sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 722
- 885
Sawa. Lakini je mimi nalipwa 900,000k yeye analipwa 1.3ml haionekani katika familia. Inaenda wapi? Kwa maisha ya sasa?Wanaume wa leo tunazidi kupoteza hadhi yetu kwenye jamii.
Yaani sasa inafika kipindi wanaume tunalalamika kwanini wanawake hawatusaidii majukumu kha!!!!
Ukishasaidiwa majukumu na mwanamke basi jua uhuru wako na hadhi yako kama mwanaume kwa kiasi fulani vitaanza kupungua.
Matokeo yake anakuwa mtalii mzuri wa lodges mbali mbali.Feminism ni Hatari nanusu mkuu!!! Ndiomana wanasema the more mwanamke anazidi ongeza kiwango cha elimu the less the fursa ya kupata wanaume!!
You are the best.Sisi ni kama yameshakuwa maisha yetu ya kawaida kwa miaka nenda rudi (more than ten years huko) ikifika mwisho wa mwezi wote tunaeka hela mezani kisha tunapanga matumizi.
Maisha yanaenda vizuri kabisa na hii imesaidia tumefanya mengi pia.
Hapa nimejifunza kuwa ni lazima tuwapelekee moto wake zetu vizuri.Awe makini huyo mwanaume,,wanawake Kuna mda tuna mambo ya ajabu sana. Usikute Kuna jamaa anakula Hela za huyo bidada.
Nina mfano wa ndugu yangu mkewe anapata Hela nyingi tu kama 1.5m Sasa kumbe amempangishia nyumba njemba na anakopa mikopo anampa huyo njemba wa nje
Anakuwa mtalii wa lodge🤣🤣🤣🤣🤣Matokeo yake anakuwa mtalii mzuri wa lodges mbali mbali.
Ebo natafuta hela ndio sasa hela yake ndio isitumike? Akae nyumbani basi. Mbona siku nyengine nikiomba mbususu anasema nimechoka kazi leo zilikua nyingi nalala na genye zangu, so??Tafuta pesa brother achana na pesa za mkeo
Duh! De libolo bwana likishamkolea mwanamke basi anakuwa chizi . Kweli tuwagegegede wanawake vizuri. Hela watatupa wenyeweAwe makini huyo mwanaume,,wanawake Kuna mda tuna mambo ya ajabu sana. Usikute Kuna jamaa anakula Hela za huyo bidada.
Nina mfano wa ndugu yangu mkewe anapata Hela nyingi tu kama 1.5m Sasa kumbe amempangishia nyumba njemba na anakopa mikopo anampa huyo njemba wa nje
Nimekusoma mkuu.Mkuu uwe mwelewa basi. Did you really read between the lines? Simtetei mwanamke hapa hata kidogo. Nilichosema mimi ni kwamba people should be careful when searching or choosing life partners.
Maana matokeo ndo haya. Sidhani kama haya mambo mwenye thread alikuwa anayazingatia kabla ya kuoa..sijui ST. Anyways naomba nikucorrect..sio mwanamke atakayeacha nyumba ni mwanaume.. soma Mwa 2:24 period...
Ni heri ukosee kujenga ila usiombe kukosea kuoa/kuolewa, utajuta maisha yako yote. Kwa kifupi jamaa yako alikosea kuoa na hayo ndio matunda ya makosa yake.
[emoji28][emoji28]Kabisa yani.Miaka si Mingi mwanamke atajumuishwa kwenye aina za Ugaidi.
Duh hatari hii, sasa alikubali kuolewa ili iweje?Awe makini huyo mwanaume,, wanawake Kuna mda tuna mambo ya ajabu sana. Usikute Kuna jamaa anakula Hela za huyo bidada.
Nina mfano wa ndugu yangu mkewe anapata Hela nyingi tu kama 1.5m Sasa kumbe amempangishia nyumba njemba na anakopa mikopo anampa huyo njemba wa nje
MkuuHongera kwa kuchakata koneksheni mkuu
a!!Matokeo yake anakuwa mtalii mzuri wa lodges mbali mbali.
Ukiona kabadilika jua kuwa hukupatia bali ulikoseaKuoa kuolewa ni bahati na sio kupatia,wapo waliopatia kuoa na wakabadilika unasemaje juu ya hili
Binadamu atabilikiUkiona kabadilika jua kuwa hukupatia bali ulikosea
Hiv wanaume mlipoambiwa mtakula kwa jasho mlielewa nini? Na mwanaume ela yako isipohudumia familia unataka uipeleke wapi?Wanawake ni wabinafsi, wanaishi nasi kwa mfumo wa CHANGU changu na CHAKO changu.
Pesa yake ni kwaajili ya kusaidia ndugu na jamaa zake tu ili wampongeze na kumsifu tu. Huku mwanaume ukipigika kuendesha familia.
Ndio maana sikuhizi wanawake wanamiliki pesa ndefu kuliko wanaume. Kwasababu pesa zao wanazihifadhi wakati za mwanaume zinatumika kwenye familia.
Hayo atajua yeye.Sawa. Lakini je mimi nalipwa 900,000k yeye analipwa 1.3ml haionekani katika familia. Inaenda wapi? Kwa maisha ya sasa?