P. Majaribu
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 1,192
- 623
Spelling za horse watu huanza kuzijuwa wakiwa vidudu si Sekondari. Unaonesha ni mjinga tu kwa stupid argument yako.
Huo ni ujinga wa kuzaliwa na hakuna shule inayofundisha kuuondoa ujinga.
Maintanance ya HOWO ni cheap kwa nilivyoona mimi kulinganisha na scania ukiacha scania 113. HOWO brand new ukiifuata mwenyewe China bei yake haipishani sana na used scania,volvo, benz za ulaya.
Maintanance ya HOWO ni cheap kwa nilivyoona mimi kulinganisha na scania ukiacha scania 113. HOWO brand new ukiifuata mwenyewe China bei yake haipishani sana na used scania,volvo, benz za ulaya.
Zile Za Bakhresa ni Mpya kabisa,Watu tupo tofauti,wengine hata baskeli ni mtihani kununua.
Mtoa mada jipange,mpya hadi tz ni 1.2b
Ulikuwa na sababu gani ya kumtukana mtu...asiyejuaWe mavi kweli ..scania benz ndio nini? Kwenda huko na akili zako za kupoga vidufu unashindwa hata kujua scania na benz ni brands mbili tofauti....
Stor za vijiweni hizi et 600 hata scania ile imetoka mwaka jana R730 bei ake haifiki hivo hata ukute 0 Mileage.
Siasa hadi hapa jamani duh
Ulimaanisha "horse"? au terminology ya ma truck tusiyoijuwa?
Hizi elimu zingine ni mashaka makubwa sana, vijana siku hizi English yai, Kiswahili yai.
Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Siasa hadi hapa jamani duh
Ulimaanisha "horse"? au terminology ya ma truck tusiyoijuwa?
Hizi elimu zingine ni mashaka makubwa sana, vijana siku hizi English yai, Kiswahili yai.
Hivi hizi shule huwa mnaenda kusomea ujinga?
Kibiashara howo au brand yeyote yenye agent hapa Tanzania hawawezi kukuuzia China kwani watakuwa wamekiuka mkataba. So hakuna namna commission ya agent haikwepeki mkuu!
Si ni hizi shule za kata za Mjomba wako Baba Riz one, tuna shida ya kiingereza we acha tu.
Wakati mimi mwaka wa tatu huu napigania hela ya baiskeli japo ya phoenix....wengine wanawaza kununua mabenzi......kweli dunia duara.....
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kijana huwezi kamwe kufanikiwa kwa kushinda jamiiforum na kupiga majungu ya siasa, I guess utakuwa ni Chadema wewe coz ndo vijana wasiotaka kujishughulisha kazi kulalamika tu maisha magumu, mtu akifanikiwa Kwao huwa ni mwizi! Akili mgando kweli 3 years unakosa hata hela ya phoenix! Shame on you
Kijana huwezi kamwe kufanikiwa kwa kushinda jamiiforum na kupiga majungu ya siasa, I guess utakuwa ni Chadema wewe coz ndo vijana wasiotaka kujishughulisha kazi kulalamika tu maisha magumu, mtu akifanikiwa Kwao huwa ni mwizi! Akili mgando kweli 3 years unakosa hata hela ya phoenix! Shame on you
Those trucks each n kama 100M au 150M au below ya hapo kwa kila tractor either benz or scania pia itategemea unataka iwe na horse power ngapi most of them kuanzia 400-500 af n 6X2 n nyingi, so kwa trailers kuanzia mil 70 au below na inategemea unataka flatbed au skeleton kuna trailers manufacturers kama superdoll simba serin AM trailers etc so jipange we have company ya road Haulage for more info check me out
Nb: hzo gar waona zote n second hand.