Iulize serikali yako.Swali zuri sanaaa!
Utakuta watu wengi waliotoka SUA ndio wanafanya kazi NSSF, PPF, Banks n.k
Sijui Shambani penye mazao na mifugo waende akina nani?
Ila nahisi ni serikali haijatengeneza mazingira wezeshi.
kua university toka 1984 baada ya kujitenga kutoka chuo kikuu cha dar es salaam,SUA ilianza kutoa hao wataalamu tangu miaka mingapi iliyopita?
Acha kudanganya watu hao certificate na diploma mwalimu wao degree holderUkitaka mtu aliesomea kilimo mwenye impact tafuta mtu aliesomea vyuo vya kati hasa mwenye diploma alieanzia certificate
Umeongea yote mkuu, wakulima ndio tatizo kuu na sio wataalam wala chuo chetu kikukuu pendwa cha Kilimo SokoineWhat i can say ni kwamba wakulima wa kitanzania hawataki kibadilika ndio maana kilimo hakisongi ,ukifanya utafiti wakulima wamefundishwa sana na taasisi za binafsi na za kiserikali but ukipima impact ya mafunzo ni zero sababu mtu amachofundishwa sicho anachokifanya ,na hapo ndipo anaepima kilimo kama mtoa mada kwa impact huoni kama kuna kilichofanyika . First ni watanzania tujifunze kubadilika na kupokea elimu ndipo kilimo kitasonga.
Huwezi amini mpaka leo hii wenzetu wanatoka kwenye hybrid wanaenda kwenye G.M.O (siungi mkono lakini gmo) ila sisi bado tunatumia mbegu za kichanjani,bado tunakamua mbegu kwenye mazao ya shambani na kuzipanda tena . Kila mtu angekua kwenye hybrid ungeona impact ,kila mtu angejua anatoa nn shambani ungeona impact. Ila mtanzania anatumia milioni 2 kuzalisha zao akivuna anauza milioni 1 na anajisifia amepata faida ,inasikitisha sana kwa sisi ambao tuko field na tunaona hali ilivyo na hakika binafsi ndio inanipa morali ya kuongeza bidii kubadili mindset za farmers
Sio kila mtu aliyesoma SUA kasoma mambo ya shamba tu so wanafanya kazi sehemu nyingi piaSwali zuri sanaaa!
Utakuta watu wengi waliotoka SUA ndio wanafanya kazi NSSF, PPF, Banks n.k
Sijui Shambani penye mazao na mifugo waende akina nani?
Ila nahisi ni serikali haijatengeneza mazingira wezeshi.
Sasa wataalam hawaajiriwi na serikali wakawatumikie Wakulima, unataka wafanyaje labda, waishije?Kwanza kabisa nikupongeze mleta Maada, umefikiria nje ya box. Pili ni kweli hiki chuo kifanyiwe scrutiny kama bado kina tija/impact kwa nchi (kama ilivyokusudiwa). Graduates wake wengi hawafanyi kazi za kilimo, wengi wamejipenyeza kwenye taasisi zingine na kufanya kazi zisizowahusu, huku wakulima na kilimo kikikosa utaalamu wao.
Waijua kampuni ya Kusindika maziwa iitwayo "shambani milk!?" Hiyo ni product ya Graduate wa SUA.Mlishaandika Proposal serikalini kwaajili ya kupewa pesa za kuyafanya hayo?
[emoji1] [emoji1] Hahaha eti wanalima kwenye projector.Mkuu pitia kwenye hivi vyuo vya kati yaani kusoma ni kidogo sana mda mwingi ni practical tena mashambani tofauti na sua na vyuo vingine vikuu ambavyo wanafunzi wanalima kwenye projector
Word!Tatizo sio SUA ila ni wale wanaopeleka KILIMO KWANZA kwa SUMA JKT wakati wataalamu wanaachwa wakapambane na madiwani kwenye halmashauri za wilaya
Wahadhiri wetu walishaandikaMlishaandika Proposal serikalini kwaajili ya kupewa pesa za kuyafanya hayo?
Mkuu! Nikifungua consultancy ya kilimo na mifugo sidhani kama raia watakuja. Na kama wakija sidhani kama wapo tayari kutoa pesa kwa ushauri pekee.Mkuu mimi mbona siwaoni wataalamu wa kilimo nimeanza kulima toka 2010? Mbona nawaona madaktari wa binadamu, polisi, maEng wa majengo nk. Nyie mnafanyia kazi maeneo gani? Hao wa hizo fani niliowataja mbona tunawaona kwenye mazingira yetu na wala hatuwafuati huko vyuoni kwao?
Hajui huyu! Tena inawezakana jamaa kasoma Bio-processing engineering.[emoji1] [emoji1] [emoji1]! Labda amesoma food science and technology
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Food Science and Technology ndio wamiliki wa Bar?[emoji1] [emoji1] [emoji1]! Labda amesoma food science and technology
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu umeua, lazima utakuwa mwanaSUA tu weweNenda Muslim University of Morogoro mchango wao unaonekana kila kona ya nchi hii kuanzia saa 11 alfajiri
Mkuu maisha popote, Kuna kozi inaitwa Agricultural Economics and Agribusiness ni uchumi kamili, sasa kama hakuna ajira za kuhudumia wakulima, na kuna za benki afanyaje?Chaa ajabu wengi unawakuta wanafanya kaZi bank!! Ushahidi ninao
Kwanza lazima tutambue kua SUA inatoa taaluma tofauti tofauti ingawa zote zipo katika bracket kubwa la kilimo.Fani karibu zote zinaunganishwa na vyama vya wataalam. Lawyers, architects engineers, doctors. Chenu cha wataalamu wa kilimo ni kipi?
...Green house mkuuwe unataka amiliki nini??