Hivi wenzetu mnaowapanga wanaume au wanawake huwa mnawezaje

🤣🤣🤣Hii mvua ndo yenyewee, papuchi Inakua yamotooo zaidi
Bado tu umegandaa?
Kanywe supu kwa mkeo bwana
Ukifika kwa hasira unamalizia huko huko jikoni anajua mahaba Niue kumbe hasira za kutelekezwa
 
[emoji16]
 
Ukitaka kuwapanga afu usikamatwe au ka unaona unawapanga afu hukamatwi basi ujue mwenza wako mume au mke nae malaya kama wewe....

Mmoja asipokua malaya lazma atamkamata mwenzie tu..
 
Kuna mwanamke ni Bingwa Mtambuka wa hizi ishu aseeeh
😅😅😅
 
Dah this is unethical
 
Hapooo bwana wa michepukooo😂😂😅miee hoii...una tuzo yakoooo
 
Ukitaka kupata na headache uwe na msururu ndio utajua hujui....ushapanga mtoko na bakari unashangaa Athumani kapaki nje gari muondoke!hapo Sasa ndio utasikia kisirani Cha bakari simu mfululizo na kukungojea kwenye kuduka Cha Mangi unarudi saa ngapi!huku nako simu za dulla haziishi🤔🤔🤔
 
Bado tu umegandaa?
Kanywe supu kwa mkeo bwana
Ukifika kwa hasira unamalizia huko huko jikoni anajua mahaba Niue kumbe hasira za kutelekezwa
@Nakadori usiombe uwe na ham ya makange then ukikosa uende kula roast wala hainogi
 
Hapo kandege kanahusika kwenye simuu
Haha au unaweka call baring kabisa 😂😂😂😂
 
Kuna kafilam kakikorea kanitwa cheaters kulikuwa na mschana mbali na kuigiza ila alifaidika mara 2 maana alikuwa anawapanga kama mabehewa, call waiting, yupo kwa huyu mwingine kapaki gari nje anamsubiria akitoka tu kinaumana, anakula mjegejo huku jamaa mwingine anapiga simu haipokelewi
 
Yaani kifupi lazima uwe na hekaheka na tayari kwa tukio muda wowote...unakuwa zaidi ya mwanaharakati na zaidi ya customer service wa call center
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…