Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Unahangaika kumrizisha dem ambaye mmekutana ukubwani mapenzi kayaanza tokea Primary/O-level,fanya kwa uwezo wako ukishamaliza katafute hela kwani siku hizi kwa jinsi ya dada zetu wengi wao wana lundo la maex waliotoka nae so kumrizisha ni kazi.

Dem anazijua zilizo pinda kuelekea pande zote za dunia,fupi,nene,ndefu zote anazijua then ww ndio ujifanye fundi, mwisho atakufanya ukatafute vumbi ambalo nalo husipo kuwa makini litavuruga mapigo ya moyo wako na kusababisha tatizo jingine.

Labda bikra au demu mwenye low body counts ambazo hazizidi tatu hapo sawa,ila hawa waliyo yaanzia tokea wapo primary/olevel piga kafanye mambo yako.
 
Jamani, nimeona siku hizi Kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani Hana kitu Cha maana anachofanya.

Inaonekana mademu Hawa hawana experience ya show Kali coz wanatiwa na kulipwa ka Malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.

Je wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au Cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo
Mkuu
Wanawake baadhi ni wanapenda mahaba.

Lakini wengi wanafanya kwasababu tu ya shida.
Wanawake hawajali tena huo ufundi/mahaba.

Ndo maana ukifuatilia idea za wanawake wengi, ikitokea wamepata hela hawatamani hata kuolewa.
 
They say Money Makes The World Go Round !!! Hence it's all about money !!!
 
Ukikataliwa hujapendwa. Uwe na gari au hauna, upendo ni kitu cha tofauti sana. Ukipata mtu amekupenda kwa sababubya Toyota yako Alphard, basi jua hajakuoenda kalipenda gari lako. Akimpata mwenye Beemer jua ndio umeachwa hivyo
Oooh,
Kumbe anaependwa ni yule tu asiekua na kitu?
Sasa nna kila kitu halafu nahitaji kupendwa , nifanyeje?
 
Jamani, nimeona siku hizi Kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani Hana kitu Cha maana anachofanya.

Inaonekana mademu Hawa hawana experience ya show Kali coz wanatiwa na kulipwa ka Malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.

Je wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au Cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo
Dogo tafuta Hela,Show kali waachie wanamuziki wakiwa kwenye stage.
 
Jamani, nimeona siku hizi Kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani Hana kitu Cha maana anachofanya.

Inaonekana mademu Hawa hawana experience ya show Kali coz wanatiwa na kulipwa ka Malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.

Je wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au Cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo
💰💰💰
 
Jamani, nimeona siku hizi Kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani Hana kitu Cha maana anachofanya.

Inaonekana mademu Hawa hawana experience ya show Kali coz wanatiwa na kulipwa ka Malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.

Je wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au Cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo
Uwe na kimojawapo..Ni sawa.
 
Back
Top Bottom