Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
-
- #41
hapo hamna kulinganisha ni swala la kuoneana huruma na kugawana majukum huyu anafanya kaz mrad aweze kupata hela za kusongesha familia mbele tatizo n mwanaume hajiongezi kabisaHatuwezi kujaribu kufanya hivyo kwasababu ndio maana Kuna mgawanyiko kati ya mwanamke na mwanaume .....
Na ndio maana mwanamke anakojoa huku amechuchumaaa, ili hali mwanaume anakojoa huku akiwa amesimama
Hiyo ndio inaleta utofauti. Zaidi ya hapo inakuwa ni kiburi tu Cha mwanamke kutaka kujilinganisha na mwanaume kitu ambacho kiuhalisia hakipo
sjui wenyewe na maisha yao lakini kuna watu wanapitia vingiYeah! Una hoja nzuri.
ila hilo ni jambo la kuongea tu na kuelewana.
nawezaje kukufos sasa threads n nyingi sana jf achana n hii soma zingineUna force ni amini 😂
hahahaha halaf wanatuambia walioko kwenye ndoa wanataka kutoka walioko nje wanataka kuingia ili mrad tafraniDada zetu kila siku mnazunguka kwenye makanisa ya Mitume mkisaga magoti kuomba ndoa, Ndoa ndio hizo sasa.
Pole kwa yaliyokukuta lakini nakushauri ukitaka ndoa yako idumu na kama kweli unampenda mwenzio usiangalie madhaifu yake wewe timiza wajibu wako kama mke halafu endelea kumuomba Mungu ili aweze kumbadilisha mke wako kwa kumpa uelewa na kuwa na moyo wa kukusaidia mke wake. Uwe unamuomba Mungu kwa hilo na sio kukimbilia kulalamikahapo hamna kulinganisha ni swala la kuoneana huruma na kugawana majukum huyu anafanya kaz mrad aweze kupata hela za kusongesha familia mbele tatizo n mwanaume hajiongezi kabisa
lakini sio swala la kujimwambafy swala ni je anapumzika saa ngapi kuna kipindi kitafika hata kutoa unyumba hatoweza ndio mwazo wa kugombana mana mwanaume atahisi tu anachapiwa kumbe mwenzio yu hoiHao ndo wanaitwaga mwanamke na nusu
Mama Mwana ungeandika kichwa cha habari kiwe: ''Hivi wanaume wa dizaini hii kumbe wapo?'' ingekuwa busara zaidi. Kichwa cha habari ulichotumia kitaleta kizaa zaa zaidi kwani ni kama kinachochea wanawake wawe wakali.Mwanamke ameajiriwa taasisi binafsi, anaingia saa moja asubuhi anatoka saa kumi na dk 40 jioni, akirudi nyumbani mume anataka apikiwe, mpaka afike kwake ni saa kumi na mbili jioni akirudi apike yaani akae jikoni apike ugali, afue uniform zake, mume aje wale walale.
Mume hana shughuli yoyote anajilimia zake bustani za mboga mboga lakini hashughuliki na chochote cha nyumbani, choo anachotumia had aje adeki mke, chumba anacholala chilia mbali nyumba kuipitisha fagio ni mwiko, nyasi zikiota bibie ajipinde mgongo alime?
mimi tena?Pole kwa yaliyokukuta lakini nakushauri ukitaka ndoa yako idumu na kama kweli unampenda mwenzio usiangalie madhaifu yake wewe timiza wajibu wako kama mke halafu endelea kumuomba Mungu ili aweze kumbadilisha mke wako kwa kumpa uelewa na kuwa na moyo wa kukusaidia mke wake. Uwe unamuomba Mungu kwa hilo na sio kukimbilia kulalamika
ndicho nilichohadithiwa yan hata nyas ziote mume anazipita asbh na hamsini zake bibi zimkere ndio ashike jembe alimeMume analima bustani, nyumbani nyasi zikiota ashike jembe mke kusafisha?
mods watarekebisha hiloMama Mwana ungeandika kichwa cha habari kiwe: ''Hivi wanaume wa dizaini hii kumbe wapo?'' ingekuwa busara zaidi. Kichwa cha habari ulichotumia kitaleta kizaa zaa zaidi kwani ni kama kinachochea wanawake wawe wakali.
Bado kitendo cha hela ya kula anatoa mwanamke kitasumbua akili za wote wawiliKuna watu hawajuagi kujiongeza,huyo mwanaume ilipaswa apige mishe zote za home,labda angemwachia ya kufua ili mwanamke awe anafua wkend
Na wewe umeona kuna kitu hakiko sawa hapa mkuuMume analima bustani, nyumbani nyasi zikiota ashike jembe mke kusafisha?
ni kweli mambo ya ndoa hua hayashaurikiMapenzi yao waachie wao , mradi miongoni mwao hakuna kichaa au mwenye ulemavu wa akili au mkataba huenda wanafanya kwa utashi atakayechoka atasema !!
Maana mpaka wana watoto wawili wana siri yao sema sasa huku waja na sisi tunakuja na picha yetu !!
inawezekana kuwasilisha mada kuna sehem nimewasilisha vibaya lakini kwa kufupisha mwanaume analima mboga lakini kitendo cha kulima nyasi za nyumban kwake ni swala ambalo halipo sasa mke zimkere ashike jembe alimeNa wewe umeona kuna kitu hakiko sawa hapa mkuu
mke kwake sio shida shida n hizo kazi ambazo anafanya peke yake wakat mudanwingi baba anashinda nyumban anashindwaje kumsaidia mwenzie?Bado kitendo cha hela ya kula anatoa mwanamke kitasumbua akili za wote wawili