Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,699
- 7,726
Ukiona mafuta ni bei paki huo mkweche wako tembea pekeako kwa miguu. Guys bei ya mafuta ni affordable. Ukiona ni gharama basi ujue umeshindwa kujikwamua kutoka ktk umasikini.
Unakimbia kununua petrol kwa 3,100 unakimbilia kupanda public transport kwa siku unatumia zaidi ya 3,000 unapoteza na muda, hizo ni akili au matope
Unakimbia kununua petrol kwa 3,100 unakimbilia kupanda public transport kwa siku unatumia zaidi ya 3,000 unapoteza na muda, hizo ni akili au matope