Hivi wanawake wa dizaini hii kumbe wapo?

inawezekana kuwasilisha mada kuna sehem nimewasilisha vibaya lakini kwa kufupisha mwanaume analima mboga lakini kitendo cha kulima nyasi za nyumban kwake ni swala ambalo halipo sasa mke zimkere ashike jembe alime
Sasa kama huyu jamaa analima mboga hachangii kabisa hata hicho chochote kitu anachopata kwenye bustani ?
 
Yes, when someone read your comments and the thread between the lines, ni doubt, the said woman is YOU
hahaha mkuu kwa hio tusianzishe thread ni tunaianzishia wenyewe? tusianzishe mada zinatuhusu? huyu msichana ni shoga angu tena tumetoka mbali sana lakini hapa tubnimemsnitch kulileta hapa yeye kunihadithia mm mimi nimelileta hapa ila ukweli nakiri ts not me sasa uamini usiamini hiyo sio shida yangu, mkiambiwa mtember muone mambo mnadhani nibmaghorofa stendi?
 
Sasa kama huyu jamaa analima mboga hachangii kabisa hata hicho chochote kitu anachopata kwenye bustani ?
bustani imeanza hivi karibuni ndio inaandaliwa hapo kabla ni mtu wa kulala mchana jioni akakae maskani
 
KATAA NDOA


NDOA NI UTAPELI
NDOA NI USHETANI

NDOA NI HUJUMA

NDOA NI UTAKATISHAJI FEDHA

NDOA NI KUHUJUMU UCHUMI

NDOA NI UONGO

NDOA NI PRESSURE

NDOA NI KISUKARI

NDOA NI KUKATAA KUISHI MAISHA YA FURAHA NA AMANI
 
Pilipili usiyoila inakuwashia nini? Kama wao wanaishi vizuri...wewe unayajadili maisha yao kama nani? Unless wewe uwe ndio huyo mwanamke ila umekuja kwa njia tofauti
 
bustani imeanza hivi karibuni ndio inaandaliwa hapo kabla ni mtu wa kulala mchana jioni akakae maskani
Ahahahaha basi bi mkubwa ndani alimsema akampa na kimtaji cha kuanzia tuwaombee hii labda inaweza kuwabadilishia upepo !!

Watu wengine pia kuwa wavivu na tegemezi ni kutokana na malezi mabaya ya huko utotoni ! Leeni watoto vizuri kwa misingi ya kujituma na utu !!
 
lakini sio swala la kujimwambafy swala ni je anapumzika saa ngapi kuna kipindi kitafika hata kutoa unyumba hatoweza ndio mwazo wa kugombana mana mwanaume atahisi tu anachapiwa kumbe mwenzio yu hoi
Sasa si ndo anataka kuwa wife material atafanyeje??
A perfect wife hahaha. Wanaishiaga Kufa na msongo wa mawazo.
 
Pilipili usiyoila inakuwashia nini? Kama wao wanaishi vizuri...wewe unayajadili maisha yao kama nani? Unless wewe ndio huyo mwanamke ila ukuja kwa njia tofauti
Kwakifup huyu mamamwana ndiye muhanga wa hil jambo. Pole sn Dada angu kw yanayokusibu hiyo ndio Ndoa uliyopewa na Mungu


Mume bora anatoka kw Mungu acha kuharbu mipango na kaz ya Mungu. Tulia kwny ndoa hatutak Wasimbe waongezeke maana mmekuwa weng sn mtaan n kero. Mama Mwana
 
kwa kweli,
 

Nilikuja kuamini kuwa what matters ni mapenzi ya wawili!! Ukipenda unaweza kulamba kinyesi cha mpenzio na usione ajabu!! Kikubwa upendo!!

Hapa DSM kuna dada mumewe pia hana kazi na ni msomi tu!! Jamaa anachofanya asubuhi na mapema anamleta mkewe kazini anaondoka anaenda zake misele, na gari ikifika jioni anamfuata mkewe!! Maisha yanasonga!!

Kikubwa mkewe karidhia hivyo alivyo na hajali kikubwa wanapendana!! Jamaa wala hjiangaishi kutafuta kazi na unaambiwa hataki!!
 
Wewe ndiyo maana unaachika, hakuna wa kukuoa
 
Huku mbeya nimeona wengi tu wakifanya hivyo...,even mi nilifanya hivyo ila nilipoona na kutunza familia nimeachiwa tena kwa salary hii hii ya ualimu....nilivyodai talaka na kusepa jumla hakuamini.Mtu anaponyenyekea usimwone boya mtunze
Kwa hiyo Jimbo lipo wazi ??
 
Kuna watu wanasema wapo kwenye ndoa ila ukweli ni kuwa wapo katika gereza la mateso makali sana.
 
Mume mzaliwa wa mkoa gani
 
Huku mbeya nimeona wengi tu wakifanya hivyo...,even mi nilifanya hivyo ila nilipoona na kutunza familia nimeachiwa tena kwa salary hii hii ya ualimu....nilivyodai talaka na kusepa jumla hakuamini.Mtu anaponyenyekea usimwone boya mtunze
Duh pole sana
 
Mkuu hapa sijakuelewa, ni kwmba unamuonea huruma mwanamke mwenzio?, unashangaa kuona mwenzio anavyoweza kumudu majukumu yote bila lawama? au unatamani nyote mngekuwa kama huyo mdada?
 
mimi ndio nachojiuliza sawa asbh ukishampeleka mtoto unaenda shamba mchana kutwa kusonga ugali size yake hawez anakaa na njaa had mke arud jioni wapike ugali wale kuna watu wana mioyo ya kuvumilia sana
Ok nimekupata sasa point yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…