Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Hivi wapenzi kama hawa tuwafanyaje

Pokea simu yake, itika salam yake. Kisha usiongee chochote msikilize anachoongea mpaka amalize bila kumkatiza wala kumgombeza. Baada ya hapo ya hapo mwambie anajua unachohitaji ni Ppch. Mwambie hakuna neno zaidi ya yeye kukuletea kwa gharama zake. Mengine yatafuata baada ya hapo.

Akileta ukatumia, maliza na umpige chini hakufai. Asipokuja napo safi mmemaliza gemu
Huu ushauri nimeupenda
 
Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.

Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.

Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.

Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!

Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
Ulichosea hukutakiwa umwambie direct kiasi hicho wakati unajua unahitaji utelezi wake huyo ungeenda nae kiakili bila hata kutumia nguvu.Naomba unijibu Hili swali ili nijue nakushauri vip je hiyo 80 anayohitaji amekuomba kama mkopo au umsaidie tu? Na pia hizo hela ulizompa nazo kama umkopeshe au msaada tu wa bure?
 
Me mwanamke akili 50k tu nikimpanga akileta story sijui namuona malayaa ndo imeisha hiyoo...!! Akitaka helaa aje kuifataaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kuna single maza nilimchana akanunaa baada ya week ananitafuta eti kakwama elfu 20 nkamwambia mimi mbona nikikwama hujali ila wew ukikwama unataka mimi nikasaidie..!! Alijitumisha msg weee mpaka akachokaa...
Baadaye ulikula au
 
Kuna mwanamke niliingia naye kwenye uhusiano kama kawaida lengo kula mzigo ile kunikubalia kama kawaida yao omba omba.

Nikapigwa kitu cha fity yaani buku 50 kwakuwa wanasema huli bila kutoa nikatoka kaa wiki hela wiki tena hela hapo natoa tu wala sijamwomba mzigo.

Sasa jana kaniomba pesa kama shilingi 80 hivi ukiacha nilizompa muda uliopita nikasema sawa hela nitakupa ila nakuomba uje home na mimi nina shida zangu, nyege zimenipanda nataka utelezi hela utakuja chukua huku huku maana mpaka sasa pesa yangu inatoka tyuuuu faida siioni.

Dah, aliona kama nimemtusi hivi akajibu kama hutaki acha ushaniona mi wa hovyo, niliposikia kasema hivi nikawa kimya. Kapiga sana simu na kutuma ujumbe asubuhi lakini sijamjibu nawaza cha kumfanya!

Sasa wakuu, hivi hapa mtu kama huyu nimfanye nini, yaani anakula tu hela za wanaume kana kwamba mimi ni ndugu yake. Mwezi mzima anapokea tu pesa zangu, leo naomba mchezo najibiwa utumbo. Mnishauri kwanza kabla sijafanya yangu.
Mkuu unakosea gemu.
Hela haitolewi bila social evining.
Kuleni msosi na kumwagilia moyo, baada ya hapo kwichikwichi.
Then unampa hela yake.
 
Ulichosea hukutakiwa umwambie direct kiasi hicho wakati unajua unahitaji utelezi wake huyo ungeenda nae kiakili bila hata kutumia nguvu.Naomba unijibu Hili swali ili nijue nakushauri vip je hiyo 80 anayohitaji amekuomba kama mkopo au umsaidie tu? Na pia hizo hela ulizompa nazo kama umkopeshe au msaada tu wa bure?
Mkuu kazi hana biashara hana mkopo unarud vp kaniomba akasukie
 
Back
Top Bottom