Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
-
- #161
Unajidanganya sana tu ungekuja hapa ujionee ungevua nguo nakutembea uchi,ndinga analo,pesa anazo na niwell manned ila sasa ukichunguza ndani ya kapeti unaweza zima. Ushawahi tumiwa kunguru ukapata ajali??Mwanamke aliyeelimika hawezi kuwa superstitious
Kila lenye mwanzo linamwisho litapita nalo maana Niko na evidence nalo.Hello , hawajali,nawanarenew
Mganga alikufa au aliamua kukuacha tupo hapa tunajioneaKila lenye mwanzo linamwisho litapita nalo maana Niko na evidence nalo
🤣🤣🤣HUU SASA NDIO UTAPELI VIJANA TUKAE SINGO AMA TUOE TUKUTANE NA VISANGA KAMA HIVI WANAWAKE PEPO MTAISKIAMganga alikufa au aliamua kukuacha tupo hapa tunajionea
Wanaume. Mungu anatulinda sana 😂😂Mganga alikufa au aliamua kukuacha tupo hapa tunajionea
Uamuzi ni wako🤣🤣🤣HUU SASA NDIO UTAPELI VIJANA TUKAE SINGO AMA TUOE TUKUTANE NA VISANGA KAMA HIVI WANAWAKE PEPO MTAISKIA
Acha tuWanaume. Mungu anatulinda sana 😂😂
Kila Maisha na Hatua tunatakiwa kuzifikia pamoja na ndoto zetu kwa ujumla lkn kuna mjinga ndani anawaza akufanye bwege wake ndani😂Uamuzi ni wako
Vp we ujawai jaribuAcha tu
SahihiKila Maisha na Hatua tunatakiwa kuzifikia pamoja na ndoto zetu kwa ujumla lkn kuna mjinga ndani anawaza akufanye bwege wake ndani😂
Mbn mwafanya Maisha yawe magumu zaidiSahihi
🤣🤣🤣🤣🤣 kuloga hapo hapana ila kujua wachawi yesVp we ujawai jaribu
Sema wanafanya mimi sijawahi mzibia mtu rizikiMbn mwafanya Maisha yawe magumu zaidi
Wanipa wasiwasi🤣Sema wanafanya mimi sijawahi mzibia mtu riziki
Funguka tafadhari boss ladyYou know kwako sijiwezi uwii naanzaje kwa mfano! Uliponirogea hakii huendi mbinguni smart
Sasa ukute mwanamke Arusha anakuroga Tanga anakuroga Dar anakuroga Mbeya anakuroga uwiii mwanaume Si utachizi sasa???!!
Hapo mwenye kufunikwa na damu ya Yesu tu ndio atakuwin mwanaume!
Urozi ni hatari sana asee
Sawa sikulazimishi mie niko full package dear siitaji kuchukua!nuksi za mtu ningekuwa nakosa pesa ningekuwa billioneaWanipa wasiwasi🤣
🤣🤣🤣Duh! Kwa hii kauli yako Nimeogopa mno! Kama unavyoelezea, ndivyo ilivyokuwa. Yule jamaa yetu alipata kazi nzuri huko mikoani ndanindani kwenye mashirika ya kizungu, alikuwa analipwa kwa dollar za kutosha. Ila mkataba ya wazungu huwa ni mifupi miezi 6 mpaka mwaka. Baada ya hapo labda wakuongezee. Kipindi hicho kifedha alikuwa vizuri, ila kutokana na ufupi wa mikataba ya kizungu hakuwa tayari kwa familia. Nahisi ndio maana aliichukua hiyo pisi na wakakubaliana toka mwanzo ni kikulana tu, walipima magonjwa yote na binti akawekewa kijiti cha uzazi wa mpango, ili kuepuka mimba. Jamaa alikuwa anajiienjoia kwa raha zake zote lile tako kubwa pamoja na mahipsi yaliyojaa vizuri 🤣 🤣🤣 bila wasiwasi. Jamaa alinogewa akawa sponsor rasmi mpaka wadau wote tulijua.
NB: Aisee leo umeitoa siri nzito ambayo nilikuwa siijui. Maana kwenye circle yangu mdau mmoja ndio hivyo alirogwa na pisi, na mdau mwingine alikuwa na mapenzi ya aina hiyo na binti alikubali ila binti inaonekana alimgeuka (wadau tunahisi alichomoa dawa ya uzazi wa mpango)na alimtegeshea mimba na akazaa mtoto kisha akawa anamtumia mtoto kama mbinu ya kufosi ndoa. Inaonekana una hoja, na unajua siri nzito ambazo watu hatujui.
Duh! Nimeogopa! Nimeogopa mno! Maana kipindi fulani zamani huko pesa ilinitembeleaga bado kidogo sana ningeingia kwenye staili hiyo ya kukulana tu 🤣🤣. Niliahirisha baada ya jamaa yetu kuanza kuumwa sana, na chanzo kikawa kurogwa na pisi.
Ila Sasa kama binti hataki mapenzi ya kuliwa tu si akatae tu. Kila mtu achukue 50 zake mapeeemaaaaa?
Aisee nilivyokua chuo niliona mengi yaliyonishangazaKila mwanamke na makuzi yake. Huwezi kuutoa uswahili kwa mwanamke mswahili hata ukimuhamishia Masaki.
Basi hatariiHahahahahaha yaani hata humu ni member hao vigagula tunaowasoma