Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Ungetolea mfano halisi inapotumika isivyo vs inapotumika ipasavyo.
Badala ya kuona ni general rule kwamba haya wezi kutumika kwa pamoja.
Kama upo Tanzania wala huhitaji mtu atolee mfano maana karibia kila mtu anaongea hivyo, so assumption ni kwamba this is very common sikuona sababu ya kutolea mfano.
 
Maelezo yako kuhusu matumizi ya hiyo phrase had no reservations. Ulisema kwa ujumla wake kuwa ni makosa kutumia maneno unless otherwise kwa pamoja. Swala la muktadha wa matumizi hukuuweka, kwa kweli nilishangaa sana. Yawezekana nikawa siijui sana hii lugha ya Malkia, lakini hiki Kiingereza cha unless otherwise ni just Kiingereza cha is and was

NB: You should have qualified your thread kwa kueleza kuwa watu wengi wanatumia phrase hiyo in a wrong context, na siyo kueleza kuwa hayo maneno hayawezi kutumika kwa pamoja
Umemweleza Mwalimu wetu vizuri kabisa, sasa sijui ni wale waalimu wa Universal Primary Education (upe) au wa voda faster
 
Maelezo yako kuhusu matumizi ya hiyo phrase had no reservations. Ulisema kwa ujumla wake kuwa ni makosa kutumia maneno unless otherwise kwa pamoja. Swala la muktadha wa matumizi hukuuweka, kwa kweli nilishangaa sana. Yawezekana nikawa siijui sana hii lugha ya Malkia, lakini hiki Kiingereza cha unless otherwise ni just Kiingereza cha is and was

NB: You should have qualified your thread kwa kueleza kuwa watu wengi wanatumia phrase hiyo in a wrong context, na siyo kueleza kuwa hayo maneno hayawezi kutumika kwa pamoja
Anaanza kukwepa msala.
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.

Pana ajali mbaya imetokea kwenye makutano ya barabara ya Morogoro road na Bibi Titi 😂😂😂.
 
Inabore kuona mtu anaongea maneno mawili yenye maana sawa. Sijawahi kusikia wenye kiingereza chao wanaongea hivi. Hata sisi waongea kiswahili huwezi kuongea maneno mawili ya kiswahili yenye maana sawa kwa wakati mmoja
Kumaanisha kwamba hujawai iskia eeh
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
"Unless" inatumika badala ya "If not" lakini wengi wanatumia neno "Unless" visivyo. Shida kubwa tuliyonayo ni ulimbukeni wa Lugha. Binafsi nakerwa sana na tabia ya kuchanganya Lugha wakati mtu anaongea.
 
'Ila vinginevyo'
'Isipokuwa vinginevyo'

Naona yako na maana tofauti na yanaweza tumika kwa pamoja na yakaleta maana kama yalivyo hapo juu
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi "Unless maana yake isipokuwa/la sivyo. Otherwise maana yake isipokuwa/la sivyo". Hivyo chagua neno mojawapo tu uteleze, utaelewaka zaidi badala ya kulazimisha kuyatumia yote kwa wakati mmoja.
"Unless" ni badala ya neno "If not" shida kubwa tuliyonayo wabongo ni ya walimu wa hovyo wa Lugha. Kingine watu hatupendi kuendelea kujifunza Lugha mara tunapotoka shuleni(tunapomaliza).
 
"Unless" inatumika badala ya "If not" lakini wengi wanatumia neno "Unless" visivyo. Shida kubwa tuliyonayo ni ulimbukeni wa Lugha. Binafsi nakerwa sana na tabia ya kuchanganya Lugha wakati mtu anaongea.
Yaani ukiona code mixing na code switching zinakukera basi ujue wewe ndiye mwenye tatizo na siyo huyo anayechanganya lugha. Haya ni mambo ya kawaida sana kwenye matumizi ya lugha hasa kwa mtu mwenye umahiri wa lugha zaidi ya moja. Code mixing na code switching ni maumbile tu katika lugha. Sasa wewe unakereka na nini kwenye maumbile hayo!?
 
"Unless" inatumika badala ya "If not" lakini wengi wanatumia neno "Unless" visivyo. Shida kubwa tuliyonayo ni ulimbukeni wa Lugha. Binafsi nakerwa sana na tabia ya kuchanganya Lugha wakati mtu anaongea.
Tupo pamoja mkuu. Binafsi nina shida sana na hawa wa unless otherwise. Huwa inanibore sana, halafu karibia kila mtu sasa mpaka huwa najiuliza hili tatizo sio bure lilitokea kwa bahati mbaya bali walimu huko shuleni na vyuoni wanafundisha hivyo maana haiwezekani kila mtu aseme unless otherwise kila sehemu anapotakiwa kutumia mojawapo ya haya maneno.
 
Kawaida sana hiyo tunaita lugha fasaha (yaani lugha ya kueleweka japo haizingatii sarufi)

Ukitaka lugha sanifu yenyewe mara nyingi hupatikana kwenye maandishi tu (mavitabu na makamusi ya lugha)

Mifano mingine ambayo ni fasaha japo si sanifu ni;

My speech is * concerning about * child labour

Stay far from me * or otherwise * I will shout

* Ingawa nilimtahadharisha lakini * hakusikia

The teacher said, * "Repeat again!" *

* Hata unipige vipi lakini * sikwambii ukweli ng'o!

Hatahivyo, umeleta uzi kwenye jukwaa siyo lake, * unless otherwise * hujui kwamba kuna jukwaa la lugha[emoji23]

Maneno yenye * kwa nyuma yanawiana (maana na matumizi sawa) na maneno yenye * kwa mbele

Hata mimi
 
Yaani ukiona code mixing na code switching zinakukera basi ujue wewe ndiye mwenye tatizo na siyo huyo anayechanganya lugha. Haya ni mambo ya kawaida sana kwenye matumizi ya lugha hasa kwa mtu mwenye umahiri wa lugha zaidi ya moja. Code mixing na code switching ni maumbile tu kati lugha. Sasa wewe unakereka na nini kwenye maumbile hayo!?
Siyo kweli. Salim Ahmed Salim alikuwa na umahiri na ufahamu wa ufasaha katika lugha zaidi ya 5 za kimataifa lkn hajawahi sikika akichanganya Lugha anapozungumza.
 
Tupo pamoja mkuu. Binafsi nina shida sana na hawa wa unless otherwise. Huwa inanibore sana, halafu karibia kila mtu sasa mpaka huwa najiuliza hili tatizo sio bure lilitokea kwa bahati mbaya bali walimu huko shuleni na vyuoni wanafundisha hivyo maana haiwezekani kila mtu aseme unless otherwise kila sehemu anapotakiwa kutumia mojawapo ya haya maneno.
Wengi walikiwa wanawasikia walimu wao wakitumia hayo maneno hivyo wanadhani ni sahihi kuyatumia!
 
Wengi walikiwa wanawasikia walimu wao wakitumia hayo maneno hivyo wanadhani ni sahihi kuyatumia!
Uko sahihi mkuu. Haiwezekani tu ikatokea kama ajali kila mtu akawa anazungumza hivyo. This is like nation crisis.
 
Inabore kuona mtu anaongea maneno mawili yenye maana sawa. Sijawahi kusikia wenye kiingereza chao wanaongea hivi. Hata sisi waongea kiswahili huwezi kuongea maneno mawili ya kiswahili yenye maana sawa kwa wakati mmoja
Vilugha vya ki-English vipo kwa level, tofauti tofauti Duniani kote vya aina saba vinavyo tambulika kimataifa na vyote vina sub branches... Mfano

Uk na N/ USA,na S/USA( hii ni nchi) moja lkn wako tofauti kima tamshi na grammatically wako tofauti.

Caribean english ndo kabisaa utakaa chini.

mfano neno... "I en' I" mama wee !! mbongo wa kawaida kamwe hata jua hii. Nakupa mfano wa hapo kwenu Africa

Mkenya mswahili.
Mtanzania
Uganda.
M-congo.
Northen malawi nk.

Hawa wanaongea kiswahili kabisaaa!! Lkn tofauti. kwa wa Tanzani anaona hawajui. kumbe yeye ndo hajui.

Km haitoshi.... Mzaramo.Muhaya, mpogolo na Msukumank ni nchi moja walimu walewale!! wanaongea kiswahili kile kile lkn Msukuma hamuelewi kirahisi mzaramo.

Jaluo tena wa kule shirati ikiongea kiswahili utacheka mpaka ujambe...kurya mfano kulala/ kurara, tupa-tabhuta!!

sijui mmasai weee!! ...

Mmakonde anatamka ntonto badala ya mtoto!! " eg"Ntoto wa Nkuu wa Nkoa amepata achali" but anaeleweka ivo ivo kwa Lugha zote Duniani ziko hivo!!

Kiingereza ulo jifunza cha south ni tofauti kabisa na cha Nigeria, Australia. G/Britain. na N/Ireland nchi moja hii. na Usa.nk
Wa bongo wengi wanajua ki english cha Great Britain baaasi!! Be flexible ! twist your mind deep!!

Mwlm wako wa Lugha alipaswa akupe hii hint. Kabla huja graduate Sasa sijui alisahau au hukuwepo drsn siku hizo???.
 
Back
Top Bottom