The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Nasikia ni watamu alafu full ushirikiano kitandani, kila la kheri mkuuNayataka yanipende mimi, hivi viumbe vyakike vimeshanichosha vimebakiza kuninyang'anya uhai tu!.
Heri yale majini yanamapenzi ya dhati nijipatie moja niitulize nafsi kwa anaelijua lolote anikonekti nalo, life la mapenzi na hawa watoto wa eva it's too miserable!, at any time, any where you can loose your soul!, they are very dramatic and confused!.
Kali ni ile ya kuangalia miguu na kukuta kwato 😁😁😁😁 mara akaingia gheto na mtoto mkali akamwambia zima taa upande kitandan , yule dada akanyosha mkono ukawa mrefu akazima taa, jamaa akazimia palepale😆
Pia kuna na zile stories za mashuleni ndani ya vyoo kuna majini mafupi🤣Kali ni ile ya kuangalia miguu na kukuta kwato 😁😁
Lakini Kwa Wakishua Huwezi Shuhudia Hayo😁😁 siwezi nikasema hayapo maana kwa waswazi kushuhudia watu wakipandisha majini ni experience ya kawaida kuona.
Kuhusu wakina eva.. Tafuta wa level yako tu na anaekupenda. Waliobaki ni mahusiano ni biashara 😁
Just aroundUko wapi..?
Miaka yakoNjoo mi nipo am single na sitakusaliti!
Hela ipo kaka?wewe njoo miaka yangu unataka yakazi gani unakula miaka wewe..?😅