Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

Wanaume wa leo tunazidi kupoteza hadhi yetu kwenye jamii.
Yaani sasa inafika kipindi wanaume tunalalamika kwanini wanawake hawatusaidii majukumu kha!!!!
Ukishasaidiwa majukumu na mwanamke basi jua uhuru wako na hadhi yako kama mwanaume kwa kiasi fulani vitaanza kupungua.
Sawa. Lakini je mimi nalipwa 900,000k yeye analipwa 1.3ml haionekani katika familia. Inaenda wapi? Kwa maisha ya sasa?
 
Sisi ni kama yameshakuwa maisha yetu ya kawaida kwa miaka nenda rudi (more than ten years huko) ikifika mwisho wa mwezi wote tunaeka hela mezani kisha tunapanga matumizi.

Maisha yanaenda vizuri kabisa na hii imesaidia tumefanya mengi pia.
You are the best.
 
Awe makini huyo mwanaume,,wanawake Kuna mda tuna mambo ya ajabu sana. Usikute Kuna jamaa anakula Hela za huyo bidada.

Nina mfano wa ndugu yangu mkewe anapata Hela nyingi tu kama 1.5m Sasa kumbe amempangishia nyumba njemba na anakopa mikopo anampa huyo njemba wa nje
Hapa nimejifunza kuwa ni lazima tuwapelekee moto wake zetu vizuri.
 
Tafuta pesa brother achana na pesa za mkeo
Ebo natafuta hela ndio sasa hela yake ndio isitumike? Akae nyumbani basi. Mbona siku nyengine nikiomba mbususu anasema nimechoka kazi leo zilikua nyingi nalala na genye zangu, so??
 
Awe makini huyo mwanaume,,wanawake Kuna mda tuna mambo ya ajabu sana. Usikute Kuna jamaa anakula Hela za huyo bidada.

Nina mfano wa ndugu yangu mkewe anapata Hela nyingi tu kama 1.5m Sasa kumbe amempangishia nyumba njemba na anakopa mikopo anampa huyo njemba wa nje
Duh! De libolo bwana likishamkolea mwanamke basi anakuwa chizi . Kweli tuwagegegede wanawake vizuri. Hela watatupa wenyewe
 
Mkuu uwe mwelewa basi. Did you really read between the lines? Simtetei mwanamke hapa hata kidogo. Nilichosema mimi ni kwamba people should be careful when searching or choosing life partners.

Maana matokeo ndo haya. Sidhani kama haya mambo mwenye thread alikuwa anayazingatia kabla ya kuoa..sijui ST. Anyways naomba nikucorrect..sio mwanamke atakayeacha nyumba ni mwanaume.. soma Mwa 2:24 period...
Nimekusoma mkuu.
 
Ni heri ukosee kujenga ila usiombe kukosea kuoa/kuolewa, utajuta maisha yako yote. Kwa kifupi jamaa yako alikosea kuoa na hayo ndio matunda ya makosa yake.

Kuoa kuolewa ni bahati na sio kupatia,wapo waliopatia kuoa na wakabadilika unasemaje juu ya hili
 
Awe makini huyo mwanaume,, wanawake Kuna mda tuna mambo ya ajabu sana. Usikute Kuna jamaa anakula Hela za huyo bidada.

Nina mfano wa ndugu yangu mkewe anapata Hela nyingi tu kama 1.5m Sasa kumbe amempangishia nyumba njemba na anakopa mikopo anampa huyo njemba wa nje
Duh hatari hii, sasa alikubali kuolewa ili iweje?
 
Mke na familia yako wanatakiwa kuishi kwa standard ya kipato chako.
Sasa ukitaka waishi kwa standard ya kipato cha mkeo hapo ujue tayari ushapoteza game.

Kama wanaishi kwa standard ya kipato chako maisha hayatokushinda kwa kuwa wako ndani ya mipango yako ya kibajeti.
Yeyote ambaye hatoridhika na hali basi aombe pesa kwa huyo mkeo su akatafute pa kuishi.

Mwanamke aamue mwenyewe kuleta pesa yake kwenye

Wanaume wamepungua sana siku hizi.
 
Wanawake ni wabinafsi, wanaishi nasi kwa mfumo wa CHANGU changu na CHAKO changu.

Pesa yake ni kwaajili ya kusaidia ndugu na jamaa zake tu ili wampongeze na kumsifu tu. Huku mwanaume ukipigika kuendesha familia.

Ndio maana sikuhizi wanawake wanamiliki pesa ndefu kuliko wanaume. Kwasababu pesa zao wanazihifadhi wakati za mwanaume zinatumika kwenye familia.
Hiv wanaume mlipoambiwa mtakula kwa jasho mlielewa nini? Na mwanaume ela yako isipohudumia familia unataka uipeleke wapi?
 
Sawa. Lakini je mimi nalipwa 900,000k yeye analipwa 1.3ml haionekani katika familia. Inaenda wapi? Kwa maisha ya sasa?
Hayo atajua yeye.
Wewe kwanini kutaka kufatilia pesa ya mkeo? Unaitaka?
Wewe ndiye ulimualika huyo mwanamke kwenye maisha yako maana yake ulimwalika muishi naye kwa kutumia unachokipata.

Kwamba ulijitathimini ukiajiridhisha kuwa unao uwezo wa kutunza mwanamke pamoja na watoto kwa kipato unachopata.

Kuanza kuzengea pato la mwanamke ati linaenda wapi ni kuanza kupoteza focus kwenye kutafuta pesa.
 
Back
Top Bottom