Hivi wanawake wa dizaini hii kumbe wapo?

Kwa hiyo umejikokota umeona uje na huu ushuzi?
 
We unakichaa hana shughuli yoyote wakati umesha sema analima bustani ya mboga, unadharau shughuli za watu.
 
Kama haya ndio mke ameanza kuwasimulia rafiki zake hiyo ndoa Haina uhai siku zake zimefika mwisho
 
Dah! mbaya sana hii
 
Labda kama huto mwanaume ana kitufe cha off on cha moyo wa huyo mwanamke
 
Binafsi nimewahi kushuhudia familia ambayo baba alipata Ile shida ya magufuli vyeti fake mke akawa anasimamia show ye hupita dukani kwangu na kuacha hela ambayo mme hujakuichukua (ye anachukua nauli mara nyingi ilikuwa 10000) sijui kama huko ndani walikuwa hawaelewani ila kwa kipindi chote Cha jamaa kuwa na msoto mke alisimamia show kwa utu na utulivu hatari anyway wao hawakuwa na majani ya kulima
Ila jamaa lazima huwa anajishughulisha ila vile mke kamchoka basi hakuna namna atachafuliwa ili atupwe kama pampers maana mtoa mada ndio mshauri mkuu[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Vijijini uko mwanamke analima kulisha familia, mwanaume kazi yake kupiga soga vilabu vya ulanzi..! Kwakweli kuna wanawake wanateseka sana na wanaume wa aina hiyo
 
Huku mbeya nimeona wengi tu wakifanya hivyo...,even mi nilifanya hivyo ila nilipoona na kutunza familia nimeachiwa tena kwa salary hii hii ya ualimu....nilivyodai talaka na kusepa jumla hakuamini.Mtu anaponyenyekea usimwone boya mtunze
Can I marry you please...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…