wa kutafuta mwenza wa ndoa [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
We toa hela ya fultank bwana acha maswali utakosa mtoto mzuri shauri yakoKwani tank la Subaru linaingia lita ngapi sweetheart 😁
Umbea wako utakuponza we nyau 😬😬😬😬[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo wa kwako mbona, kwanza bff wangu missy Gf yupo busy kwenye uzi wa kutafuta mwenza wa ndoa [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Nakupigania hapa upate full tank unaleta umbea kaone[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo wa kwako mbona, kwanza bff wangu missy Gf yupo busy kwenye uzi wa kutafuta mwenza wa ndoa [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Wewe hueleweki, unamtaka ex, mara mimi..dah na hapa nilipo kuna vitu nakosa😁😁Huyo si kanipora mume huyo?bado unamtaka
Nilikuita uzi wa kujifunza uchawi ukadengua shauri yako 😅😅😅😅😅😅 Glenn Ananiletea fortuner anaenda kunikabidhia Melia serengeti endelea kumbwela hapo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Missy Gf unaitwa huku na kipenzi chako, afu uje utupe namba ya mganga wako sio kwa kuwavuruga hawa wazee!!!
Muda wote wanakuwaza wewe bff [emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo anaongea mkono mtupu...
Huyo si kanipora mume huyo?bado unamtaka
Kwani tank la Subaru linaingia lita ngapi sweetheart [emoji16]
Bora angebaki huko huko,maana naona keshafika hapa basi tafrani
Mmh naona kama mapenzi yataelemea Kwa kigori,maana mimi Mzee Sasa,nitapata wivuSi tulikubaliana tumle pamoja jamani mke mwenza hutaki tena
Nakupigania hapa upate full tank unaleta umbea kaone
Nilikuita uzi wa kujifunza uchawi ukadengua shauri yako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Glenn Ananiletea fortuner anaenda kunikabidhia Melia serengeti endelea kumbwela hapo
Niambie shem darlingKwa hiyo shem....aaah shem jamani!!