Hivi wanawake kuwakataa wanaume kiugomvi wanapotongozwa ni Afrika tu au ni janga la kidunia?

Unajipigia debe 🤣🤣🤣 mzee Hana baya ujue usituponde sisi mzee anataka 3some
Tuondoleeni mambo yenu ya kishetanishetani sie tunamaliza uzee wetu na Yesu,msimletee Mzee wangu majaribu mkamkumbusha bureee😡😡😡
 
Bora Africa, sehemu zingine ni sexual harasement na unaenda jela
Yeah kutongoza kiasili ni udhalilishaji wa kijinsia sema kutokana na mila na desturi za kiafrika hakuna namna ya kupambana na aibu za kike zaidi ya kuwatongoza wadada. Inavyotakiwa munakuwa na urafiki mpaka muna fall in love. Lkn huo muda wa kupoteza waafrika hatuna njaa kali
 
Fantasy tu haina uhalisia wowote, hizo nguvu naenda kumalizia na Joannah wangu🤣
Wapuuzie watoto watukutu hao watafanya safari Yako ya mbinguni iwe ngumu🤣🤣🤣we kaa na na mimi Mzee mwenzio nikupe matured love
 
wanafanyaga ivo kama bado chuchu saa 6 anakula kwa mamaake.

umri ukishazama wanaendaga wenyew kwa mwamposa kuomba japo watongozwe tu maana wkt uo wamezalishwa na baba mtoto keshachimba zake,, nyambaff sn awa
 
wanafanyaga ivo kama bado chuchu saa 6 anakula kwa mamaake.

umri ukishazama wanaendaga wenyew kwa mwamposa kuomba japo watongozwe tu maana wkt uo wamezalishwa na baba mtoto keshachimba zake,, nyambaff sn awa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…