Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Mbona sasa hivi petrol imepanda sana Bei na inapatikana kwa upungufu. Wanagoma lini?Kenya waliwahi kutumia hii mbinu na walifanikiwa. Kitu kikipanda bila sababu za msingi hawanunui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona sasa hivi petrol imepanda sana Bei na inapatikana kwa upungufu. Wanagoma lini?Kenya waliwahi kutumia hii mbinu na walifanikiwa. Kitu kikipanda bila sababu za msingi hawanunui.
Nimeshtuka sana kusikia eti kesho mafuta yanapanda tena bei hadi kufikia 3,400/= kwa lita kwa baadhi ya mikoa.
Hivi itakuwaje kama wenye magari wote watasusa na kupaki magari kesho. Au tuamue hapa hapa?
EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258 Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022 Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita. Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...www.jamiiforums.com
Wanatubeep, ...., mi nawapigia, nishaamua, napaki, kwani nini bhanaa, napakiii.., siwezi kuendelea ku-fund vita ambayo hainihusu..., Tanzanians should stop funding this WAR!!!, its not our WAR!!
Ndugu umoja ni nguvu. Serikali zikikosa mapato yatokanayo na mafuta watawaza vizuri. Sote tubanane kwa usafiri wa umma tuchelewe sote makazini serikali inunue staff bus kama kampuni ya cocacola tupande bure kwa vitambulisho hili litawanufaisha na wanafunzi pia. Tushikamane na mtoa mada.Tutatembea kwa miguu. Kilomita 6 za kwenda kazini haziwezi kunishinda. Hii itatusaidia wengine kuanza kufanya mazoezi kwa lazima. Naamka alfajiri naanza kutembea mdogo mdogo ili nisifike kazini nanuka jasho.
Kabisa....hiyo ndio solution,viwanda vya magari vikianza kuzalisha magari ya umeme kwa wingi na kuuza kwa bei ambazo ni affordable automatic mafuta nayo yatashuka tu beiInabidi tuwe na magari mengi ya umeme. Tesla ni ya umeme, kuna canter ya umeme, malori ya umeme tayari volvo ya umeme ipo, mabasi ya umeme yaje tayari uganda wanatengeneza kiira motors. Kiufupi magari ya umeme ndio suluhisho
Ni ubeberu tu, US anawawekea Urusi vikwazo, haoafu tunaogharamika ni sisi wakati hatuhusiki na vita hiyo...Monasikia mrusi anauza mafuta kwa bei ya kutupwa shida nn kiagiza hayo mafuta
Ongeza juhudi, grassroots wenzako watakuunga mkono.Mtajua wenyewe kudadeki zenu, napaki gari, mbw@ nyie !
Hakuna cha juhudi, ndio nishapaki sasa, nimegoma!Ongeza juhudi, grassroots wenzako watakuunga mkono.
Mwishoe wakuone boya warudi kwenye passo zao.
Poor you.
Mtoa mada nimekuelewa mfano wako..inasikitisha Sana aisee na hizi bei za mafuta sio Siri inaumiza Sana nakumbuka wiki iliyopita nimepanda zangu private car ili kulinda maisha mengine ya home kwasababu nimepiga hesabu naenda mjini gari yangu alafu narudi na TSH 20,000 kitu ambacho hakuna haja ya kutumia gari yangu...Mimi hata wakauza mafuta 10k kwa lita siwezi kosa pesa ya kulipa, ninachosema ni kwamba, siwezi kufund vita ambayo hainihusu!!!!
Kwa umoja upi?Nimeshtuka sana kusikia eti kesho mafuta yanapanda tena bei hadi kufikia 3,400/= kwa lita kwa baadhi ya mikoa.
Hivi itakuwaje kama wenye magari wote watasusa na kupaki magari kesho. Au tuamue hapa hapa?
EWURA yatangaza bei mpya ya mafuta kuanza kutumika 04/05/2022. Petroli na Dizeli bei juu zaidi
Mafuta yamepanda tena Bei, Dar Lita ya petrol kuanzia kesho ni 3148, dizeli 3258 Bei za mafuta kuanzia April 4, 2022 Bei ya petrol kwa Dar itakuwa ni Tsh 3,148 kwa lita. Kwa watu wa Tanga watanunua kwa Tsh 3,161 na kwa watu wa Mtwara kwa 3,177 kwa lita. Dizeli itauzwa Tsh. 3,258 kwa lita kwa...www.jamiiforums.com
Wanatubeep, ...., mi nawapigia, nishaamua, napaki, kwani nini bhanaa, napakiii.., siwezi kuendelea ku-fund vita ambayo hainihusu..., Tanzanians should stop funding this WAR!!!, its not our WAR!!