Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Mbona unaleta jinsia mbili, hoja yako ilihusu jinsia moja nayo ni mwanamke bikira.

Swala la kuzini lipo kwa wote me na ke hata kama wapo ktk ndoa wanaweza kuzini na ndio maana ya onyo hilo.

Turudi ktk hoja yako, ni kitabu gani kinaagiza tuoe bikira?
Yaah kwenye ndoa ipo hivyo haijalishi ke au me,ila ukengeifu wetu wa imani ndio umesababisha tutengeneza mfumo wetu tunao ujua sisi ambao upo kinyume na maagizo ya Mungu, kwani ngono tendo ambalo Mungu kalibaliki kufanya ktk ndoa ,kiasili ipo hivyo haiwezi kubadilika.

Kitabu cha mwanzo umeambiwa usizini, kama ukitaka kuingia deep kwenye dhambi ya kuzini nenda kasome Walawi wameichambua na adhabu zake unaweza kwenda kusoma,mimi sio mtaalam mzuri wa kukalili mistari.
 
Nakuja, napita kwenye huo msitu wa mandevu, naupasua hadi nafika kwenye mwanya. Natoa simu yangu ya kitocho, naingia ndani ha hilo pango ambalo mlango wake ni hilo pengo mdomoni mwako, nasonga ndani hadi kwenye koromeo, nazama ndani kabisa hadi kwenye jugular vein, natiririka nayo hadi nafika moyoni mwako.
Natoa kanga yangu natandika chini, najilaza hapo daima nikuburudishwa na huba la pendo lako lililotamalaki
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]
 
Yaah kwenye ndoa ipo hivyo haijalishi ke au me,ila ukengeifu wetu wa imani ndio umesababisha tutengeneza mfumo wetu tunao ujua sisi ambao upo kinyume na maagizo ya Mungu, kwani ngono tendo ambalo Mungu kalibaliki kufanya ktk ndoa ,kiasili ipo hivyo haiwezi kubadilika.

Kitabu cha mwanzo umeambiwa usizini, kama ukitaka kuingia deep kwenye dhambi ya kuzini nenda kasome Walawi wameichambua na adhabu zake unaweza kwenda kusoma,mimi sio mtaalam mzuri wa kukalili mistari.
Maagizo ya Mungu? Umejuaje? Kisa kitabu Cha wayahudi wa miaka 3000 iliyopita kimesema...😂we Kama hutaki kutomba usitombe, usitushirikishe katika uwoga na uvivu wako
 
Why wewe usiwe na low body count, why umjudge mwanamke kwa sexual relationships zenu...so mwanamke kwako ni shimo la kumwagia taka tu...au...plus unaniambia mambo ya dini as if unasema kitu Cha maana hizi ni sheria za watu wa jamii fulani ndo maana dini zipo nyingi rejea kwenye mada husika Kama unataka bikra slim tafuta Dogo wa miaka 10 muowe afu uone Kati ya yeye na mwanamke mwenye experience ya mahusiano nani ni mke Bora acha kutumia dhana za zamani za kuchizika na Bikra
Ndio ipo hivyo itaendelea kuwa hivyo na haitokuja kubadilika wanaume walio wengi wanapenda kuoa bikra au mwenye low body counts.

Hayo mengine ni chagua lako na utashi wako mwenyewe kwani dunia ni yako na maisha ni yako.

Mabikra au wenye low body counts wapo na tena wamevuka 20+.

Maswala ya kiroho hayanaga zamani wala sasa yalivyo weka yatabaki hivyo hivyo haya hitaji ubunifu. Uzuri Mungu kakupa utashi so ni swala lako kuchagua.
 
Maagizo ya Mungu? Umejuaje? Kisa kitabu Cha wayahudi wa miaka 3000 iliyopita kimesema...😂we Kama hutaki kutomba usitombe, usitushirikishe katika uwoga na uvivu wako
We endelea mimi sijakushikia bunduki kuacha kugonga, so kama kutomber wanaweke wengi kwako unaona ushujaa it's ila bado haibadilishi and kitu. Hamna mashindano kwenye kugonga, so hata ukisema uvivu it's OK.
 
Ndoa ni mkataba tu ka mwingine. Je ukicheza mpira kabla hujasajiliwa kucheza timu ya mpira ni Kosa...if not then rejea mada husika
Ndio maana ukapewa utashi so ni wewe mwenyewe kuamua kujitoa ufahamu na kujitengezea sheria zako. Ndio maana kwa utashi wako mkataba wa ndoa na mpira kwako ni sawa.
 
Ndio ipo hivyo itaendelea kuwa hivyo na haitokuja kubadilika wanaume walio wengi wanapenda kuoa bikra au mwenye low body counts.

Hayo mengine ni chagua lako na utashi wako mwenyewe kwani dunia ni yako na maisha ni yako.

Mabikra au wenye low body counts wapo na tena wamevuka 20+.

Maswala ya kiroho hayanaga zamani wala sasa yalivyo weka yatabaki hivyo hivyo haya hitaji ubunifu. Uzuri Mungu kakupa utashi so ni swala lako kuchagua.
Maswala ya kiroho According to nani...we Kama unataka bikra nenda Ila usiseme sijui Mungu anataka so we ni mwema coz hizo ni hekaya tu na zipo kila dini na kila jamii wanazo
 
We endelea mimi sijakushikia bunduki kuacha kugonga, so kama kutomber wanaweke wengi kwako unaona ushujaa it's ila bado haibadilishi and kitu. Hamna mashindano kwenye kugonga, so hata ukisema uvivu it's OK.
Kama we ni mchungaji Sana usingecomment kwenye hii mada...we umeona wenzako wanakuja na hekaya za wayahudi hapa...we hutaki kutomba subiri uoe bikra, maisha ni yako...wanaofanya mapenzi waache wafanye usitishie watu ujinga uliotishiwa wewe
 
Ndio maana ukapewa utashi so ni wewe mwenyewe kuamua kujitoa ufahamu na kujitengezea sheria zako. Ndio maana kwa utashi wako mkataba wa ndoa na mpira kwako ni sawa.
😂We ni mtanzania, nitajie sheria katika katiba yako inayokukataza kutomba mpaka uoe...unadhani hao waliotunga sheria ni wajinga...unataka tupigane mawe kisa mtu katomba sijui kafira Kama jamii za zamani afu ndo wanasema Mungu anataka. Mungu atengeneze sayari nyingi kwenye nyota nyingi galaxies kibao afu anamind mi namwaga wapi kweli jamani...hebu skia muache huyo Mungu kanisani jibu hoja husika hutaki acha
 
Maswala ya kiroho According to nani...we Kama unataka bikra nenda Ila usiseme sijui Mungu anataka so we ni mwema coz hizo ni hekaya tu na zipo kila dini na kila jamii wanazo
Hata kwenye asili zetu still bikra ilikuwa ina values na kuna makabila mengine huchagua wanawake huwakagua wanawali kabla ya kuolewa.
 
Hakika tunazitumikia tamaa za miili yetu plus kiburi cha uzima [emoji41]
 
😂We ni mtanzania, nitajie sheria katika katiba yako inayokukataza kutomba mpaka uoe...unadhani hao waliotunga sheria ni wajinga...unataka tupigane mawe kisa mtu katomba sijui kafira Kama jamii za zamani afu ndo wanasema Mungu anataka. Mungu atengeneze sayari nyingi kwenye nyota nyingi galaxies kibao afu anamind mi namwaga wapi kweli jamani...hebu skia muache huyo Mungu kanisani jibu hoja husika hutaki acha
Nijibu hoja husika kwani kuna swali jingine umeuliza sijakujibu au kama una majibu yako, ila mimi nisha jibu hoja zote KWA MTIZAMO WANGU MIMI.

Sasa katiba na maswala ya kiroho wapi na wapi. Au ushawahi kuona katiba ikiongoza maswala ya kimila au ibada kanisani na msikitini.

Kwenye katiba inasema inchi yetu haina dini ila wananchi wake wanadini. So swala kuamua uifuate ipi inabaki kuwa utashi wako,ila still bado haibadilishi chochote ktk ulimwengu wa kiroho.
 
Hata kwenye asili zetu still bikra ilikuwa ina values na kuna makabila mengine huchagua wanawake huwakagua wanawali kabla ya kuolewa.
So...what's ur point....we unaona sawa coz we ni mwanaume...unaangalia upande wako tu...that's wrong ndo maana jamii imebadilika..saa hivi ni kosa kubagua wanawake kisa miili Yao sijui bikra sijui Nini...hizi ni Mila potofu Kama zingine ndo maana Leo hii huwezi ona an educated person anatafuta bikra aoe...Kama na Mchumba probably kashaishi nae kashafanya nae mapenzi kashamjua nje ndani ndo anaamua kufunga nae ndoa. Ndoa sio kuchomeka na kutoboa bikra ndoa ni maisha, Kama we unaingia kwenye ndoa ili utoboe bikra basi hutaona shida kuoa mtoto alioacha la Saba na kuzaa nae watoto Ila familia yako haitakuwa sawa na wachumba wasomi waliojuana ndo wakaingia ndani coz wameshatoa sex kwenye mawazo Yao..
 
Hakika tunazitumikia tamaa za miili yetu plus kiburi cha uzima [emoji41]
Jibu hoja husika...tamaa za mwili ndo Nini...njaa ni tamaa za mwili au sio...mbona una kula...je kiu..je usingizi...tumia akili
 
Nijibu hoja husika kwani kuna swali jingine umeuliza sijakujibu au kama una majibu yako, ila mimi nisha jibu hoja zote KWA MTIZAMO WANGU MIMI.

Sasa katiba na maswala ya kiroho wapi na wapi. Au ushawahi kuona katiba ikiongoza maswala ya kimila au ibada kanisani na msikitini.

Kwenye katiba inasema inchi yetu haina dini ila wananchi wake wanadini. So swala kuamua uifuate ipi inabaki kuwa utashi wako,ila still bado haibadilishi chochote ktk ulimwengu wa kiroho.
Mi Sina dini na Kuna watanzania kibao hawana dini wapo huku jamii forums kibao so u r dead wrong
Ulimwengu wa kiroho ni story za mababu wasioelewa jinsi dunia na maisha yalivyo...
Katiba inatengenezwa na watu kupitia Hali halisi ya maisha ya binadamu na kijamii na inabadilika kutokana na mda, dini imeanzishwa na watu fulani sehemu fulani na kujitamkia kuwa ndo neno la Mungu la dunia nzima na sheria zake ni hizi hazibadiliki...siwezi ishi 2023 kwa maadili ya 200 BCE kipindi ambacho kubakwa ni normal, kutolewa mtoto ni normal, utumwa ni normal, mabibi kuchomwa ni normal, watu kupigwa mawe ni normal, magonjwa kuchukuliwa Kama mapepo ni normal, nipo Karne ya 21 so Nina uelewa kuliko watu hao ndo maana Nina maisha Bora kuliko hata mfalme wa kipindi hicho
 
So...what's ur point....we unaona sawa coz we ni mwanaume...unaangalia upande wako tu...that's wrong ndo maana jamii imebadilika..saa hivi ni kosa kubagua wanawake kisa miili Yao sijui bikra sijui Nini...hizi ni Mila potofu Kama zingine ndo maana Leo hii huwezi ona an educated person anatafuta bikra aoe...Kama na Mchumba probably kashaishi nae kashafanya nae mapenzi kashamjua nje ndani ndo anaamua kufunga nae ndoa. Ndoa sio kuchomeka na kutoboa bikra ndoa ni maisha, Kama we unaingia kwenye ndoa ili utoboe bikra basi hutaona shida kuoa mtoto alioacha la Saba na kuzaa nae watoto Ila familia yako haitakuwa sawa na wachumba wasomi waliojuana ndo wakaingia ndani coz wameshatoa sex kwenye mawazo Yao..

Mimi sina upande bali naangalia asili yangu na imani yangu, wewe kama una upande it's OK ila haibadilishi chochote kwenye ulimwengu wa kiroho.

Kwenye maswala ya kiroho elimu ya dunia haiapply.Kwa kuwa ww mwenyewe mpaka sasa hujui unasimama ktk nini so sikulaumu kwani ndio utashi wako unavyo kuongoza na ndio imani yako kwa akili yako umeichagua kukuongoza.
 
nafikiri tuweke kwa Asilimia Ndio itaeleweka
Mimi naona hivi;
75% ya wanawake wanataka pesa tu, hata kama show itakuwa hopeless ila hela ikiwepo no problem
24% ya wanawake wanataka uwe na vyote (balanced)
1% ya wanawake wanataka true love hata kama huna hela
Mwanamme atajipanga mwenyewe anakofiti
Asante
 
Mi Sina dini na Kuna watanzania kibao hawana dini wapo huku jamii forums kibao so u r dead wrong
Ulimwengu wa kiroho ni story za mababu wasioelewa jinsi dunia na maisha yalivyo...
Katiba inatengenezwa na watu kupitia Hali halisi ya maisha ya binadamu na kijamii na inabadilika kutokana na mda, dini imeanzishwa na watu fulani sehemu fulani na kujitamkia kuwa ndo neno la Mungu la dunia nzima na sheria zake ni hizi hazibadiliki...siwezi ishi 2023 kwa maadili ya 200 BCE kipindi ambacho kubakwa ni normal, kutolewa mtoto ni normal, utumwa ni normal, mabibi kuchomwa ni normal, watu kupigwa mawe ni normal, magonjwa kuchukuliwa Kama mapepo ni normal, nipo Karne ya 21 so Nina uelewa kuliko watu hao ndo maana Nina maisha Bora kuliko hata mfalme wa kipindi hicho
Okay na hiyo ndio imani yako kutoka na maelezo yako. Ila haibadilishi chochote ktk ulimwengu wa kiroho.
 
Back
Top Bottom