Kwani hela ya mwanaume inakuwaga na mwisho mzuri? Wee kama ananipa hela mie natakiwa kumkula mbususu huo tayari mwisho mzuriEndelea kujidanganya....hela ya mwanamke haina mwisho mzuri
Mwanaume unakuwa unadharaulika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hela ya mwanaume inakuwaga na mwisho mzuri? Wee kama ananipa hela mie natakiwa kumkula mbususu huo tayari mwisho mzuriEndelea kujidanganya....hela ya mwanamke haina mwisho mzuri
Mwanaume unakuwa unadharaulika sana
Wanawake wote wanapenda pochi....tofauti ni kwamba ukubwa wa tako ndio unahamua mwanau.e atafungua pochi yake kiasi gani for uTatizo wanaoa wanawake wapenda pochi
Flat screen tunanyanyasika sn hii nchi😅Wanawake wote wanapenda pochi....tofauti ni kwamba ukubwa wa tako ndio unahamua mwanau.e atafungua pochi yake kiasi gani for u
Bora nyie flat screen tuu...sie wanaume ambao hatuna hela na ambao sio tall dark and handsome mpenzi pekee tumjuaye ni revolaFlat screen tunanyanyasika sn hii nchi😅
Sina tatizo na hilo kabisa, muhimu ni kwamba muwe mmekubaliana kabla hamjala kiapo.Kuna concept moja inabidi tuikumbuke. Wananwake nao wamekuwa wakikwepa majukumu yao.
Kweli napaswa nimtunze na kila kitu lakini naye akae kwa munyumba alee watoto sio kumuachia housegelo
Siku moja nipo site napiga mishe sasa nilikuwa kweny ICD fulani nakagua container bahati mbaya simu yangu kali Samsung S9 plus ilidondoka jamaa wa forklift hajaiona akakanyanga ila aliniomba excuse sana mpaka nikaona poa kwa kweli haifai kabisa nikatoa line kibaha kariakoo nikachukua kiswadu cha bontel elfu 20 fasta niwasiliane na mteja
Ghafla message inaingia naomba uniagaiwe pesa ya Kama 50k matumizi hakusema nikamwambia jamani hata salamu tujuliane hali kwanza "aah sorry ' vip anajibebisha nikamwambia yote kuhusu simu 'ndo maana meseji WhatsApp hujibu" nikamwambia ndio akasema "sawa"
Balaa anasema sasa pesa utanitumia saa ngapi au niifuate ***** zake kwa kweli hata pole
Yaah mkuu ni asili yaooo...!! Kulibadilisha hili ni ngumu tuishi nalo tuWanawake ni wabinafsi sana nimeona sehemu nyingi kuanzia nyumbani kwangu.
Ni vile hatuwezi kuandika kila jambo mtandaoni ila ningewapa kisa kimoja sema kimekaa kifamilia sana
Wanaume bado wapo, ukiachana na yale mafurushi mengine.
Sijawahi kuwaza hela ya mwanamke hata mara 1.
Usipange mipango na mwanamke hata siku 1.
Wewe kama Una familia kama unataka kujenga nyumba Jenga peke yako Ila mpe taarifa. Kila kitu mpe taarifa Ila usitake eti mgawane gharama utakuja kulia.
Huyu atolewe kwenye makato ya Tozo zote shoga 'angu[emoji38]
Na wengi huwa wanajenga, au wananunua Asset kwa siri.Mwanamke analipwa Mshahara mwisho wa mwezi hatoi hata 100 unampa hela ya Matumizii katikato ya mwezi anaanza kukuomba helaaa...!! Yani inafika point inabdi uhoji Pesa yake anafanyia nini unaweza kuta unajitesa umridhishe na mahitaji yake kumbe mwenzio anajenga nyumba mahalii ukoo...
Yaah mkuu amini tenaa..!! Unaweza shtukia ana viwanja viwili[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Na wengi huwa wanajenga, au wananunua Asset kwa siri.
Sasa what if ukipata mchempuko ambaye yuko honestly na wewe kwenye financial yake?Na ndio sababu mojawapo ambayo wake wengine wanayo on their minds kwamba wasiopowakamua hela mpaka tone la mwisho hela mtaenda kuzimaliza kwa michepuko,
Kwa hiyo wanaona afadhali wakakamue mtimize majukumu ya familia ili kama ikibidi michepuko mkawale bure kama watawaelewa.
Kwenye hichi kichaka cha uislamu ulichojificha, unajuwa uislamu unasema nini kuhusu mke kuwajibika kwa mume wake?Mkuu, kama wanandoa hao ni waislamu waache kama walivyo.
Maana kwenye Uislamu jukumu la kumtunza mtoto wa kike ni la baba yake, akifa basi kaka zake wa kiume watawajibika kumtunza.
Matunzo hayo ni pamoja na kumpa pesa ya saloon na matumizi yake binafsi.
Ikitokea akaolewa basi jukumu linahamia kwa mumewe, hata M/ke akiwa na kazi mwanaume anawajibika kulea watoto na mke pia. Atawajibika kumpa pesa ya kula, saloon, kununua nguo na mahitaji yote.
Mwanamke kutoa pesa yake ktk majukumu ya kifamilia aamue tu kwa mapenzi kumsaidia mumewe.
Kiufupi ni; Cha mwanamke ni cha mwanamke cha mwanaume ni cha wote.
NIMESEMA KWA MUJIBU WA UISLAMU.
Hawa wanajua kuwalia timing wanaume maboya acha tuuYaah mkuu amini tenaa..!! Unaweza shtukia ana viwanja viwili[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Tako na akili huwa havimilikiwi na mwanamke mmoja.Flat screen tunanyanyasika sn hii nchi😅
Mnapendaga mafala kama haya ndio maana mnazaa watoto wasio na akili...hivi huyu mwanaume unatarajia mwanae atarithi nini kama siyo huo utumbo huko kichwani...Wanaume bado wapo, ukiachana na yale mafurushi mengine.