Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Hivi wanawake shida ni nini lakini?

Anahangaikia mapenzi mkuu, anafanya hivo ili umpende, ni ushirikina tuu hauhitaji maelezo mengi.
Ni kama ile waswahili wanayosemaga "Limbwata"

Kwa issue ya Kuzaa matunda sijui kama inazaa matunda au la.
Hahahahah kuna moja nilisikiaga kwamba wanaweka kakipande ka nyama kwenye nyuchi zao,kanalala humo,kesho yake unaandaliwa msosi kanawekwa. Eti ukikala,unampenda hadi unapitiliza vituo,af unakuwa kama mjinga mjinga hivi. Najiulizaga connection ya hayo mambo na uhalisia nashindwa kupata jibu.
 
SI hamsikii mkiambiwa🤣
Mnafikiri wanaume wanao oa wanawake wa kawaida wajinga!

Halfau hakuna mwanamke Ambae Yuko tayari eti kuliwa tu,ni uongo!
.atakubali lkn atafanya Kila namna akukamate!

Haya ss,imagine huyo kaka mama Ake mzazi asingekua muombaji ingekuwaje?
SI mngeishia kuzika?
Ndo maana kwenye familia km mna ht mtu 1 anaewaombea mshukuru sana.🤣

Hata puli sio issue ni spirit/demon ziko nyuma ya hiko kitu madh ara hutayaona sshv

Cha mhimu mtegemee Mungu ,omba Mungu hutaingizwa kwenye hayo makitu
Duh
 
SI hamsikii mkiambiwa🤣
Mnafikiri wanaume wanao oa wanawake wa kawaida wajinga!

Halfau hakuna mwanamke Ambae Yuko tayari eti kuliwa tu,ni uongo!
.atakubali lkn atafanya Kila namna akukamate!

Haya ss,imagine huyo kaka mama Ake mzazi asingekua muombaji ingekuwaje?
SI mngeishia kuzika?
Ndo maana kwenye familia km mna ht mtu 1 anaewaombea mshukuru sana.🤣

Hata puli sio issue ni spirit/demon ziko nyuma ya hiko kitu madh ara hutayaona sshv

Cha mhimu mtegemee Mungu ,omba Mungu hutaingizwa kwenye hayo makitu
Duh! Ni hatari mno. Jamaa toka mwanzo walikubaliana na hiyo pisi kuwa mapenzi yao ni ya kukulana tu. Binafsi nilikuwa nawaonaga wakiienjoy zao, jamaa akilifaidi tako kubwa kwa raha zake, aliminyaminya mara apige vikofi mzigo unavibrate 🤣🤣 anatuoshea zigo sisi wadau zake. Jamaa alienjoy kwa raha zake. Ila jamaa aliteseka mno, ugonjwa hauonekani ila anaumwa.



NB: Hiyo kauli ya kuwa hakuna mwanamke ambaye yupo tayari kuliwa tu, mbona inatisha. Maana ni trend ya siku hizi ina majina mengi kama semi bitch, indirect Dangaring, friend of benefits, no strings attached n.k.
Kwa hiyo hayo mapenzi yote, mwanamke hata akikubali, ila moyoni anakuwa na jambo lake? Sasa mbona ni hatari mno 🤣
 
Wengi tu mbona
Ila SI mnataka pisi
Endeleeni
Na ibada hamtaki.walokole mnawananga, 🤣
Achana na wanaojifanya walokole wapo na utawajua tu
Hahahahahahaha mie nilishashtuka siku nyingi maana nishakaa uswazi nayajua haya mambo ya ulozi ktk mapenzi

Wadada wengi wachawi na hata humu wapo kibao tu..na usikute jmosi hii wako kwa waganga wanaloga
 
Watu wanasema hatuolewi haolewi kumbe vijitu vichawi balaa. Utaolewa na nani boma gani lichukue shida hapa mjini.

Naishi na wanawake wenzangu hapa nilipo ila vitu wanavyofanya ndio maana hawaolewi.

Mtu akipika wali anachukua mkojo wake kidogo anachanganya anaweka jikoni. Hapo yeye hali. Ni mpenzi wake.

Usiku ukilala anakuja kukulogea nguo zako za ndani usizae. Anachukua nyayo, sura, hata makalio anaenda kupatia mabwana na kazi, hadi sauti yako, yaani hii ni shughuli.

Mtu anachukua hadi damu na yai lako anazaa mtoto wake bahati zako na nyota acha tu keroo wanapigania maisha yako kama yao ukiwajua wananuna ukiuza hata kiwanja wanaenda kukufungia ili majaa zao wawaone wao ndio wapo juu.

Na tabia nyingi wanazifanya kama wapo huku, acheni, kaeni na riziki zenu jamani. Mnaboa eti.

Wenzenu wanachelewa kufanya yao kwa ajili yenu. Mnamtoa damu mwenzenu ili mkawangie damu ya mwenzenu ndio imekuwa mafuta ya kuendea kuloga watu wengine.
Nimeipenda. Bravo sana.
 
Duh! Ni hatari mno. Jamaa toka mwanzo walikubaliana na hiyo pisi kuwa mapenzi yao ni ya kukulana tu. Binafsi nilikuwa nawaonaga wakiienjoy zao, jamaa akilifaidi tako kubwa kwa raha zake, aliminyaminya mara apige vikofi mzigo unavibrate 🤣🤣 anatuoshea zigo sisi wadau zake. Jamaa alienjoy kwa raha zake. Ila jamaa aliteseka mno, ugonjwa hauonekani ila anaumwa.



NB: Hiyo kauli ya kuwa hakuna mwanamke ambaye yupo tayari kuliwa tu, mbona inatisha. Maana ni trend ya siku hizi ina majina mengi kama semi bitch, indirect Dangaring, friend of benefits, no strings attached n.k.
Kwa hiyo hayo mapenzi yote, mwanamke hata akikubali, ila moyoni anakuwa na jambo lake? Sasa mbona ni hatari mno 🤣
Mi mwanamke niamini!
Labda ukute aliyetoka kwenye relationship yenye matatizo,km ndoa ht wao baada ya Muda wakikaa sawa thubutu!
Lzm Kuna namna sio kirahisi tu eti akubali kuliwa tena ukute mwanaume anajiweza ni uongo mtupu!
Labda uwe huna kitu manaake Kuna sehem anapaelewa sa hataki kuji attach na we atapoteza huko kwingine....

Na ndo maana migogoro kwenye ndoa nyingi haiishi,michepuko inawalisha madudu waume za watu sn tu!
Huku church kwenye maombi na kufunguliwa tunajionea mengi, tukisema tuandike hapa utabaki mdomo wazi!
Ushauri wangu mtegemee Mungu tu,omba Mungu!
 
Hahahahahahaha mie nilishashtuka siku nyingi maana nishakaa uswazi nayajua haya mambo ya ulozi ktk mapenzi

Wadada wengi wachawi na hata humu wapo kibao tu..na usikute jmosi hii wako kwa waganga wanaloga
🙁🤣Sa humu unamloga nani ?
Unamjua?
Ila uchawi bwana ni upuuzi mtupu sema ndo vile kuomba kazi ndo maana wanaenda kwenye shortcut!
Ila mi usiingie kwenye anga zangu, yaani mwanaume anaenihusu, wazazi,kaka zangu!
Nitakufurahisha, napiga mpk uzao wako lzm tuheshimiane na ijulikane tuko Mungu mkuu🤣
 
🙁🤣Sa humu unamloga nani ?
Unamjua?
Ila uchawi bwana ni upuuzi mtupu sema ndo vile kuomba kazi ndo maana wanaenda kwenye shortcut!
Ila mi usiingie kwenye anga zangu, yaani mwanaume anaenihusu, wazazi,kaka zangu!
Nitakufurahisha, napiga mpk uzao wako lzm tuheshimiane na ijulikane tuko Mungu mkuu🤣
Hahahahahaha yaani hata humu ni member hao vigagula tunaowasoma
 
Back
Top Bottom