Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #121
Sasa huyu humjui kama mie. Kweli anahela,ila uchawi wake hadi umzalie yaani ndio akupe hela sema moja nilipopangisha huku chini yeye yupo kwa juu anamke mzuri sana.Ngoja nikuitie Equation x mchumba huyu hapa
Nimekumis sana, toto lenye shepu yake ya kuvunja chagaNgoja nikuitie Equation x mchumba huyu hapa
Wewe mjukuu wangu haya maneno umeyatoa wapi?Sasa huyu humjui kama mie. Kweli anahela,ila uchawi wake hadi umzalie yaani ndio akupe hela sema moja nilipopangisha huku chini yeye yupo kwa juu anamke mzuri sana.
Ila kisa ni maagano ya mizimu lazima amle mdada nakumpa mimba hachelewi. Nao ndio wao na mkewe wanavuna zaidi na nimcha gga wa maranguu
Haujampiga kitu kibendiNimekumis sana, toto lenye shepu yake ya kuvunja chaga
Kwendraa kwa uzee upiWewe mjukuu wangu haya maneno umeyatoa wapi?
Mkuu funguka basi tupate Elimu sisi waoaji wa baadae [emoji56]Mi mwanamke niamini!
Labda ukute aliyetoka kwenye relationship yenye matatizo,km ndoa ht wao baada ya Muda wakikaa sawa thubutu!
Lzm Kuna namna sio kirahisi tu eti akubali kuliwa tena ukute mwanaume anajiweza ni uongo mtupu!
Labda uwe huna kitu manaake Kuna sehem anapaelewa sa hataki kuji attach na we atapoteza huko kwingine....
Na ndo maana migogoro kwenye ndoa nyingi haiishi,michepuko inawalisha madudu waume za watu sn tu!
Huku church kwenye maombi na kufunguliwa tunajionea mengi, tukisema tuandike hapa utabaki mdomo wazi!
Ushauri wangu mtegemee Mungu tu,omba Mungu!
Duh! Kwa hii kauli yako Nimeogopa mno! Kama unavyoelezea, ndivyo ilivyokuwa. Yule jamaa yetu alipata kazi nzuri huko mikoani ndanindani kwenye mashirika ya kizungu, alikuwa analipwa kwa dollar za kutosha. Ila mkataba ya wazungu huwa ni mifupi miezi 6 mpaka mwaka. Baada ya hapo labda wakuongezee. Kipindi hicho kifedha alikuwa vizuri, ila kutokana na ufupi wa mikataba ya kizungu hakuwa tayari kwa familia. Nahisi ndio maana aliichukua hiyo pisi na wakakubaliana toka mwanzo ni kikulana tu, walipima magonjwa yote na binti akawekewa kijiti cha uzazi wa mpango, ili kuepuka mimba. Jamaa alikuwa anajiienjoia kwa raha zake zote lile tako kubwa pamoja na mahipsi yaliyojaa vizuri 🤣 🤣🤣 bila wasiwasi. Jamaa alinogewa akawa sponsor rasmi mpaka wadau wote tulijua.Mi mwanamke niamini!
Labda ukute aliyetoka kwenye relationship yenye matatizo,km ndoa ht wao baada ya Muda wakikaa sawa thubutu!
Lzm Kuna namna sio kirahisi tu eti akubali kuliwa tena ukute mwanaume anajiweza ni uongo mtupu!
Labda uwe huna kitu manaake Kuna sehem anapaelewa sa hataki kuji attach na we atapoteza huko kwingine....
Na ndo maana migogoro kwenye ndoa nyingi haiishi,michepuko inawalisha madudu waume za watu sn tu!
Huku church kwenye maombi na kufunguliwa tunajionea mengi, tukisema tuandike hapa utabaki mdomo wazi!
Ushauri wangu mtegemee Mungu tu,omba Mungu!
Tunangojea msimu wa kiangaziHaujampiga kitu kibendi
Miaka 73 sio mchezo mjukuu wanguKwendraa kwa uzee upi
Wewe ni wa pili kwetu wa kwanza ana 82 wa pili 74 na muhusika ana 115 mie wa mwisho 34Miaka 73 sio mchezo mjukuu wangu
Wanatumia ID gani humu niwasalimie?Wewe ni wa pili kwetu wa kwanza ana 82 wa pili 74 na muhusika ana 115 mie wa mwisho 34
Hawapo karibu hata hii kitu hawajui ipoWanatumia ID gani humu niwasalimie?
AweeeeeeNimekumis sana, toto lenye shepu yake ya kuvunja chaga
Weeee hii kali nilikuwa sijuiSasa huyu humjui kama mie. Kweli anahela,ila uchawi wake hadi umzalie yaani ndio akupe hela sema moja nilipopangisha huku chini yeye yupo kwa juu anamke mzuri sana.
Ila kisa ni maagano ya mizimu lazima amle mdada nakumpa mimba hachelewi. Nao ndio wao na mkewe wanavuna zaidi na nimcha gga wa marangu
huyu inaonekana akiona mambo yake hayaendi anakimbilia kwa waganga ..wanmchota hela wee na akili yake ..alwys hayuko sawa ..naamini anaenda sana kuroga na kuangalia nan anamchawia🤣🙌Hebu toka huko uswahilini bwana
Huku mvua inatutesa sana, sogea karibu tule mahindi ya kuchomaAweeeeee
Kila mwanamke na makuzi yake. Huwezi kuutoa uswahili kwa mwanamke mswahili hata ukimuhamishia Masaki.Mama weee, hujui
Wanawake sisi 🙌
Mungu tu awasaidie wanaume
Mtu mshirikina hawezi kuwa smart upstairs. Ukiweza kuisoma akili ya mwanamke then you will get to know at what degree she sees and percieves things.Utajuaje kama wao hawafanyi?