Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Hivi Watanzania kwa nini huwa wanatumia haya maneno mawili kwa wakati mmoja? "Unless otherwise"

Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
The phrase "unless otherwise" is usually used in giving instructions to make them more clear. You may smoke unless otherwise instructed. Unless otherwise instructed, please remain seated. Unless you are told otherwise, you may take photographs.19 Nov
 
Unless hutumika katika conditional sentence- kuonya/kuonywa mfano mwanafunz ulikua unazurura sasa akaona mwalm darasani ameingia na yeye hakua na interest.
Sentence inayoweza kutumika hapo ni hii.
Don't come to class unless you are willing to listen.

Sasa otherwise hutumika kama alternative.Tuseme mwanafunz ameingia darasani na akapiga kelele au kusumbua mwalm anaweza mwambia.

Pay attention otherwise i will kick you out of class..

mfano mwlm akataka kusema.

Kaa kwa kutulia la sivyo nitakutoa nje?

Hivi unless otherwise haziwez kutumika kwa pamoja hapo?

Mfano upo Uhamiaji ukamwambia Muingereza
Your visa will last for two months unless otherwise stated.

Kilikuja na mail don't complicate
Tuwe na Kizungu chetu wazungu nao wabaki na cha kwao.😁😁
Hapo upo sahihi 100% ila kwa wabongo huwa hawaitumii katika muktadha huo.
 
Binafsi nimeshangaa maelezo yake. Nimeshangaa zaidi anasema English is his first language lakini phrase; unless otherwise anaiona kuwa grammatically incorrect
Sijasema ni grammatically incorect ninachosema kwa wabongo haya maneno wanayatumia kwa pamoja unnecessarily. Kuna sehemu kweli yanaweza kwenda kwa pamoja kama mdau mmoja alivyotolea mfano hapo juu ila hata wewe ni shahidi kama hii lugha unaijua vizuri wabongo huwa hawayatumii katika statement yenye kuleta maana pale yanapohitajika kutumika kwa kufuatana. Jaribu kuwasililiza kwa makini utanielewa.
 
Huwezi kuongea maneno mawili ya kiswahili yenye maana sawa kwa wakati mmoja
Yapo bwana..mfano:
Mdogo Mdogo,Pikipiki ,barabara,pole pole

Mfano Mr Blue alisema 'Tunatafuta Pesa Pesa Pesa,Tutazipata Pesa Pesa Pesa pesa'

Mifano mingine ya sentensi
1.Juma Ni Rafiki mwandani wangu
2.kila ijumaa Kuna Soko la gulio pale mwenge
3.Nia Na dhamira ya Huu mkutano Ni kudumisha upendo
4.Maskini! kumbe Juma Ni fukara?
5.Yule pale sio mwenyekiti ila ni naibu makamu mwenyekiti
6.Dhamira Na kusudi la kuja hapa Ni ili nikutongoze
 
Sio kwamba watu hawajui...ni mazoea..cha msingi msikilizaji anaelewa nn kinamaanishwa...mbona tunachapia maneno mengi ktk kiswahili....mfano NILIMKUTA HAYUPO..!!

Kingereza chenyewe kina kanuni ya kwamba hasi na hasi haziendan

Mfano huwez kusema I DON'T HAVE NOTHING...unatakiwa useme I DON'T HAVE ANYTHING..sasa angalia ni wazungu wangapi wanakosea....cha msingi ni msikilizaji ameelewa au la!!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Tena wamarekani ndo wanaviolate sana kanuni za kingereza mfn wanasema " no body handed me nothing " hii mpaka kichwa changu mbongo kinakataa
 
Sijasema ni grammatically incorect ninachosema kwa wabongo haya maneno wanayatumia kwa pamoja unnecessarily. Kuna sehemu kweli yanaweza kwenda kwa pamoja kama mdau mmoja alivyotolea mfano hapo juu ila hata wewe ni shahidi kama hii lugha unaijua vizuri wabongo huwa hawayatumii katika statement yenye kuleta maana pale yanapohitajika kutumika kwa kufuatana. Jaribu kuwasililiza kwa makini utanielewa.
Maelezo yako kuhusu matumizi ya hiyo phrase had no reservations. Ulisema kwa ujumla wake kuwa ni makosa kutumia maneno unless otherwise kwa pamoja. Swala la muktadha wa matumizi hukuuweka, kwa kweli nilishangaa sana. Yawezekana nikawa siijui sana hii lugha ya Malkia, lakini hiki Kiingereza cha unless otherwise ni just Kiingereza cha is and was

NB: You should have qualified your thread kwa kueleza kuwa watu wengi wanatumia phrase hiyo in a wrong context, na siyo kueleza kuwa hayo maneno hayawezi kutumika kwa pamoja
 
Maelezo yako kuhusu matumizi ya hiyo phrase had no reservations. Ulisema kwa ujumla wake kuwa ni makosa kutumia maneno unless otherwise kwa pamoja. Swala la muktadha wa matumizi hukuuweka, kwa kweli nilishangaa sana. Yawezekana nikawa siijui sana hii lugha ya Malkia, lakini hiki Kiingereza cha unless otherwise ni just Kiingereza cha is and was

NB: You should have qualified your thread kwa kueleza kuwa watu wengi wanatumia phrase hiyo in wrong context, na siyo kueleza kuwa hayo maneno hayawezi kutumika kwa pamoja
Mkuu kuna vitu vingine katika maisha ni very common kiasi kwamba una-assume kila mtu anakijua kiasi kwamba unaona haina umuhimu kuweka maelezo mengi. Nilichokuwa nakiongelea ni hasa hiki cha kutumia "unless otherwise" katika context isiyo sahihi. Na uhitaji hata kwenda mbali kuproove hili, wewe angalia tu comments za members huko mwanzoni mwanzoni kwenye kureply wametumia haya maneno mawili in the wrong context just kama hoja yangu ilivyo.
 
Inabore kuona mtu anaongea maneno mawili yenye maana sawa. Sijawahi kusikia wenye kiingereza chao wanaongea hivi. Hata sisi waongea kiswahili huwezi kuongea maneno mawili ya kiswahili yenye maana sawa kwa wakati mmoja
Nilikwenda nikamkuta hayupo! Hii imekaaje?😅
 
Mkuu kuna vitu vingine katika maisha ni very common kiasi kwamba una-assume kila mtu anakijua kiasi kwamba unaona haina umuhimu kuweka maelezo mengi. Nilichokuwa nakiongelea ni hasa hiki cha kutumia "unless otherwise" katika context isiyo sahihi. Na uhitaji hata kwenda mbali kuproove hili, wewe angalia tu comments za members huko mwanzoni mwanzoni kwenye kureply wametumia haya maneno mawili in the wrong context just kama hoja yangu ilivyo.
Unless...otherwise inaeleweka japo sio sahihi kutumia haya maneno kwa mfuatano!

Lazma kuwe na maneno katikati yake ndio imake sense.
Mfano: Unless you were seriously sick, otherwise you would be responsible for the absence!
 
Hivi watanzania ni mwalimu gani aliyewafundisha kingereza cha kutumia haya maneno kwa wakati mmoja? "Unless otherwise". Watanzania wengi sana wanapoongea huwa wanayatumia haya maneno kwa wakati mmoja. Huwa najiuliza inakuwaje watanzania wengi kiasi hiki wanatumia haya maneno kwa wakati mmoja? Ina maana huko shuleni ndivyo walivyofundishwa hivi? Haya maneno yana maana sawa, kwa kiingereza yanaitwa "synonyms", unatakiwa kutumia neno mojawapo tu na sio yote kwa wakati mmoja.
Repeat again, please!
 
Sijasema ni grammatically incorect ninachosema kwa wabongo haya maneno wanayatumia kwa pamoja unnecessarily. Kuna sehemu kweli yanaweza kwenda kwa pamoja kama mdau mmoja alivyotolea mfano hapo juu ila hata wewe ni shahidi kama hii lugha unaijua vizuri wabongo huwa hawayatumii katika statement yenye kuleta maana pale yanapohitajika kutumika kwa kufuatana. Jaribu kuwasililiza kwa makini utanielewa.
You are beginning to turn into a chameleon.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daadeq mtaalam wa kupiga juche ushazama gugo... hahahaha
Kuna sehemu hilo neno lilikuwa maarufu sana ingawa asili yake ni nje ya TZ, ulipita(pengine umeshalifahamu) eneo hilo?
 
Sijasema ni grammatically incorect ninachosema kwa wabongo haya maneno wanayatumia kwa pamoja unnecessarily. Kuna sehemu kweli yanaweza kwenda kwa pamoja kama mdau mmoja alivyotolea mfano hapo juu ila hata wewe ni shahidi kama hii lugha unaijua vizuri wabongo huwa hawayatumii katika statement yenye kuleta maana pale yanapohitajika kutumika kwa kufuatana. Jaribu kuwasililiza kwa makini utanielewa.
Ungetolea mfano halisi inapotumika isivyo vs inapotumika ipasavyo.
Badala ya kuona ni general rule kwamba haya wezi kutumika kwa pamoja.
 
Back
Top Bottom