Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo wa kwako mbona, kwanza bff wangu missy Gf yupo busy kwenye uzi wa kutafuta mwenza wa ndoa [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Bora angebaki huko huko,maana naona keshafika hapa basi tafrani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Huyo wa kwako mbona, kwanza bff wangu missy Gf yupo busy kwenye uzi wa kutafuta mwenza wa ndoa [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Umbea wako utakuponza we nyau 😬😬😬😬
 
Tatizo hujui Lamomy Anapenda hela we mtumie hela ya full tank kama hajakuleta hadi geto

Ndiwooooo ndiwooo bff NAKAZIA atoe pesa ya wese nimlete kwenye mansion lako [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We mzee ERoni embu nijazie full tank
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Missy Gf unaitwa huku na kipenzi chako, afu uje utupe namba ya mganga wako sio kwa kuwavuruga hawa wazee!!!
Muda wote wanakuwaza wewe bff [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilikuita uzi wa kujifunza uchawi ukadengua shauri yako 😅😅😅😅😅😅 Glenn Ananiletea fortuner anaenda kunikabidhia Melia serengeti endelea kumbwela hapo
 
Nilikuita uzi wa kujifunza uchawi ukadengua shauri yako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Glenn Ananiletea fortuner anaenda kunikabidhia Melia serengeti endelea kumbwela hapo

Bff wako si unajua nilivyo mmbea sasa naelemewa na notification nikiingia [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Emu nitag tena uko
 
Back
Top Bottom