Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili ndiyo suluhisho sasa ,nmekunikilisema sana humu!Nimeshtuka sana kusikia eti kesho mafuta yanapanda tena bei hadi kufikia 3,400/= kwa lita kwa baadhi ya mikoa.
Hivi itakuwaje kama wenye magari wote watasusa na kupaki magari kesho. Au tuamue hapa hapa?
EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258 Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022 Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita. Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...www.jamiiforums.com
Wanatubeep, ...., mi nawapigia, nishaamua, napaki, kwani nini bhanaa, napakiii.., siwezi kuendelea ku-fund vita ambayo hainihusu..., Tanzanians should stop funding this WAR!!!, its not our WAR!!
Hamuwezi kaka.... Karibu kwenye madaladala.....Sisi wenye 500,000 kwa mwezi ndio wengi zaidi.
Unampa mahesabu magumu bado anajifunza kuhama na Moja kichwani ....Ukiangalia hapo raia wa USA wananua 1lita kwa 3,359 na kwa sisi huku wa juu kabisa ananua 1lita kwa 3,375. Lakini wastani wa pato LA MTU mmoja wa USA ni 11M kwa mwezi na Tanzania ni laki 5.
Kafunge mfumo wa gesi....Nilibadirisha Chuma hapo kati nikavuta kitu cha diesel maana ilikua bei chini ya Petrol, ila sasa dizo inasoma 3.4 sio poa mjanja
Kwahiyo bei ishushwe kisa una pato dogo?Ukiangalia hapo raia wa USA wananua 1lita kwa 3,359 na kwa sisi huku wa juu kabisa ananua 1lita kwa 3,375. Lakini wastani wa pato LA MTU mmoja wa USA ni 11M kwa mwezi na Tanzania ni laki 5.
Halafu unaishi Kongowe na unafanya kazi Posta Dar, utatembea kwa miguu? Maana kama wote watapaki maana yake na daladala hazipoNimeshtuka sana kusikia eti kesho mafuta yanapanda tena bei hadi kufikia 3,400/= kwa lita kwa baadhi ya mikoa.
Hivi itakuwaje kama wenye magari wote watasusa na kupaki magari kesho. Au tuamue hapa hapa?
EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258 Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022 Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita. Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...www.jamiiforums.com
Wanatubeep, ...., mi nawapigia, nishaamua, napaki, kwani nini bhanaa, napakiii.., siwezi kuendelea ku-fund vita ambayo hainihusu..., Tanzanians should stop funding this WAR!!!, its not our WAR!!
Mtajua wenyewe kudadeki zenu, napaki gari, mbw@ nyie !Jumlisha hizo tozo zote ndo ujue bei halisi ya mafuta ipoje.View attachment 2210775
Kama vipi Anza kabisa kuishi Kama Mhadzabe maana kila unachotumia kutoka huko nje kuanzia simu, nguo, Ni Biashara za Wazungu.Mafuta yamepanda bei sababu ya vita, acha porojo zisizo na mantiki, na kwa kununua hayo mafuta tunagharamia hiyo vita, which siwezi kufanya, mimi nishaamua, wewe andelea kununua, hukatazwi!
Mafuta ni major contributer, wacha nipaki tu, potelea mbali, ujinga huu!!Kama vipi Anza kabisa kuishi Kama Mhadzabe maana kila unachotumia kutoka huko nje kuanzia simu, nguo, Ni Biashara za Wazungu.
Fanya hivi ili usi-fund vita
Paki tu hata muda huu. Sidhani kama hata tulipaswa kujua.Mafuta ni major contributer, wacha nipaki tu, potelea mbali, ujinga huu!!
Ukiangalia hapo raia wa USA wananua 1lita kwa 3,359 na kwa sisi huku wa juu kabisa ananua 1lita kwa 3,375. Lakini wastani wa pato LA MTU mmoja wa USA ni 11M kwa mwezi na Tanzania ni laki 5.
Hili ndiyo suluhisho sasa ,nmekunikilisema sana humu!
Wenye vyombo vya moto wakichukua uamuzi huu,wahusika wenyewe watanyooka....trust me
Ila watu wakiishia kulalamika alafu wanaendelea kuweka mafuta basi
Watazidi kuchezewa
Ova
Sisi wa 200,000 kushuka ni wengi zaidi na zaidi...ila ndo hivyo magari yetu yana namba A na ni mabovu..Tutapanda bajaji.Sisi wenye 500,000 kwa mwezi ndio wengi zaidi.