Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Vilugha vya ki-English vipo kwa level, tofauti tofauti Duniani kote vya aina saba vinavyo tambulika kimataifa na vyote vina sub branches... Mfano

Uk na N/ USA,na S/USA( hii ni nchi) moja lkn wako tofauti kima tamshi na grammatically wako tofauti.

Caribean english ndo kabisaa utakaa chini.

mfano neno... "I en' I" mama wee !! mbongo wa kawaida kamwe hata jua hii. Nakupa mfano wa hapo kwenu Africa

Mkenya mswahili.
Mtanzania
Uganda.
M-congo.
Northen malawi nk.

Hawa wanaongea kiswahili kabisaaa!! Lkn tofauti. kwa wa Tanzani anaona hawajui. kumbe yeye ndo hajui.

Km haitoshi.... Mzaramo.Muhaya, mpogolo na Msukumank ni nchi moja walimu walewale!! wanaongea kiswahili kile kile lkn Msukuma hamuelewi kirahisi mzaramo.

Jaluo tena wa kule shirati ikiongea kiswahili utacheka mpaka ujambe...kurya mfano kulala/ kurara, tupa-tabhuta!!

sijui mmasai weee!! ...

Mmakonde anatamka ntonto badala ya mtoto!! " eg"Ntoto wa Nkuu wa Nkoa amepata achali" but anaeleweka ivo ivo kwa Lugha zote Duniani ziko hivo!!

Kiingereza ulo jifunza cha south ni tofauti kabisa na cha Nigeria, Australia. G/Britain. na N/Ireland nchi moja hii. na Usa.nk
Wa bongo wengi wanajua ki english cha Great Britain baaasi!! Be flexible ! twist your mind deep!!

Mwlm wako wa Lugha alipaswa akupe hii hint. Kabla huja graduate Sasa sijui alisahau au hukuwepo drsn siku hizo???.
Hii unayoiongelea mkuu ni dialect ambayo ni vionjo vya matamshi ambavyo viko influenced na origin ya mtu lakini hili la unless otherwise in the wrong context ni tatizo la kutojua lugha tu mkuu, simply as that.
 
Ni Salim kama Salim na wala siyo wengine... usilazimishe tufanane

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna unachokinua, wewe ni uzao uleule wa wazungumzaji wabovu wa Lugha. Asante..siwezi kuendelea kulumbana na wewe. Nyie ndio badala ya "alikwenda" mnasema "alikwendaga" na mnadhani ni sahihi kuongeza "ga" "ge" na "gi" ni sahihi.

Kwa heri, hunitoshi kwenye uwanja wa Lugha!
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi "Unless maana yake isipokuwa/la sivyo. Otherwise maana yake isipokuwa/la sivyo". Hivyo chagua neno mojawapo tu uteleze, utaelewaka zaidi badala ya kulazimisha kuyatumia yote kwa wakati mmoja.
Mkuu una uhakika ?

You may not Kill the Dog Unless it bites you ?
You may not Kill the Dog Otherwise it bites you ?
Unaona ni semantically correct kuliko

You may not Kill the Dog unless otherwise it bites you.

Kipi kinaondoa utata ?, Sio Bongo tu, the worldwide haya maneno yanatumika kwenye everyday conversation....
 
Kwa tafsiri isiyo rasmi "Unless maana yake isipokuwa/la sivyo. Otherwise maana yake isipokuwa/la sivyo". Hivyo chagua neno mojawapo tu uteleze, utaelewaka zaidi badala ya kulazimisha kuyatumia yote kwa wakati mmoja.
Otherwise = vinginevyo
 
Lkn pia....English languaege siyo lugha ya kiswahili kimatamshi Kamwe!!

Aliyo sema mleta Mada kitaalamu inaitwa Duplifixes Grammatical suffixes hizi zipo kwa lugha zote Dunianimbali na kiswahili yapo.hata kipogolo.kijita nk!

Mfano utasema
"Watoto mbali mbali wame hudhuria sherehe hii".
Hili neno lina maana tofauti na

"Watoto mbali wamehuduria shererehe hii!" non gramnatical correct!!

"Unatembea tembea chumbani kwangu kwa nini?" kiswahili ina maana.
Kiing. kamwe haileti maana.
Neno km
pilipili.
sambusa
unakuja kuja kwangu
Unanifuatafuata bila sababu.nk!
Haya kamwe..
usiyatafsiri kwa kiswah kwenda kiing. Itakupa shida.

Ukitafsiri kiing.kwa kiswahili utaingia chaka.
Mfano huwezi tamka Duplifixes za kiswahili kuwa kiingereza.ivoivo na za kiingereza kuwa kiswahili.never!

Mfano neno " zig zag" ni Duplifixes ya kiing. Yenye ilabu tofauti km ilivo kwa neno "unless otherwise"!
Kamwe huwezi sema zig ikaleta maana km ilivo kwa mfano ulee pale juu!!

Tatizo kubwa humu Jf unaweza ingia chaka mbaya! Na ukabaki ivo!!au uka nufaika mbaya!! Inategemea na matumizi yako.
Ktk suffixes kuna silabi mfanano na zingine tofauti! Ndo lugha zilivo!

Be very care full!! yangu ni hayo!! Nawapa buuure!!
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.

[emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
Unakuta mtu anakuambia "Ok sawa" haileti maana yan
 
Hii unayoiongelea mkuu ni dialect ambayo ni vionjo vya matamshi ambavyo viko influenced na origin ya mtu lakini hili la unless otherwise in the wrong context ni tatizo la kutojua lugha tu mkuu, simply as that.
No!! Km amefika level hiyo ya kutamka hivo!! anajua ila grammatically incorrect kulingana level ya uelewa wa Msiklizaji.

Hii iko hata kwa wazungu wasema kswahili watangazaji wa Radio Tumani wanatafsiri fasihi ya kiswa.kuwa engl.its very normal.

Lkn pia..

Kuchapia kupo!! Ni sehemu ya lugha. Amin alikuwa anachapi hasa tena mkutanoni!!hata mchonga.lkn je ni english ya wapi anaongea???

Msikilize vizuri Hiba Mogan wa Aljazeera!! Na Mohamed Badou hata km umefumba macho utawatofautisha kirahisi kwa Grammar yao! mbali na tone yao!
 
Unakuta mtu anakuambia "Ok sawa" haileti maana yan
je akikwambia ....
"sawasawa waungwana nitafanya kazi!!" je hailet maana??

Fikiria Anaongea na nani kwanza mswahili Au mwingereza asiyejua??

Ok!! na neno sawa ni sawa kwa kiswahili tu! Km unaongea na mswahili mbona wagumu kuelewa nyie watu??
 
Mkuu una uhakika ?

You may not Kill the Dog Unless it bites you ?
You may not Kill the Dog Otherwise it bites you ?
Unaona ni semantically correct kuliko

You may not Kill the Dog unless otherwise it bites you.

Kipi kinaondoa utata ?, Sio Bongo tu, the worldwide haya maneno yanatumika kwenye everyday conversation....
Mkuu kusema ukweli hata sijakulewa kabisa. Anyaway kuhusu statements zako hizo mbili: ya kwanza ipo sahihi ila ya pili haiko sahihi, (I stand to be corrected). Ya tatu ndio pana tatizo zaidi.
Haya maneno japo ni synonyms ila kuna sehemu hayawezi kutumika interchangeably mfano mzuri ni hiyo statement yako ya pili.
 
Sijasema ni grammatically incorect ninachosema kwa wabongo haya maneno wanayatumia kwa pamoja unnecessarily. Kuna sehemu kweli yanaweza kwenda kwa pamoja kama mdau mmoja alivyotolea mfano hapo juu ila hata wewe ni shahidi kama hii lugha unaijua vizuri wabongo huwa hawayatumii katika statement yenye kuleta maana pale yanapohitajika kutumika kwa kufuatana. Jaribu kuwasililiza kwa makini utanielewa.
Unakataa nini unakubali nini? Kabadili ulichoandika kwenye mada mwanzoni. Hiki hapa chini ndio ulichoandika. Umesisitiza nani katufundisha kutumia maneno haya kwa wakati mmoja?

Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
 
Unakataa nini unakubali nini? Kabadili ulichoandika kwenye mada mwanzoni. Hiki hapa chini ndio ulichoandika. Umesisitiza nani katufundisha kutumia maneno haya kwa wakati mmoja?

Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
Sawa mkuu. Sipo hapa kubishana. Wa kunielewa keshanielewa, wakutokunielewa hatanielewa.
 
Sawa mkuu. Sipo hapa kubishana. Wa kunielewa keshanielewa, wakutokunielewa hatanielewa.
Hamna wa kubishana na wewe. Ni wazi hayo maneno mawili yanaweza kutumika pamoja kama ambavyo unaona wadau wengi wamekuonesha ni vizuri ukiteleza ukubali tu na sio kuanza kubadilikabadilika, next time kuwa makini kabla ya kujaribu kuwaona Watz wengi hawaelewi vitu rahisi.
 
Hamna wa kubishana na wewe. Ni wazi hayo maneno mawili yanaweza kutumika pamoja kama ambavyo unaona wadau wengi wamekuonesha ni vizuri ukiteleza ukubali tu na sio kuanza kubadilikabadilika, next time kuwa makini kabla ya kujaribu kuwaona Watz wengi hawaelewi vitu rahisi.
Mkuu hebu kwanza toa negativity uliyonayo kichwani halafu ubongo wako uuruhusu kujifunza "otherwise" utaendelea kutokunielewa.
 
Back
Top Bottom