Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Hivi wanawake wa siku hizi wanajali kuhusu show kali au cha muhimu hela tu?

Jamani, nimeona siku hizi kuna wimbi kubwa la wanawake kutoka na wababa na kuwa na mahusiano kwa ajili ya hela tu na mpaka unakuta mdada slay Ila chumbani hana kitu cha maana anachofanya.

Inaonekana mademu hawa hawana experience ya show kalo coz wanatiwa na kulipwa ka malaya na vibabu so hawana mtu wa kuwapa mahaba niue.

Je, wanawake siku hizi wanajali kuridhishana kimapenzi au cha msingi wanapata malipo baada ya BAO moja la dakika tano waende kujirusha nazo?
Magume gume tu
 
Mimi sina upande bali naangalia asili yangu na imani yangu, wewe kama una upande it's OK ila haibadilishi chochote kwenye ulimwengu wa kiroho.

Kwenye maswala ya kiroho elimu ya dunia haiapply.Kwa kuwa ww mwenyewe mpaka sasa hujui unasimama ktk nini so sikulaumu kwani ndio utashi wako unavyo kuongoza na ndio imani yako kwa akili yako umeichagua kukuongoza.
Mi nasimama katika reality na reason we unasimama na story za wababu
What is elimu ya kidunia, hizo dini zimeanzishwa na watu wa duniani, makanisa na misikiti na hekalu zipo duniani, wachungaji wapo duniani, so unavyosema elimu ya kidunia sielewi hio dini inakuwaje sio ya kidunia wakati imeanza duniani umeikuta duniani na ukifa utaiacha duniani.
 
Mi nasimama katika reality na reason we unasimama na story za wababu
What is elimu ya kidunia, hizo dini zimeanzishwa na watu wa duniani, makanisa na misikiti na hekalu zipo duniani, wachungaji wapo duniani, so unavyosema elimu ya kidunia sielewi hio dini inakuwaje sio ya kidunia wakati imeanza duniani umeikuta duniani na ukifa utaiacha duniani.
Huwezi kuzungumzia reality kama hujui nature yako, utakuwa unajidanganya na kujipa moyo.
 
Okay na hiyo ndio imani yako kutoka na maelezo yako. Ila haibadilishi chochote ktk ulimwengu wa kiroho.
Mi Sina Imani...we ndo una Imani...mi naongea ukweli...kwani ni uwongo...si story za wayahudi mababu umeletewa na mzungu akutawale na kauacha Hadi Leo hicho kitabu kinakutawala na mwenzako anaendelea kifikra na kiuchumi.
 
Huwezi kuzungumzia reality kama hujui nature yako, utakuwa unajidanganya na kujipa moyo.
Mi siwezi ambiwa nature yangu na kitabu Cha mababu wa wayahudi kinachoeleza kuwa wanawake hawatakiwi kuongoza, wazinifu wapigwe mawe mpaka kifo na watumwa wawatumikie mabwana zao na hicho kitabu kinipangie jinsi ya kufanya mapenzi na kuishi na mwanamke. We kama unaona ni reality sawa. Ila ndo usilazimishe kuwa kweli kwa kila mtu wakati ni we na wafuasi wenzako ndo mnaamini
 
Mi Sina Imani...we ndo una Imani...mi naongea ukweli...kwani ni uwongo...si story za wayahudi mababu umeletewa na mzungu akutawale na kauacha Hadi Leo hicho kitabu kinakutawala na mwenzako anaendelea kifikra na kiuchumi.
So hata kile ulicho kiandika mwenyewe hukisimamii.

"Hali halisi ya maisha ya binadamu na kijamii na inabadilika kutokana na mda, dini imeanzishwa na watu fulani sehemu fulani na kujitamkia kuwa ndo neno la Mungu la dunia nzima na sheria zake ni hizi hazibadiliki...siwezi ishi 2023 kwa maadili ya 200 BCE kipindi ambacho kubakwa ni normal, kutolewa mtoto ni normal, utumwa ni normal, mabibi kuchomwa ni normal, watu kupigwa mawe ni normal, magonjwa kuchukuliwa Kama mapepo ni normal, nipo Karne ya 21 so Nina uelewa kuliko watu hao ndo maana Nina maisha Bora kuliko hata mfalme wa kipindi hicho..."

Au mpaka hiki ulicho kiandika hukiamini,kwani nilirefer hiko ulicho kiandika, kama uliandikiwa basi sawa.
 
Mi siwezi ambiwa nature yangu na kitabu Cha mababu wa wayahudi kinachoeleza kuwa wanawake hawatakiwi kuongoza, wazinifu wapigwe mawe mpaka kifo na watumwa wawatumikie mabwana zao na hicho kitabu kinipangie jinsi ya kufanya mapenzi na kuishi na mwanamke. We kama unaona ni reality sawa. Ila ndo usilazimishe kuwa kweli kwa kila mtu wakati ni we na wafuasi wenzako ndo mnaamini
Kuna sehemu nimekulamisha,hivi huoni nimetumia neno "utashi wako...." mara ngapi......,sija mlazimisha mtu.
 
So hata kile ulicho kiandika mwenyewe hukisimamii.

"Hali halisi ya maisha ya binadamu na kijamii na inabadilika kutokana na mda, dini imeanzishwa na watu fulani sehemu fulani na kujitamkia kuwa ndo neno la Mungu la dunia nzima na sheria zake ni hizi hazibadiliki...siwezi ishi 2023 kwa maadili ya 200 BCE kipindi ambacho kubakwa ni normal, kutolewa mtoto ni normal, utumwa ni normal, mabibi kuchomwa ni normal, watu kupigwa mawe ni normal, magonjwa kuchukuliwa Kama mapepo ni normal, nipo Karne ya 21 so Nina uelewa kuliko watu hao ndo maana Nina maisha Bora kuliko hata mfalme wa kipindi hicho..."

Au mpaka hiki ulicho kiandika hukiamini,kwani nilirefer hiko ulicho kiandika, kama uliandikiwa basi sawa.
Wapi nimesema Nina imani
 
Kuna sehemu nimekulamisha,hivi huoni nimetumia neno "utashi wako...." mara ngapi......,sija mlazimisha mtu.
So utashi wako umekuambia usitombe mpaka uoe bikra au ni kitabu Cha wayahudi kilichokutishia usipofanya hivyo unaungua
 
Show kali ipigie nyeto, jikunje utakavyo ukiwa unanyonga, mademu siku hizi wanataka ngawira tu.

We nenda upige tako mbili kojo hilo, as long as unatoa mtonyo wa maana utapewa kila sifa za urijali.

Akitaka show kali ananunua dude la bandia anamwita shosti wake wanakokomezana mpaka hamu ziwaishe.

Wewe mbona unatoa siri zetu [emoji12]
 
So utashi wako umekuambia usitombe mpaka uoe bikra au ni kitabu Cha wayahudi kilichokutishia usipofanya hivyo unaungua
Yaah ipo hivyo, japo still ni binadam nina mapungufu yangu, ila still siwezi kuedit sheria za kiroho ziende sawa na matakwa yangu au tamaa zangu.
 
Yaah ipo hivyo, japo still ni binadam nina mapungufu yangu, ila still siwezi kuedit sheria za kiroho ziende sawa na matakwa yangu au tamaa zangu.
Again sheria za kiroho Accord to utashi wako au kitabu Cha wayahudi wa kale ambao walikuwa hawajui dunia linazunguka jua
 
Back
Top Bottom